Category: MCHANGANYIKO
Serikali imetoa bil. 424. 6/- utekelezaji miradi ya TANROADS Rukwa – Eng.Mwanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya shilingi bilioni 424.6 kwa ajili ya kutekeleza…
Mwili wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya wazikwa nyumbani kwao Bondo
Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga amezikwa nyumbani kwao huko Kang’o ka Jaramogi eneo la Bondo, Kaunti ya Siaya. Mwili wa Raila ulipigiwa mizinga 17 ya risasi kumpatia heshima kulingana na wadhfa aliokuwa nao katika sherehe ya Jeshi la Ulinzi…
Vijana Tanga washiriki usafi hospitali, wakimbia mbio fupi kuhamasisha upigaji kura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Zaid ya vijana 200 mkoani Tanga wameshiriki mbio fupi maarufu kama jogging, wakitumia dakika 37.6 katika umbali wa kilomita 6.43, lengo likiwa ni kuhamasisha upigaji kura kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mbio hizo…
Pinda ‘awafunda’ wabunge Rukwa
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mratibu wa Kampeni Kanda za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Magharibi na Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amewafunda na kuwataka wagombea ubunge wa Mkoa wa Rukwa kuacha tofauti zao walizonazo. Pinda ametoa kauli…
TANESCO yaanzisha mpango wa kukopesha majiko sanifu ya umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa Baadhi ya wananchi mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuanzisha mpango wa kuwakopesha majiko sanifu yenye presha, ambayo yanatumia umeme kwa ufanisi mkubwa na…
Mwigulu alivyomwaga nondo mkutano Samia Sumbawanga mjini
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amefuta tozo na kodi zaidi ya 200. Mwigulu ametoa kauli…





