Category: MCHANGANYIKO
Waziri Lukuvi atoa maagizo ya Rais Samia ajali ya mgodi Nyandolwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa viongozi wa Serikali waliopo maeneo ya ajali…
JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…
Ushirikishaji jamii katika matengenezo ya barabara utaiounguzia mzigo Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ushirikishwaji wa vikundi vya kijamii katika matengenezo madogomadogo ya miundombinu ya barabara umetajwa kuwa suluhisho la kupunguza gharama kwa serikali na kuongeza uimara wa barabara nchini. Mhandisi Ephrahim Kalunde kutoka mradi wa RISE-TARURA ameyasema hayo…
Wasiojulikana wamshambulia aliyekuwa Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Same Mapande
Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa mapanga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, usiku wa Agosti 21, 2025 majira ya saa tatu usiku, wakati akiingia nyumbani kwake. Katika tukio hilo, Mapande alijeruhiwa…





