Category: MCHANGANYIKO
Dk Mpango akemea vikali tukio la kushambuliwa kwa katibu Mkuu TEC Padri Kitima
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima pamoja na matukio mengine…
REB yaridhishwa matumizi ya nishati safi Gereza la Butimba
📌Wapongeza mifumo ya nishati safi ya kupikia 📌REA yapongezwa kwa kuhamashisha matumizi ya nishati safi Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea Gereza Kuu la Butimba lililopo jijini Mwanza kwa lengo la kukagua utekelezaji wa mradi…
Jumla ya watahiniwa 134,390 kufanya mtihani wa kidato cha Sita kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watahiniwa 134,390 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita 2025 unaoanza kesho ambapo watahiniwa wa shule ni 126,957 na watahiniwa wa kujitegemea ni 7,433. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei…