Category: MCHANGANYIKO
Naibu Waziri Kihenzile asisitiza utoaji huduma zenye tija kwa wananchi kupitia sekta ya uchukuzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2025, Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile (Mb), ametembelea banda la Wizara ya Uchukuzi katika Viwanja vya Chinangali Dodoma, ambapo amepongeza jitihada za watumishi wa sekta hiyo kwa kuendelea…
Rais Dk Samia afungua mradi wa maji Lamadi Simiyu
Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Rais Samia azindua mradi wa maji wenye thamani ya bilioni 12 Busega Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Mradi wa Maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 12 katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu. Mradi wa Lamadi ni…
Dk Samia aweka historia Simiyu,aandika nyingine Mwanza leo
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameacha alama kubwa za kihistoria mkoani Simiyu anapohitimisha ziara yake leo, kabla ya kuelekea Mwanza kuandika historia nyingine kwa kufungua rasmi daraja…
MOI yafungua milango ya tiba kwa wananchi wa Kanda ya Kati
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati changamoto ya upatikanaji wa huduma za kibingwa ikiendelea kuwakabili baadhi ya Wananchi wa mikoa ya pembezoni, Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imechukua hatua ya kuwafuata wananchi huko waliko kupitia huduma za kliniki tembezi,…