JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Katibu Matinda aweka mkakati wa ujenzi wa nyumba ya Katibu Jumuiya ya Wazazi Tarime

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Tarime Katibu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime mkoani Mara Raymond John Ole Matinda, amedhamiria kuanzisha mpango wa ujenzi wa nyumba ya katibu wa jumuiya hiyo kwa kushirikiana na Kamati…

Serikali yaja na leseni mpya maalumu ya uzalishaji chumvi

▪️Waziri Mavunde aelekeza kuanza mchakato wa mabadiliko ya sheria +Aelekeza kanuni kubadilishwa ili kupunguza tozo kwa hekta kufikia 20,000. ▪️Wazalishaji Chumvi wampongeza Rais Dk. Samia kwa ujenzi wa kiwanda cha mkoani Lindi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ipo mbioni…

Waziri Bashe awapa mbinu ya kuondokana na umaskini wakulima wa korosho Kusini

Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dodoma WAZIRI wa Kilimo,Mhe.Hussein Bashe amewataka wakulima wa Korosho kusini kuhakikisha shughuli zote zinazohusiana na korosho zinafanyika na kupatikana kusini ili kuondokana na umasikini. Bashe, amesema hayo jijini Dodoma kabla ya kufungua kikao cha tathmini ya…

Mhandisi Luhemeja afungua mkutano wa AGN Zanzibar

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja amefunga Mkutano wa Kundi la Majadiliano la Afrika (AGN) leo tarehe 30 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Hotel Verde Mtoni, Zanzibar. Mkutano huo uliofanyika kwa siku tatu, umewakutanisha washiriki kutoka…