Category: MCHANGANYIKO
Meya Kibaha atoa siku saba kwa Rasbery Farm kudhibiti inzi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhueiMedia, Kibaha BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Madafu, Kata ya Visiga, Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani, wameilalamikia Rasbery Farm, kiwanda cha kufuga kuku, kwa kusababisha kero ya nzi wengi na kuhofia kuhatarisha afya zao na kuathiri…
Rais Samia atoa zawadi za mwaka mpya kwa watoto Dodoma
Na Abdala Sifi WMJJWM – Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Dkt Samia Hassan Suluhu ametoa zawadi kwa Watoto wanaolelewa katika makao mbalimbali nchini kwa lengo la kuwapa faraja na upendo msimu huu wa sikukuu. Zawadi hizo…
Ofisi ya Waziri Mkuu yakabidhi vifaa vya misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Kilosa
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa leo Tarehe 2, Januari 2026 imekabidhi vifaa mbalimbali vya misaada ya kibinadamu kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa kwa Ajili ya waathirika wa Mafuriko…





