Category: MCHANGANYIKO
Samia amwaga neema mkoani Geita
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Geita MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amemwaga neema ya mambo muhimu mkoani Geita ambayo ameahidi kuyatekeleza endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu. Neema hiyo…
CRDB yazindua huduma ya kidijitali ya ‘Tokenization’ kurahisisha upokeaji wa fedha bila akaunti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imezindua rasmi huduma mpya ya kidijitali inayojulikana kama Tokenization, itakayowawezesha Watanzania wakiwemo wale wasiokuwa na akaunti ya benki kupokea fedha kutoka kwa mawakala wa CRDB bila kutozwa gharama ya ziada….
Wachimbaji madini zaidi ya 250 wamuhakikishia Dk Samia kumpa kura
Rais wa Wachimbaji Madini, John Bina, amesema kuwa wachimbaji zaidi ya 250 wamemhakikishia kuwa watamchagua Oktoba 29 kwa sababu amewaheshimu. Aidha, amebainisha kuwa hapo zamani familia zilikuwa na hofu kwamba kijana akiwa mchimba madini anapotea. Ameyasema hayo Oktoba 13, 2025,…
Ulinzi waimarishwa kilele cha mbio za mwenge kitaifa Mbeya
Oktoba 7, 2025 Mwenge wa Uhuru uliingia katika Mkoa wa Mbeya ukitokea katika Mkoa wa Songwe ambapo mapokezi yalifanyika katika mazingira ya usalama wa hali ya juu kutokana na ushirikiano tulioupata kutoka kwa wananchi wa Jiji letu la Mbeya. Hadi…
Dhamira ya Dk Samia ni kuiua utu wa kila Mtanzania- Dk Migiro
𝙒𝙖𝙣𝙖𝙣𝙘𝙝𝙞 𝙬𝙖 𝙉𝙮𝙖𝙬𝙞𝙡𝙞𝙢𝙞𝙡𝙬𝙖 𝙟𝙞𝙢𝙗𝙤𝙣𝙞 𝙂𝙚𝙞𝙩𝙖 𝙬𝙖𝙢𝙚𝙢𝙥𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙝𝙖𝙣𝙜𝙬𝙚. 𝘼𝙩𝙤𝙖 𝙨𝙖𝙡𝙖𝙢𝙪 𝙯𝙖 𝙪𝙥𝙚𝙣𝙙𝙤 𝙣𝙖 𝙪𝙟𝙞𝙤 𝙬𝙖 𝘿𝙠𝙩. 𝙎𝙖𝙢𝙞𝙖. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Jumuiya, Viongozi mbalimbali…
Kwenye suala la kutafuta hatucheki na yeyote, ilani, sera na ahadi zinajitosheleza
Na ili kuthibitisha kuwa Ilani yetu (2025/30), sera zetu na ahadi zetu zimegusa matakwa na matarajio ya watanzania, ndiyo maana unaona nyomi kama hizi zimekuwa kila pahala ambapo Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…





