JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Msajili wa Magazeti alimwagia sifa Gazeti la Jamhuri kwa utunzaji wa kumbukumbu

Na Zulfa Mfinanga JamhuriMedia, Arusha Gazeti la Jamhuri limejizolea sifa kwa namna linavyotunza kumbukumbu za machapisho yake tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011. Tukio hilo ni sehemu ya Mkutano wa Mabazara Huru ya Habari Afrika (NIMCA), ambao umewaleta pamoja wadau mbalimbali…

Rais Samia akiwa na Mawaziri mara Baraza la Mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, Naibu…

Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 14 Julai, 2025. Kikao hicho cha Baraza la Mawaziri ni cha mwisho cha Serikali ya Awamu…

Balozi Nchimbi aongoza kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiongoza kikao cha kawaida cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Julai 14, 2025 katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM (White House) mkoani Dodoma. Kikao…

Trilioni 1.56 zatekeleza maendeleo Shinyanga – RC Mboni Mhita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Shinyanga umepokea zaidi ya shilingi trilioni 1.563 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo huduma za jamii ,sekta za afya, elimu, miundombinu, maji, kilimo, nishati, madini, mifugo, ardhi na uwezeshaji wananchi…

Dkt Makalla :Lishe Bora huepusha magonjwa yasiyoambukiza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watanzania wametakiwa kuzingatia mpangilio mzuri wa lishe bora ili kuimarisha afya ya mwili sambamba na kuongeza kinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza ambayo yameshamiri kutokana na mtindo mbaya wa maisha na ulaji usiofaa. Akizungumza…