Category: MCHANGANYIKO
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme jiji Dar es Salaam
▪️Aridhishwa na hatua ya utekelezaji wa miradi ▪️Awataka wakandarasi kuzingatia viwango na TANESCO kuongeza usimamizi ili kuepuka ongezeko la gharama ▪️Aisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika Na Agnes Njaala, Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati…
AviaDev Afrika 2025; Mafanikio makubwa usafiri wa anga, utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mkutano wa hivi karibuni wa AviaDev Africa 2025, umekuwa mkutano wenye mafanikio makubwa katika sekta ya usafiri wa anga. Mkutano huo uliosimamiwa na Kampuni ya Showtime ya Zanzibar, ulileta pamoja zaidi ya washiriki 500, ikiwa…
Maafisa elimu kata 346 Pwani na Morogoro wapatiwa mafunzo ya utawala Bora wa elimu
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Wilson Mahera, amefunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwa Maafisa Elimu Kata 346 kutoka mikoa ya Pwani na Morogoro, yaliyofanyika…
Tanzania yaunga mkono azimio Juni 27 kuwa siku ya kimataifa ya viziwi na wasioona
Na WMJJWM-New York Tanzania imeunga mkono Azimio la Umoja wa Mataifa Namba A/79/L.92 la kutambua Juni 27 kuwa Siku ya Kimataifa ya Viziwi Wasioona. Akizungumza katika Mkutano wa pembeni uliofanyika tarehe 12 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo…
Aliyekuwa DED Uvinza na wenzake watano wafikishwa mahakamani kwa rushwa
Katika Mahakama ya Wilaya Uvinza Juni 12, 2025 limefunguliwa shauri la jinai ECO.14247/2025 mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Uvinza John Mtega (RM), Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Zainabu Suleiman…
Mgalu akabidhi gari UWT Bagamoyo kuboresha usafiri wa kazi za chama
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa viti maalum Mkoani Pwani, Subira Mgalu, amemkabidhi Mwenyekiti wa UWT Taifa,Mery Chatanda gari aina ya Noah kwa ajili ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)Bagamoyo ikiwa ni jitihada za kuimarisha utendaji kazi…