JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Upatikanaji pembejeo wawanyanyua wakulima Hanang

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Wakulima wa zao la mahindi wilayani Hanang mkoa wa Manyara, wameipongeza Serikali kwa kufanikisha upatikanaji wa pembejeo kwa wakati, hatua iliyochangia ongezeko kubwa la mavuno msimu huu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakulima hao walisema kuwa utoaji…

Kamati yatembelea mto Kagera ambao ni sehemu ya mpaka wa Tanzania na Rwanda

Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Tanzania na Rwanda (JTC) imetembelea eneo la mto Kagera lililopo wilayani Ngara mkoa wa Kagera ikiwa ni sehemu ya mpaka wa kimataifa. Eneo hilo la mto Kagera lililotembelewa…

PIC yaipongeza PPPC kwa kusimamia dhana ya PPP

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa mafunzo maalum kuhusu ubia wa sekta hizo mbili (PPP) kwa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC). Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha…

NIRC yaendelea kutekeleza ahadi ya Rais Samia ya uchimbaji visima 67,000 vya umwagiliaji nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imeanza utekelezaji wa ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya uchimbaji wa visima virefu 67,000 vya maji kwa ajili ya kiliko cha Umwagiliaji…

Wananchi Songea watakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kuyalinda mazingira

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile amewataka Wmqafanyabiashara na wananchi kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi ili kutunza mazingira na kuokoa misitu inayoteketea kutokana na matumizi makubwa ya Kuni na mkaa….

TPA kinara wa gawio Serikalini, yatoa bilioni 181.5

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetwaa tuzo ya taasisi iliyochangia gawio kubwa zaidi serikalini ikilinganishwa na taaasisi nyingine za Umma ambapo wametoa Tsh bilioni 181 katika mwaka wa fedha wa 2025/2026….