JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RPC Morcase awataka waandishi wa habari kuzingatia miiko na maadili

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, amewataka waandishi wa habari mkoani humo kuzingatia weledi, miiko na kanuni za taaluma ya uandishi wa habari wanapotekeleza majukumu yao, hususan katika kipindi…

Kongamano la Mahakama ya Afrika latoa muelekeo mpya kuhusu haki za wanawake, wasichana

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kongamano la siku mbili lililoandaliwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu limewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa serikali, wanasheria kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wataalamu…

Ufugaji wa Sungura watajwa kama fursa mpya ya kiuchumi kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JAMII imeshauriwa kuchangamkia fursa ya ufugaji wa sungura kibiashara kutokana na soko lake linalozidi kukua nchini na faida lukuki za kiafya na kiuchumi zinazotokana na nyama yake na mazao mengine ya sungura. Akizungumza…

Wanasheria watakiwa kuongeza umakini kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza S. Johari amewataka Wanasheria kuwa walinzi na kuongeza umakini katika kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira kwa maslahi ya taifa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 3 Septemba, 2025…

Serikali yapima na kugawa hati kata ya Pangani kupunguza migogoro ya ardhiI

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali imeandaa hati 7,000, kupima na kutambua zaidi ya viwanja 18,000, pamoja na kugawa hati miliki kwa wananchi wa mitaa ya Pangani, Kidimu na Lumumba katika Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani. Mkuu…

Dk Nchimbi aagana na Simiyu, aelekea Shinyanga kusaka kura

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho…