Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu asisitiza amani, maadili na ushirikiano na taasisi za dini
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada…
Makamu wa Rais ashirii Misa Takatifu ya Jumapili ya nne ya Kwaresma Songea
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Waumini mbalimbali katika Misa Takatifu ya Jumapili ya Nne ya Kwaresma, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Leo tarehe…
Serikali yaipongeza Bodi ya Mikopo kuendelea kuwafikia wanafunzi wengi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Denis Londo amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwekezaji katika elimu ya juu ili kuwajengea vijana uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Akizungumza…
TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za MGR nchini
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu, imelitolea wito Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania wanaounda na kukarabati vichwa vya treni za MGR, kwa kuwapa mafunzo thabiti ndani na nje ya nchi ili kuongeza maarifa,…
Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi wa daraja la Katuma
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua na kuridhishwa na ujenzi wa daraja la Katuma mita 55 katika barabara ya Sitalike-Kizi km 64. Akizungumza mara baada ya kuikagua barabara hiyo ameipongeza Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kwa…
Uimarishaji mpaka wa Tanzania na Kenya wafikia asilimia 75
Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na kazi ya uimarishaji wa mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya ambapo Km 564 sawa asilimia 75 tayari zimewekewa alama kati ya…





