Category: MCHANGANYIKO
Ewura CCC: Wananchi wadai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura CCC) limesema kuwa wananchi wana haki ya kudai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi baada ya kulipia. Hayo…
Wengi wavutiwa Banda la TPA maonesho Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi yanayozidi kuvutia wawekezaji wa kigeni kuja kuwekeza hapa nchini hususani katika sekta ya usafirishaji. Akizungumza na wandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Bw…
Dk Jingu atoa wito kwa wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Jamii ufundi Misungwi kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii
Na WMJJWM, JamhuriMedia, MwanzaKatibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi Mwanza, kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii kwa kutumia maarifa na…
Rais Samia akiteta jambo la mtume Boniface Mwamposa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtume Boniface Mwamposa mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es Salaam.





