JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Matawi sita ufufuo na uzima yafungiwa Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyopo katika halmashauri sita za mkoa huo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga kufungiwa kwa matawi…

Wanafunzi 214, 141 kujiunga Kidato cha Tano, vyuo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Miko na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetangaza kuwachagua wanafunzi 214,141 wenye sifa za kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya elimu ya ufundi kwa mwaka wa masomo…

Dunia inaiangalia Tanzania na Afrika Mashariki kuwa kitovu cha utalii – Dk Biteko

📌 Aatoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili 📌 Rais Samia aiweka Tanzania kwenye ramani ya utalii duniani Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema…

Kunenge apokea msaada wa ng’ombe 300, mbuzi 2,000 kwa ajili ya ibada ya Eid Al- Adha

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amepokea msaada wa ng’ombe 300 na mbuzi 2,000 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya IDDef ya nchini Uturuki, kwa ajili ya kuwawezesha waumini wa Kiislamu kushiriki ibada ya kuchinja katika…

Jela maisha kwa kosa la kulawiti mtoto wa miaka mitano

Hukumu imetolewa bila mshitakiwa kuwepo mahakamani *Mshitakiwa anatafutwa ili kutumika kifungo,baada ya kutokome kusikojulikana Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera, Rweyemamu Kashunja alimaarufu Baba P (35) dereva bodaboda mkazi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera,amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kutiwa…

Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Majeshi ya Polisi yaliyo katika nchi za Kusini mwa Afrika chini ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi (SARPCCO) kutumia teknolojia za kisasa na kubadilishana taarifa za…