JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Nickson: Migogoro mikubwa ya ardhi Kibaha tumeimaliza na mingine tumeidhibiti

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, amesema migogoro mikubwa ya ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imedhibitiwa, huku baadhi ya migogoro ya mipaka ikiwasilishwa katika mamlaka husika ili kuhakikisha wananchi hawaathiriki katika upatikanaji…

Diwani Nyantori amshukuru Rais Dkt Samia yaliyofanyika siku 100 Kata ya Mbezi

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Kata ya Mbezi iliyopo Halmashauri ya Ubungo Dar es Salaam katika siku 100 za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vivuko, barabara, Ukarabati wa shule 12 na kukamilika kwa…

Trump: Ni ‘hatari’ kwa Uingereza kushirikiana na China kibiashara

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa ni ‘hatari’ kwa Uingereza kuwa na ushirikiano wa kibiashara na China. Hii inajiri wakati ambapo waziri mkuu wa Uingereza yuko katika siku ya tatu ya ziara yake nchini China. China na Uingereza zilitangaza…

TARURA yasaini mikataba 23 siku 100 za Rais Samia madarakani Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meneja wa TARURA Mkoa wa Rukwa Mhandisi Chacha Mwita Moseti ameelezea mafanikio waliyoyapata katika ujenzi wa miundombinu ya barabara mkoani humo katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Hayo ameyasema katika Mkutano wa Mwaka…

Serikali yaendelea kuwawezesha wananchi kupitia mikopo yenye masharti nafuu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa vitendo…

Rais Samia amejipanga kufikisha umeme vitongoji vyote

📌Bilioni 24.9 kupeleka umeme vitongoji 218 Njombe Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kufikisha umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobakia nchini ambavyo…