Category: MCHANGANYIKO
Ujenzi kiwanda cha kuchakata pamba SIMCU (2018) LTD wafikia asilimia 75
Naibu Mrajis – Uhamasishaji, Consolata Kiluma, amekipongeza chama kikuu cha Ushirika SIMCU (2018) LTD, kwa usimamizi wa ujenzi wa ujenzi na ukarabati wa kiwanda cha kuchakata pamba kilichopo wilayani Maswa mkoa wa Simiyu ambacho kinatarajiwa kuanza kazi musimu huu wa…
Dk Mwigulu apanda mti wa mchungwa Kilimanjaro
WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 22, 2026 amepanda mti aina ya Mchungwa katika eneo la Rest House ya Polisi mkoani Kilimanjaro. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amemaliza ziara yake ya kikazi mkoani Kilimanjaro jana Februari 21, 2026.
Franone wajenga zahanati migodi ya Tanzanite
Na Mwandishi wetu, JahuriMedia, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining LTD, inajenga zahanati ndani ya ukuta unaozunguka migodi ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, hivyo wachimbaji kuondokana na changamoto ya huduma za afya.. Mkuu wa…
Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na waratibu wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) kuhakikisha magari 14 aliyoyakabidhi yanakwenda kufanya kazi iliyokusudiwa…
Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa
📌Kuhusisha Mifumo ya umeme jua 20,000 katika visiwa 120 📌Rais Samia awawekea wananchi ruzuku hadi ya asilimia 75 kuunganisha umeme 📌Mhe.Salome asema Serikali itafikisha umeme kwa wananchi bila kujali umbali na mtawanyiko wa makazi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome…
Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa meli nne unaoendelea katika Bandari ya Karema Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi. Kihenzile ametoa pongezi hizo leo alipotembelea bandarini hapo kwa lengo la kujionea maendeleo ya mradi huo…





