JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani

*Awataka vijana kutulia, ataka vyombo vya habari kuwa makini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Watanzania wameombwa kuendelea kutunza na kulinda amani, umoja na mshikamano kwa nguvu zote kwa sababu ndio msingi mkubwa wa kupata maendeleo na mahitaji mengine. Wito huo…

Chimwejo: Sekta binfasi iongeze nguvu kuzalisha mabaharia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA bado inachangia chini ya asilimia moja ya mabaharia duniani, hali inayofungua fursa kubwa kwa sekta binafsi kuongeza juhudi za kuzalisha mabaharia wengi wenye ujuzi. Imeelezwa hatua hiyo itasaidia kufanikisha malengo ya maendeleo…

Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi

*Awataka waliopewa dhamana ya usimamizi wazingatie misingi ya utawala bora WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Mamlaka, Taasisi na Wadau wote waliopewa dhamana ya kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025 wabadilike na…

Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kuwa maafisa na watumishi wa ofisi yake atakaoambatana nao katika safari zake za kikazi watatumia usafiri wa pamoja ili kubana matumizi ya nishati ya mafuta. “Nimeanza kwa…