JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Miaka 30 ya TRA, yaacha alama ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti 3,850 nchini

Na DK. Reuben Lumbagala, Tanga Suala la utunzaji mazingira ni la muhimu kutokana na umuhimu wake kijamii, kimazingira na kiuchumi. Mwanadamu ambaye ni sehemu ya mazingira anapaswa kuhakikisha anayatunza ili kuifanya dunia kuwa sehemu nzuri na salama kwa kuishi. Katika…

TARURA yamaliza changampto ya barabara Kata ya Nanyanga Tandahimba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia Mradi wa RISE, program ya uondoaji vikwazo vya barabara (Bottleneck) imekamilisha ujenzi wa kalavati sambamba na matengenezo ya barabara ya Mwindi – Mnauke yenye urefu wa…

CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara

Serikali imesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo barani Afrika, hivyo matumizi ya teknolojia ya kisasa ni muhimu katika kulinda mali za wafugaji na kukuza uchumi. Akizungumza leo Juni 29, 2026, jijini Dar es Salaam, Katibu…

Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi-Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limeendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20–25 pamoja na mtoto mwenye umri wa miaka 3–6 yaliyotokea Kitongoji cha Nung’uli, Kijiji cha Kwang’andu,…

Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATOTO waishio na kufanya kazi mitaani wapatao 4,200 wanatarajiwa kuokolewa kupitia mradi wa miaka mitatu utakaowarejesha kwenye familia zao, kuwapatia elimu, huduma za afya na stadi za maisha ili kuwawezesha kujenga maisha bora. Kati ya…

Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya nchi, huku…