JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chongolo aitaka NIRC kukamilisha ugawaji wa pampu za umwagiliaji

📍Nzuguni : Dodoma Waziri wa Kilimo, Mh.Daniel Chongolo, ameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) na kuitaka kuhakikisha pampu za Umwagiliaji zilizotengwa kwa ajili ya wakulima zinagaiwa kuanzia Agosti 30 kwa wanufaika katika mikoa husika ili ziweze kutumika kuongeza uzalishaji…

WRRB yaja na ubunifu kwenye zao la parachichi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai…

TAMESOT yakemea vitendo vya udanganyifu, utapeli na uposhaji tiba

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha waganga watiba asili nchini TAMESOT kimekemea na kulaani vitendo vyote vinavyotumika vibaya na baadhi watu wanaotumia vibaya jina la tiba asili kwa maslahi binafsi. Kauli hiyo imetolewa naye katibu mkuu wa chama hicho…

TBS Yaendelea kutoa elimu ya uthibitishaji ubora wa bidhaa Nanenane Morogoro

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji wa bidhaa nchini kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao ili kuondokana na vikwazo vya kibiashara na kuongeza wigo wa masoko ya kitaifa, kikanda na kimataifa. Akizungumza wakati wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya…

Katibu Tawala Tanga avutiwa na sayansi ya hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katibu tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta avutiwa na sayansi ya hali ya hewa, aliyasema hayo Tarehe 06 Agosti 2026 mara baada ya kupokea elimu ya hali ya hewa iliyokuwa inatolewa na wataalamu…

EWURA: Ukaguzi wa mifumo ya umeme kila baada ya miaka mitano unaweza kuzuia majanga ya moto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wananchi kujenga utamaduni wa kukagua mifumo ya umeme majumbani kila baada ya miaka mitano, ikisema hatua hiyo inaweza kubaini mapema hitilafu zinazoweza kusababisha moto,…