Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu akagua Bandari ya Kasanga Rukwa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo. Katika ukaguzi huo, Waziri Mkuu alipata maelezo…
REA yafanya makubwa …
📌 Pia pongezi kuziwezesha sekta binafsi kutekekeza miradi ya umeme 📌 Wahariri waridhishwa na uendelezaji mradi wa Ijangala 📌 Shilingi bilioni 2 zimetolewa na REA kuendeleza mradi wa Ijangala 📍 Makete – Njombe Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),…
REA yafadhili miradi mitano ya umeme Njombe, wananchi waipa tano
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Njombe Wakala wa Umeme Vijijini (REA),imefadhili miradi mitano ya uzalishaji umeme katika Mkoa wa Njombe na kuchangia kupunguza kero ya ukosefu wa umeme pamoja na kuchochea maendeleo ya wananchi. Hayo yamebainishwa leo Machi 10, 2026 na…
DC Simanjiro aagiza wanaoishi mabondeni wahame
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala ameagiza watu wanaoishi mabondeni katika tarafa ya Moipo wahame mara moja ili kuepuka madhara ya mafuriko yanayosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha. Lulandala ametoa agizo hilo…
Ulega aweka mkazo mgawanyo wa rasilimali fedha za barabara Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameielekeza Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ,mkoani Pwani kuweka utaratibu mzuri wa mgawanyo wa rasilimali fedha katika halmashauri na wilaya kwa kuzingatia uhalisia na vipaumbele ili kuondoa hisia…
Dk Muyungi asisitiza ujenzi wa jengo la OMR, Mtumba Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya Suma JKT kuongeza kasi ya ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo unaoendelea katika Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma. Dkt….





