JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

CCM, ACT- Wazalendo kimeeleweka Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar, itakayofanyika tarehe 09 Julai 2026, saa 4.00 asubuhi, katika viwanja vya Ikulu, Zanzibar….

Tuendelee ‘kukibidhaisha kiswahili’ kufanikisha ukuzaji uchumi

Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia Kuna umuhimu mkubwa kwa Watanzania kubadili mtizamo kuhusiana na lugha ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa, tusiiangalie lugha ya Kiswahili katika muktadha wa mawasiliano pekee. Hapana. Ni kwamba, twende mbele zaidi, yaani tukifanye Kiswahili kuwa…

BOT Academy Yawakaribisha Watanzania kujiunga na mafunzo ya kibenki

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BOT Academy) kimewahimiza Watanzania, hususani wahitimu wa elimu mbalimbali na watumishi wa sekta ya fedha, kujiunga na programu zake za mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi zinazolenga kuwajengea ujuzi wa…

TEA Yaweka Vipaumbele Vitatu Katika Utafutaji wa Rasilimali Kuboreshwa kwa Sekta ya Elimu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imeeleza kuwa imejikita katika kutafuta rasilimali zitakazowezesha utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2023, kwa kuwekeza nguvu katika maeneo matatu ya kipaumbele ambayo ni ujenzi wa miundombinu kwa elimu ya lazima ya…

FCC Yaimarisha elimu ya Ushindani kwa wafanyabiashara SABASABA

WAFANYABIASHARA na wananchi kwa ujumla wametakiwa kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la Tume ya Ushindani (FCC) ili kupata huduma mbalimbali za papo kwa papo pamoja na elimu kuhusu ulinzi wa…

TET Yatumia Maonesho ya Sabasaba Kuelimisha Umma kuhusu Mtaala Ulioboreshwa

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) unalenga kuelimisha wananchi kuhusu maboresho ya mitaala, kuhamasisha elimu jumuishi na kusogeza karibu…