JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

CCM yatoa salamu za rambirambi kifo cha Kadinali Pengo

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi OFMCap, kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo hilo, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, aliyefariki dunia Februari…

Kunenge: Viongozi Pwani kuweni wabunifu kuendana na kasi ya uchumi wa dunia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa viongozi kuwa wabunifu ili kuendana na kasi ya uchumi wa dunia kwa kuongeza uzalishaji wa mazao na mifugo, kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi na…

Serikali kuimarisha elimu ya malezi kupitia kampasi ya Kisangara

Na Jackline Minja, WMJJWM, Kilimanjaro Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto na utoaji wa mafunzo ya ustawi wa jamii kwa wananchi ili kupunguza changamoto za misongo ya mawazo, migogoro ya kifamilia na matatizo ya kisaikolojia, sambamba na kujenga jamii…

Wakulima wa ngano na shiyiri nchini kuongeza uzalishaji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Mpango wa Serikali kuongeza uzalishaji wa Ngano nchini na kupunguza uagizaje nchi za ngano sasa umepata Suluhu baada ya Kampuni ya Balton Tanzania, kuzindua viatilifu 10 vipya kusaidia wakulima wa Ngano, Shiyiri na mazao mengine kukabiliana…

Mgodi wa Itracom wachangia bilioni 1.29/- mapato ya Serikali Manyara

📍Manyara MGODI wa Itracom Fertilizer Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima Vitatu, Wilayani Babati mkoani Manyara, umechangia Shilingi Bilioni 1.29 katika mapato ya Serikali tangu kuanza kwa shughuli zake mwaka 2023….

Viongozi watakiwa kuzungumzia mazuri ya muungano, mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa wito kwa viongozi wa mikoa na wilaya kuzungumzia faida za Muungano na umuhimu wa utunzaji wa mazingira kwa wananchi wanaowangoza….