JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia apongezwa kwa uongozi mahiri katika sekta ya maliasili na utalii

Na John I. Bera, Kongwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa uongozi wake mahiri na shupavu katika kuliongoza Taifa la Tanzania, ambapo ameendelea kuimarisha sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya maliasili na utalii…

Waziri Kijaji : Serikali kutoa bilioni 8.1/- kukarabati miundombinu Serengeti

Na Jacob Kasiri, JamhuriMedia, Serengeti Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amesema serikali itatoa shilingi bilioni 8.1 kwa ajili ya matengenezo ya miundombinu ya madaraja na barabara zilizoharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha baadhi ya magari…

Bilioni 6.8/- zatumika katika usambazaji gesi asilia majumbani Lindi, Mtwara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga Jumla ya sh bilioni 6.8 zimetumika katika ufadhili wa mradi wa usambazaji wa gesi asilia majumbani katika mikoa ya Lindi na Pwani. Hayo yamebaiika leo Machi 8, 2026 wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya…

Atakayebainika kuuza pembejeo feki kufilisiwa – Dk Mwigulu

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulima kwa kuwauzia pembejeo zisizokuwa na ubora zikiwemo mbegu. Ameyasema hayo leo Jumapili, Machi 08, 2026 alipozungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara…

Waziri Dk Kijaji akagua athari za mafuriko Hifadhi ya Serengeti

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), amewasili katika Hifadhi ya Taifa Serengeti, kukagua na kujionea athari na uharibifu wa miundombinu zilizosababshwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchin ili kuzipata ufumbuzi wa kudumu. Dkt. Kijaji ameambatana na…

Mwigulu akagua ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. ‎Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na…