JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kiongozi Mkuu wa Bohora Duniani asafiri kwa SGR, aipaisha hadhi Tanzania kimataifa

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema safari ya Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Kiislamu ya Bohora Duniani (Da’i al-Mutlaq), Syedna Mufaddal Saifuddin, kwa kutumia treni ya kisasa ya SGR kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ni ishara kubwa ya kuaminiwa…

Kwagilwa ahimiza wanahabari kuelimisha jamii fursa biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAANDISHI wa Vyombo vya Habari wamehimizwa kuwaelimisha wananchi, jamii na wadau wa hifadhi ya mazingira kuhusu fursa zinazotokana na biashara ya kaboni. Rai hiyo imetolewa Mei 15, 2026 Jijini Dar es Salaam na…

ACT Wazalendo Nungwi yafanya mkutano mkuu wa kikatiba, wajumbe zaidi ya 140 washiriki

Katibu wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Salim Biman, leo tarehe 16 Mei 2026 amefungua Mkutano Mkuu wa Kikatiba wa Jimbo la Nungwi uliowahusisha wajumbe zaidi ya 140 kati ya wajumbe 230 wa…

Wanachama ACT Wazalendo watakiwa kuongeza nguvu ya chama kupitia usajili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemb Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili wanachama wapya ili kuimarisha msingi wa chama hicho na kuongeza nguvu…

Ukosefu wa chakula shuleni waathiri wanafunzi wa Longido,CORDS waja na Mradi

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Longido Wanafunzi wa shule za Msingi wilaya ya Longido, wakiwepo wanafunzi wa MEMKWA ,wanakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwepo kukosa chakula shuleni, hali ambayo inaathiri maendeleo yao ya Kitaaluma na hivyo, kuibua wadau kadhaa wa elimu…

Tanzania yaandika historia mpya barani Afrika, maeneo saba yatambuliwa kuwa urithi wa dunia

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeandika historia mpya barani Afrika baada ya kuwa nchi ya pili kupata hadhi ya UNESCO Global Geopark kupitia Jiopaki ya Ngorongoro-Lengai, hatua inayodhihirisha ubora wa urithi wa asili na jiolojia uliopo nchini. Kutokana na…