Category: MCHANGANYIKO
Mlao aielekeza TARURA Pwani kuharakisha kuiombea fedha barabara ya Picha Ndege -Boko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani MWENYEKITI wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani, Mwinshehe Mlao, ametoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) kuharakisha ujenzi wa barabara ya Picha Ndege–Boko Timiza (km 0.52) kwa kiwango cha…
Dk Mwinyi : CCM itaendelea kujiimarisha kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi amesema atahakikisha maeneo yote yenye hadhi ya uwekezaji ndani ya Chama yanatafutiwa wawekezaji wakubwa watakaoweza…
Waziri Mkuu akutana na Rais wa IFAD, Nairobi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 amekutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Alvaro Lario, jijini Nairobi, Kenya, ambapo wamejadili maeneo mbalimbali ya ushirikiano katika sekta ya kilimo na uwezeshaji wa wananchi…
Kamati ya siasa Pwani yaridhishwa na kuvutiwa na miradi ya Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani KAMATI ya Siasa Mkoa wa Pwani imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Chalinze, ikieleza kuwa miradi hiyo imekuwa kichocheo cha ukuaji wa uchumi na kuongeza vyanzo vya mapato vya halmashauri hiyo….
Waziri Ndejembi atoa maelekezo mazito utekelezaji mradi Malagarasi MW 49 5 Kigoma
📌Hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mkandarasi kwenye mradi 📌Aagiza ukaguzi maalum wa matumizi ya dola milioni 20 za malipo ya awali yaliyotolewa kwa mkandarasi kulinganisha na kazi zilizofanyika 📌Aelekeza kuondolewa mara moja kwa meneja wa mradi upande wa mkandarasi…





