Category: MCHANGANYIKO
Naibu Waziri wa Afya atoa elimu kwa mama wa mapacha watatu
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ametoa elimu kwa mama wa mapacha watatu, Maridhia Miraji, kuhusu namna bora ya kuwahudumia watoto hao ili waweze kukua vizuri, ikiwemo kuzingatia usafi, lishe na kinga dhidi ya maambukizi. Dkt. Samizi amemuelekeza mama…
Kitali : Ushirikiano ni muhimu katika mageuzi ya kidijitali
OWM-TAMISEMI, Arusha Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Bw. Erick Kitali, amesema mafanikio ya mageuzi ya kidijitali nchini yanahitaji ushirikiano wa taasisi mbalimbali, uongozi wenye maono na kuwashirikisha…
Balozi Maulida awasilisha hati za utambulisho kwa Sultan nchini Oman
Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mheshimiwa Maulida Hassan amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Sultan, Mtukufu Haitham bin Tariq Al Said. Tukio hilo lililofanyika katika Kasri la Al Hosni mjini Salalah limeakisi uhusiano wa karibu na wa kihistoria uliopo kati ya…
Ukanda Maalum wa Benjamin Mkapa utaendelea kuwa tanuru la fursa na kiuchumi kwa vijana
*Nanauka asifu,apongeza Juhudi za Serikali kwa uwekezaji *Atoa rai kwa vijana kushiriki kikamilifu kwenye uzalishaji viwandani. Na Innocent Byarugaba -ORMV Hivi karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka amefanya ziara rasmi kujionea utekelezaji wa…
TRA yaimarisha ushirikiano na wadau katika kukuza maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya Kikao Kazi cha Kwanza cha Jukwaa la Ushauri la Wadau wa TRA kuhusu Maadili, kinachofanyika mkoani Morogoro, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na wadau katika kukuza maadili katika usimamizi…





