JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Polisi : Picha zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano si za kweli

Jeshi la Polisi lingependa kueleza kuwa, kuna hii picha mjongeo ya zamani na nyinginezo zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikihadaa wananchi kuwa maandamano yameshaanza. Hakuna jambo kama hilo kwani vyombo vya ulinzi na usalama vipo mitaani kudhibiti hali kama hiyo…

TPDC na PURA hakikisheni Watanzania wananufaika na rasilimali za mafuta na gesi- Mhe Salome

📌Awekea mkazo upatikanaji wa ajira, huduma za kijamii na nishati nafuu 📌Apongeza PURA na TPDC kwa jitihada wanazofanya katika utafiti na uendelezaji wa Mafuta na Gesi Asilia 📌Asisitiza mazingira rafiki ya uwekezaji Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya…

Wanandembo wafanya maombi maalumu kuliombea amani taifa

Na Theophilida Felician, JanhuriMedia, Kagera Washiriki wa imani za asili (Wanandembo) Manispaa ya Bukoba mkoa Kagera wamefanya maombi maalumu ya kuliombea amani taifa na jamii kwa ujumla. Maombi hayo ya siku moja yamefanyika eneo maalumu linalofahamika Omurulembo lililopo mtaa wa…

Kichwa cha nyani na thamani yake katika ushenga na harusi kwa kabila la Wadadzabe

Na Mwandishi Maalum, Ngorongoro. Kabila la Wahadzabe ni moja ya makabila yaliyopo eneo la hifadhi ya Ngorongoro, makabila mengine ni pamoja na wamasai na wadatoga ambapo kwa pamoja yanaguswa na mradi wa Jiopaki ya Ngorongoro maarufu kama Ngorongoro-Lengai UNESCO Global…