Category: MCHANGANYIKO
Mgombea Haroun : Rais Samia, Mwinyi wamefanya kazi kubwa ya maendeleo
Mgombea Uwakilishi Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali Suleiman amesema mgombea urais wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan na mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi wamefanya kazi kubwa ya maendeleo. Suleiman amesema hayo leo Septemba 17 katika…
Mfanyabiashara arejesha mil 6.2/- ambazo hakuwasilisha TRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAHAKAMA ya Wilaya Mbeya imemuhukumu Mfanyabiashara Benedicto Abel Matandiko wa Jijini la Mbeya adhabu ya kutofanya Kosa lolote la Jinai ndani ya miezi 6 baada ya Kutiwa hatiani kwa Makosa ya Kutokulipa Kodi Kinyume na…
Mamia wafurika Makunduchi Zanzibar kusikiliza sera za Dk Samia
Mamia ya wakazi wa Zanzibar wamefurika kwa wingi katika eneo la Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Kwa ajili ya mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan. Wananchi wameanza kufika kwenye viwanja hivyo saa…
Makusanyo ya kodi Dodoma yafikia bilioni 204, wafanyabiashara wapongeza uongozi wa Rais Samia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania(JWT) Mkoa wa Dodoma imepongeza jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na uongozi wake kwa kazi nzuri katika kuhakikisha nchi inakua kwa utulivu na amani hali inayorahisisha biashara na uwekezaji kuendelea kufanyika bila…
Pigeni kura Oktoba 29, mtudai maendeleo – Dk Biteko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bukombe Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaeleza wananchi wa Bukombe kuwa maendeleo yaliyopatikana jimboni humo yametokana na upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan kwao, hivyo wajitokeze…