Category: MCHANGANYIKO
Zungu aibuka kidedea kinyang’anyiro cha uspika, Silo ashinda nafasi ya Naibu Spika
Na Dotto Kwilasa, Jamhuri Media, Dodoma Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azan Zungu, ameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kwa kishindo kuwa mgombea wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano…
Wakandarasi kufanya kazi saa 24 Mara
Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amewataka wakandarasi wote wasiokuwa na uwezo wakufanya kazi katika Mkoa huo kuacha mara moja kuomba kazi katika Mkoa huo kwani kwa sasa watalazimika kufanya kazi Usiku na Mchana kwa…
Baba Levo kufanya mkutano wa shukran Kigoma Mjini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge mteule wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus (Baba Levo) ametangaza kufanya mkutano mkubwa wa shukrani kwa wananchi wa jimbo hilo wiki ijayo, akisema utakuwa ni tukio la kihistoria litakalolenga kuwashukuru wapiga kura kwa imani waliyoonyesha kwake na…
Mabaki ya mwili wa Mtanzania Joshua Mollel yatambuliwa Israel, kurejeshwa nchini
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaarifu umma kwamba mamlaka za Israel zimethibitisha kuwa mabaki ya mwili yaliyokabidhiwa kwa Serikali ya Israel hivi karibuni kutoka Gaza ni ya Bw. Joshua Loitu Mollel, Mtanzania mwenye umri wa…
Mawakala 120 wa utalii kutoka Marekani wavutiwa na vivutio vya utalii Tanzania
Mawakala takribani 120 kutoka nchini Marekani wamefurahishwa na vivutio mbalimbali vya utalii vilivyoko nchini Tanzania ikiwemo utajiri wa utamaduni mzuri, wanyamapori na mandhari inayovutia. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Excellent Guide Tours and Safaris, Bw. Justin Alfred…
SADC wampongeza Rais Samia, Nchimbi asisitiza Tanzania kuendeleza amani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imechukua hatua za kurejesha utengamano katika nchi na kuhakikisha wananchi wanaishi katika utawala wa sheria. Makamu wa Rais…





