Category: MCHANGANYIKO
Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siku za karibuni, sauti za vijana waliotaka kuandamana zilisikika kwa nguvu katika mitaa na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Sauti hizi, bila kujali mtu anazipokea kwa hisia zipi, zina ujumbe mmoja…
Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika
●Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uongezaji thamani madini Afrika. ●Yashauri kuhusu ushirikiano wa kikanda na kisekta. Riyadh, Saudi Arabia Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii lengo kubwa ikiwa…
‘Ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maendeleo linafanyika kwa ufanisi ‘
Na Mwandishi Wetu, Iringa Imeelezwa kuwa zoezi la uandaaji Utekelezaji wa miongozo ya ufuatiliaji na Tathmini Serikalini kunachangia kuongeza kasi ya Ukamilishaji wa Miradi ya Maendeleo kwa kuzingatia mchango wake katika kurahisisha shughuli za utekelezaji wa miradi mbalimbali na kujiletea…
Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini
Na Witness Masalu- WMJJWM, Dodoma Serikali inathamini ustawi wa watoto nchini hususan wanaoishi katika mazingira magumu. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Vijana,Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo katika hafla ya ugawaji wa bima za afya…
Kapinga, Londo waanza mikakati ya kuimarisha sekta viwanda na biashara
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), ameongoza watumishi wa Wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo (Mb), huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu katika kutekeleza majukumu ya wizara kwa maslahi mapana ya Taifa. Akizungumza Januari…





