JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Papa Leo XIV ampa Padre Vincent Mpwaji wadhifa wa askofu Msaidizi wa Dar es Salaam

Papa Leo XIV amemteua Padre Vincent Lawrence Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu DSM. Pia amemteua kuwa Askofu wa heshima (Titular Bishop) wa jimbo la Tacarata huko Algeria. Kwa kawaida Maaskofu wasaidizi (Auxiliary Bishops) hupewa majimbo ya heshima (Titular…

TEA yapongezwa kwa kuwawezesha vijana kupata elimu ya amali

Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Idara ya Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Zanzibar, Mashavu Ahmada Fakih, ameipongeza Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha sekta ya elimu nchini, huku akiwataka wadau…

TEA yawahimiza wadau wa maendeleo kuwekeza katika elimu ya amali

Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imezitaka taasisi za maendeleo, sekta binafsi na wananchi wenye uwezo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Taifa wa Elimu ili kuongeza rasilimali zitakazowezesha kuboresha miundombinu ya elimu na kuimarisha uwekezaji katika…

Sheria ina thamani pale inapobadilisha maisha ya watu – Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S.Johari amesema kuwa, Sheria zinapaswa kutumika kama nyenzo ya kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa kufungua fursa, kuongeza uwajibikaji, kuvutia uwekezaji, kuongeza mapato ya Serikali, kuboresha elimu na afya. Mwanasheria Mkuu wa Serikali…

Tanzania Kinara wa Hifadhi ya Graphite Afrika, Mahitaji ya Lithium Yaendelea Kuongezeka Duniani

📍Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth…

Mbunge Asha Moto aipongeza Serikali-uwekezaji gesi asilia

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mtwara, Mhe. Asha Moto, amepongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya gesi asilia kupitia TPDC, alisema uwekezaji huo unachangia ukuaji…