Category: MCHANGANYIKO
Jaji Masaju awang’ata sikio vijana nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, George Masaju amewataka vijana nchini kutumia vipaji, ubunifu na maarifa waliyopewa ili kuchangia maendeleo ya taifa badala ya kusubiri kuajiriwa pekee. Jaji Masaju amesema hayo jijini Dar es…
Serikali yapongeza utekelezaji wa mradi wa EACOP
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, imeeleza kuridhishwa na hatua kubwa ya maendeleo zilizofikiwa katika ujenzi wa miundombinu ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Akizungumza wakati wa ziara ya…
Wizara yaahidi kutekeleza Mradi kwa Kukuza Usawa wa Kijinsi Tanzania- PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imeahidi kutekeleza ushauri uliyotolewa na Benki ya Dunia (World Bank) katika utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania- PAMOJA unaotekelezwa na Wizara hiyo kwa…
Masauni ataka kila Mtanzania awe mlinzi wa mazingira
*Kongamano la mazingira kushirikisha watu zaidi ya 1,000 Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yatakayofanyika Juni 5 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Hayo yalisemwa jana jijini…
Mfumo ufuatiliaji uchafuzi mazingira mbioni kukamilika
Na Mwandishi Wetu SERIKALI inakamilisha ufungaji wa mfumo wa kisasa wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira utakaowezesha kufuatilia viwango vya uchafuzi kwa wakati na kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanaokiuka Sheria. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…
Kamati yaipongeza Serikali hatua za kuiinua MSD
Kamati imeipongeza Serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kuchukuliwa kuiimarisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD), ikiwemo ujenzi wa maghala makubwa pamoja na juhudi za kupunguza madeni yanayoikabili taasisi hiyo muhimu katika sekta ya afya nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa bungeni,…





