JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia wasio na uwezo ili nao waweze kutimiza ibada ya funga ipasavyo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ameyasema…

Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi wa Mradi wa DART amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha inamaliza…

Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali

Na Mwandishi wetu– WAF, Dar es Salaam. Wizara ya Afya imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kufuatilia ushauri wa kitaalam ili kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali kama ilivyoelezwa katika taarifa kwa umma ya Mganga Mkuu wa Serikali hivi karibuni Hayo…

Fedha za miradi kimkakati ni kichocheo cha ajira na uchumi jumuishi

Serikali imejipanga kupeleka fedha kwenye miradi mbalimbali ya kimkakati ili wananchi waendelee kufaidika, ikiwemo kupata ajira katika sekta binafsi na serikalini.‎‎Akizungumza Februari 26, 2026 wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa barabara ya Ntendo – Kizungu wenye urefu wa kilomita 25…

Mfumo wa kidijitali wa elimu waamsha matumaini kufikia Dira ya Maendeleo 2050

Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Ladislaus Mnyone, amesema matumizi ya teknolojia katika sekta ya elimu ni nguzo muhimu ya kuiwezesha Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050. Prof. Mnyone…