Category: MCHANGANYIKO
Tanzania yaadhimisha Siku ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi wake, hususan vijana, kutambua na kujivunia historia ya taifa pamoja na mchango wake katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika. Wito huo umetolewa wakati wa maadhimisho ya…
Dk Yonazi akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TACAIDS Dk MRISHO
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Adam Joseph…
Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa
📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha…
Serikali inaboresha miundombinu ili mtoto apate haki yake ya elimu bora – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania…
Tumerejesha mawasiliano daraja la Nguva -Sanga
• Akagua na kuipongeza Serikali kuchukua hatua za haraka • Daraja hilo sasa kukamilika Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigamboni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mhe. 𝗛𝗮𝗿𝗮𝗻 𝗦𝗮𝗻𝗴𝗮 ameipongeza Serikali kwa hatua za haraka za kurejesha mawasiliano katika Daraja la Nguva…
Miaka 30 kwa kujaribu kumbaka kikongwe
Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela James Hashimu Chingwaru (20), mkazi wa Kijiji cha Mtina, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 75. Adhabu hiyo imetolewa…





