JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

PSSSF yawaasa wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi za ndani kukuza viwanda, ajira

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)Fortunatus Makore Magambo, amewataka Wabunge nchini kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi zinazozalishwa Tanzania kwa kuzitumia na kuzitangaza, ili kuchochea ukuaji wa viwanda…

Kiwanda kikubwa cha kuzalisha bidhaa za chuma kujengwa Nala, jijiji Dodoma

▪️Ni uwekezaji wa zaidi ya Tsh Bilioni 600 ▪️Malighafi ya madini chuma kutumika kama bidhaa kuu ▪️Ajira 1500 kuzalishwa, huku ujenzi ukikamilika ndani ya miezi 15 kuanzia Julai, 2026 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya Uwekezaji ▪️Waziri Mavunde apongeza…

Serikali yaendelea na mkakati wa Sinza kuwa kitovu cha makazi ya kisasa

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeendelea kusisitiza ushirikishwaji wa wananchi na wamiliki wa ardhi katika utekelezaji wa Mpango wa Uendelezaji Upya wa Eneo la Sinza jijini Dar es Salaam, unaotarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka 20 kuanzia mwaka 2026 hadi 2046….

Rais Samia kupokea gawio la Serikali Juni 30 Ikulu Dar

Naibu Msajili wa Hazina, Lightness Mauki, amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwazi, uwajibikaji na usimamizi wa uwekezaji wa umma ili kuhakikisha rasilimali zilizowekezwa katika taasisi, mashirika ya umma na kampuni zenye hisa za Serikali zinaendelea kuleta tija kwa wananchi na taifa…

Italia kuwekeza biashara ya kaboni Tanzania

Na Mwandishi Wetu UHIRIKIANO baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SJMT) na Serikali ya Italia umeleta manufaa nchini ambapo taifa hilo limeonesha nia ya kufanya uwekezaji katika biashara ya kaboni na hifadhi ya mazingira kwa ujumla. Hayo…

Uwanja wa ndege Kimataifa wa Msalato Dodoma kukamilika Septemba

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Serikali imesema kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato jijini Dodoma unatarajiwa kukamilika na kuanza kutumika ndani ya mwezi Septemba mwaka huu, hatua inayotarajiwa kuimarisha usafiri wa anga na kulipa hadhi zaidi jiji la Dodoma…