Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaahidi kusimamia haki za wakimbizi
Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kulinda,kusimamia na kutekeleza haki za binadamu ikiwemo haki za raia wa Tanzania na Wakimbizi kutoka nchi mbalimbali wanaohifadhiwa hapa nchini ambapo pia imesema itaendelea kusimamia Amani na Usalama ili madhira yanayotokea katika nchi nyingine yasitokee…
TBA yatekeleza mpango wa nyumba za gharama nafuu kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inayolenga kuhakikisha wananchi wanapata makazi bora na ya gharama nafuu, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeendelea kutekeleza mpango wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu…
Serikali yaweka msingi imara wa uwezeshaji wanawake kiuchumi kupitia mradi wa PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Anna Athanas Paul, amewataka washiriki wa mafunzo ya utambuzi na uorodheshaji wa vikundi vya uzalishaji kiuchumi vya wanawake kufanya kazi kwa umakini na weledi ili…
Madini ya kinywe ‘ graphite’ yazidi kuimarika Handeni, kina uwezo wa kusindika tani 12,000 kwa mwaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni SEKTA ndogo ya madini kinywe (graphite) imezidi kuimarika kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua na kusindika madini hayo katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Juni 19, mwaka huu, Mwenge wa Uhuru wenye kaulimbiu inayosema “Tanzania…
ILO yazindua mwongozo wa habari za uhamiaji, JOWUTA yatia neno
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mombasa Shirika la Kimataifa la Kazi Duniani (ILO), limezindua mwongozo wenye kanzi data kwa wanahabari kuandika na kutangaza habari za wahamaji. Mwongozo huo umezinduliwa jana Ijumaa, Juni 20,2026 na Mshauri Mkuu wa Kiufundi kutoka ILO, Charles…





