JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Nchimbi awasili Chato kumwakilisha Rais mazishi ya bi Suzana Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato Mkoani Geita, ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Magufuli…

Tanzania yajipanga kuwa mzalishaji mkubwa madini Kinywe ‘Graphite’ duniani

*Sera imara na usimamizi thabiti wa Mhe. Rais Samia kuchochea uzalishaji *Serikali yasaini mkataba wa ubia wa uchimbaji wa madini kinywe na Kampuni ya Lindi Jumbo *Tani 40,000 kuzalishwa kwa mwaka, kwa zaidi ya miaka 24. *Waziri Mavunde awataka wamiliki…

Tanzania, China waanza utekelezaji maazimio kuimarisha matibabu na udhibiti magonjwa

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Kuelekea utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa na Waziri wa Afya Tanzania Bara Mhe. Mohamed Mchengerwa pamoja na Waziri wa Afya wa Jamhuri ya watu China Mhe. Haichao Lei yaliyofikiwa kati ya nchi hizo…

Kidato cha sita waitwa JKT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita 2026 kutoka shule za Tanzania Bara na Zanzibar kuripoti kwenye makambi mbalimbali ya JKT kwa ajili ya Mafunzo…

Miaka 40 ya NEMC, JET yapewa tuzo ya heshima

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo Mei 28, 2026 limetambua mchango mkubwa wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) katika kuandika na kuhabarisha umma kuhusu masuala ya…

Serikali yakaza udhibiti wa mbegu feki kulinda wakulima

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Serikali imewataka viongozi wa mikoa na wilaya, hususan maeneo ya mipakani, kuongeza usimamizi wa mbegu zinazoingia nchini ili kuzuia kuenea kwa mbegu zisizo na ubora ambazo zimekuwa zikichangia hasara kwa wakulima na kudhoofisha sekta ya kilimo….