Category: MCHANGANYIKO
Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
Dar es Salaam Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Hassan Mussa Omar ameielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha inaongeza makusanyo ya kodi ili kuendana na hali ya ukuaji wa uchumi unaoendelea kushuhudiwa nchini. Amezungumza hayo wakati akitembelea banda la TRA…
Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekagua Daraja la Mto Nyathorogo lililopo katika Kijiji cha Nyathorogo, Kata ya Nyathorogo, wilayani Rorya, mkoani Mara, ambalo limejengwa kwa lengo la kuboresha huduma za usafiri na usafirishaji kati ya wilaya za Rorya na Tarime….
Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency – PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeendelea kuimarisha upatikanaji wa mafuta nchini, kudhibiti mfumuko wa bei, kuhakikisha ubora…
Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
Serikali imeanza ujenzi mpya wa barabara inayounganisha mikoa ya Njombe na Ruvuma baada ile ya awali kuanza kuchoka kutokana na kutumika kwa zaidi ya miaka 40. Akizungumza katika uzinduzi wa ujenzi wa barabara hiyo, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, alisema…
Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
📌 utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi, viwanda na shughuli za kiuchumi 📌 Wananchi wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme yenye uhakika zaidi baada ya kukamilika kwa mradi 📌 TANESCO yavunja rekodi kwa kuunganisha zaidi ya wateja laki nane mwaka…
Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amewataka waendesha maghala kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na utoaji wa huduma bora ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akifungua kikao maalumu cha waendesha…





