Category: MCHANGANYIKO
Malezi ya maadili yasisitizwa Katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wazazi na walezi wametakiwa kuongeza juhudi katika kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili mema na kuwapa nafasi ya kusikilizwa, hatua ambayo imeelezwa kuwa msingi muhimu wa kuwajenga watoto wenye kujiamini, kuwajibika na kuepuka tabia hatarishi zinazoweza kuathiri…
Mradi mpya wa umeme Kongwa kuleta ahueni kwa wamiliki wa viwanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kongwa Wamiliki wa viwanda vidogo katika Wilaya ya Kongwa wameeleza matumaini makubwa ya kuondokana na changamoto ya umeme mdogo (low voltage) na mgao wa umeme kufuatia kuzinduliwa kwa mradi mpya wa miundombinu ya umeme utakaoimarisha upatikanaji…
Ndejembi azindua mradi wa bilioni 10.5/- Mbande, kung’arisha wilaya nne
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO imepiga hatua nyingine katika kuimarisha miundombinu ya nishati nchini baada ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), kuzindua rasmi Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji…
Taasisi za umma na binafsi zahimizwa kuwajibika kwa jamii
Mwenza wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza Taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kupitia utekelezaji wa programu za uwajibikaji kwa jamii (CSR)….
Wadau wavutiwa elimu ya vipimo maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wadau mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16, 2026 wamekiri kuvutiwa na elimu inayotolewa na timu ya wataalamu kuhusu matumizi…
Vullu aitaka jamii kutenga muda kwa watoto badala ya kuendekeza ‘ubusy’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Pwani, Zainab Vullu, amewasihi wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto kwa kuwajenga katika misingi ya maadili, hususan watoto wa kiume ambao kwa sasa wanakabiliwa na hatari zinazotokana na mazingira…





