JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bandari ya Pemba kufungua zaidi milango ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Pemba ina vivutio vingi vya utalii hivyo ujenzi wa Bandari ya Mkoani, Pemba itafungua zaidi milango katika sekta…

Wananchi Kahama wamshukuru Rais Samia kuwafikishia umeme wa REA

📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vitongoji vyote vilivyobakia vitafikiwa 📌Awasisitiza kutunza na kulinda miundombinu ya umeme 📍Kahama – Shinyanga Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya…

Kairuki atoa miezi mitatu kwa taasisi zinazohusika na ukusanyaji na usambazaji taarifa binafsi

Na John Walter, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Angela Kairuki ametoa miezi mitatu kwa taasisi mbali mbali ambazo zinahusika na Uchakataji,Ukusanyaji na Usambazaji wa taarifa binafsi kukamilisha usajili wake mara moja. Kairuki amesema kuwa Sheria ya…

Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili 2025

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE (SFNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/sfna/sfna.htm MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA KIDATOCHA PILI (FTNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/ftna/ftna.htm