JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Fedha yawakutanisha wadau wa ununuzi wa ugavi

Na Saidina Msangi, WF, Morogoro Wizara ya Fedha imewakutanisha wadau wa ununuzi na ugavi kutoka katika taasisi za umma nchini, katika kikao kazi cha uthibitisho wa Rasimu ya Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi Endelevu (2026 –…

Dkt : Mwigulu: Serikali inathamini mchango wa sekta binafsi katika kuinua ubora wa elimu nchini

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuthamini na kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi katika sekta ya elimu kutokana na mchango wake mkubwa kwenye kuongeza ubora wa elimu na kuandaa rasilimali watu yenye maarifa, ujuzi na maadili yanayohitajika katika…

Serikali yasisitiza matumizi ya GAMIS kuimarisha usimamizi wa mali za umma

Na. Josephine Majura, WF, Pwani Serikali imezitaka taasisi zote za umma nchini kuimarisha usimamizi wa mali za Serikali kwa kuhakikisha taarifa zote za mali zinaingizwa na kutunzwa katika Mfumo wa Serikali wa Usimamizi wa Mali (GAMIS), ili kuongeza uwajibikaji, kuimarisha…

TANESCO yafungua ukurasa mpya wa matumizi ya umeme nchini

…………………….. *Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme *Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kupitia LUKU Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya…

Mramba akutana na wadau wa Kimataifa kuendeleza miradi ya Jotoardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kuhusu fursa za kuendeleza miradi ya jotoardhi na kuimarisha matumizi ya nishati safi…

DC Mbalali aongoza zoezi la upandaji miti kuhifadhi mazingira ya mradi wa TAZA

📌 Lengo ni kuimarisha na kuhifadhi mazingira 📌 Maeneo yenye vyanzo vya maji vinavyochangia uzalishaji wa umeme kupewa kipaumbele Na Agnes Njaala, Itamboleo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Brigedia Jenerali Maulid Surumbu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika maeneo yaliyopitiwa…