Category: MCHANGANYIKO
Rais Dk Samia kuzungumza na wazee kesho
Rais wa Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam siku ya Jumanne Disemba 2 mwaka huu ambapo pia atatumia mkutano huo kulihitubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu…
Waziri Lukuvi :Dawa za kufubaza makali ya VVU zipo kwa asilimia 100 nchini
Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William V. Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARVs) zinapatikana kwa asilimia 100 nchini na…
Dk Nicas aahidi kicheko cha maendeleo Manispaa Mji Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Tumbi, Dkt. Mawazo Nicas, ameshinda nafasi ya Ustahiki Meya wa Manispaa ya Mji Kibaha kupitia kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kupata kura 15 kati ya…
Namtumbo kuanza kulima zao la kakao msimu wa kilimo
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera amesema,katika msimu wa kilimo 2025/2025 wakulima wataanza kulima zao la Kakao kama mkakati wa Wilaya hiyo kuwa na mazao mengi…
Dk Mwigulu akagua uharibifu wa kituo cha Polisi Kikatiti
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amewataka wananchi kuwa makini dhidi ya…
Watu 607 waliokamatwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi mkuu waachiliwa
Na Mwandishi Wetu, Namtumbo WAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera amesema,zaidi ya watu 607 kati ya 2,500 waliokamatwa baada ya kufanya vurugu kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu wameachiliwa huku wengine 1,736 wataachiliwa hivi karibuni. Waziri…





