JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pwani yajipanga kwa uchaguzi, vituo 3,941 na wapiga kura ni milioni 1.4

Na Mwamvua Mwinyi, JamhiriMedia, Pwani Jumla ya vituo 3,941 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Mkoa wa Pwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, kwa mujibu wa Mratibu wa Uchaguzi wa mkoa huo, Gerald Mbosoli. Mbosoli amesema kuwa…

TMA yatoa taarifa ya uwepo kimbunga ‘Chenge’ Kusini Magharibi Bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi, Kaskazini Mashariki mwa Kisiwa cha Madagascar umbali wa takribani kilometa 2400 kutoka Mashariki mwa pwani ya Mtwara. Kimbunga “CHENGE” kilianza…

Asilimia 83 ya Watanzania wathibitisha kupiga kura Oktoba 29,2025

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Takwimu zinaonyesha asilimia 83 ya wananchi walioshiriki kura ya maoni kutoka mikoa 19 wamethibitisha kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025 kwa kupiga kura. Takwimu hizo zimetolewa na Kituo cha Sera za Kimataifa-Afrika(Centre for International…

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika Uchaguzi Mkuu, wakisisitiza kuwa amani ni nguzo muhimu kwa ustawi wa taifa. Viongozi hao kutoka mikoa…

Samia aahidi mageuzi sekta ya kodi

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kufanya mageuzi ya kodi mbalimbali endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza tena nchi.Amesema tume ya kukosa maoni kuhusu masuala ya kodi imekamilisha mchakato wake.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati…

Samia: Vyombo vya ulinzi vimejipanga

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vizuri wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa majimbo Kivule, Segerea, Ukonga…