Category: MCHANGANYIKO
NMB yatambuliwa kwa ubora kwenye tuzo za OSHA 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tano muhimu kutoka Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) katika Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi kwa mwaka 2025, hatua inayodhihirisha juhudi za…
Wakili Mwanaisha Mndeme ajitosa kuwania ubunge Kigamboni
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakili na Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara wa Chama cha ACT -Wazalendo, Mwanaisha Mndeme, amejitosa kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigamboni. Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu ya…
Waziri Kikwete aipa tano CRDB kuwa na mifumo bora ya usalama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza Benki ya CRDBkwa kuwa na mifumo bora ya usalama na afya ya wafanyakazi, wateja na jamii kwa ujumla mahala…
JWTZ yatangaza nafasi za kujiunga na Jeshi, yatoa tahadhari dhidi ya matapeli
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dodoma Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia sekondari hadi elimu ya juu, huku likitoa onyo kwa wananchi kuhusu uwezekano wa kujitokeza kwa…
Waziri Chana akutana na sekretarieti ya mkataba wa Lusaka
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu Mkutano wa 14 wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka(LATF) unaotarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia…
Ofisi ya Makamu wa Rais kutekeleza mradi wa mazingira Zanzibar
Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kutekeleza Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya tabianchi katika jamii za Wazanzibari zilizoathiriwa na maji chumvi na kukosa maji baridi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)…