JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Kombo ashiriki mkutano wa dharura Kamati ya Mawaziri SADC -MCO Kenya

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi, na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-MCO),…

Wamiliki viwanda vipya watakiwa kuajiri wazawa kukuza biashara na uchumi

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amewashauri Wamiliki wa Viwanda vipya Kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira ili kukuza uchumi na mapato ya Taifa kwa ujumla. Akizungumza wakati wa akifungua wa Kiwanda kipya cha kutengeneza tambi za papo…

Wahimizwa kutumia fursa ya biashara China

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Darv3s Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga,amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia fursa ya sera ya “uchumi sifuri” iliyotolewa na China ili kukuza biashara na uchumi wao. Hayo ameyasema wakati wa mkutanowa wadau wa biashara kuhusu…

Waziri Ndejembi aweka jiwe la msingi mradi wa kusafirisha umeme Benaco – Kyaka

📌Lengo ni kuunganisha Mkoa wa Kagera na Gridi ya Taifa 📌Zaidi ya bilioni 270 zitatumika kutekeleza mradi Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Deogratius Ndejembi, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti…

Kamati ya Bunge ya Nishati yafurahishwa na uwekezaji unaofanywa na Oryx kwa kuchochea maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na Oryx Energies Tanzania Limited ni kielelezo cha mafanikio ya juhudi za Serikali katika kuimarisha sekta binafsi na kuongeza mchango…

ACT yaomba Serikali ipunguze tozo kutokana hali ya maisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI wananchi wakilalamikia kupanda kwa gharama za maisha nchini, Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa angalau Sh. 500 katika kodi na tozo za mafuta kwa kila lita ili kupunguza mzigo unaoendelea kuwaathiri…