Category: MCHANGANYIKO
Waziri wa Ajira na uwekezaji Zanzibar aanika mipango ya wizara kujenga uzalendo na uchumi imara
Na Rahma Khamis, Maelezo Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe, Shaaban Ali Othman amesema kuwa lengo la Kuwepo kwa Wizara hiyo ni kuhakikisha kila kijana anakua mzalendo kwa kujenga Uchumi wake na Taifa kwa ujumla Ameyasema hayo Jang’ombe Wilaya…
Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kusukuma na kuhifadhi maji Mwanza
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Kusukuma na Kuhifadhi Maji katika mkoa wa Mwanza, mradi unaolenga kuboresha usambazaji wa maji safi na salama kwa wananchi. “Miradi hii ni kwa ajili…
Kiwanda cha sukari Mkulazi chaanza kuleta tija
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Deus Sangu, ameridhishwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mradi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ndani ya muda mfupi kiwanda hicho kitaanza kujiendesha…
Dk Mwigulu awasili Mwanza kwa ziara ya kikazi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu anatarajiwa kutembelea Kituo cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda, kukagua Meli ya Ambulance, kuweka Jiwe la Msingi la…
SJMT, SMZ zaweka mikakati kuimarisha muungano
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zimepanga kuimarisha mashirikiano ili kuhakikisha fursa za Muungano zinawanufaisha wananchi na kuakisi maono ya Waasisi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi (Januari 22, 2026) Mjini Zanzibar na Katibu Mkuu Ofisi…
Miradi, mikataba ya kimataifa kuleta fursa kwa wananchi wa pande zote za muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yya Mapinduzi Zanzibar zimejipanga kuhakikisha zinanufaika vyema na fursa za programu za miradi na mikataba ya kimataifa kuhusu mazingira na mabadiliko ya tabianchi. Rai hiyo imetolewa…





