Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu, Mwigulu ashiriki kwenye bonanza la Azania Bank Bunge Bonanza 2026
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 31, 2026 ameshiriki kwenye Azania Bank Bunge Bonanza 2026 linalofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya John Merlin jijini Dodoma. Bonanza hilo limewahusisha Waheshimiwa Wabunge, Watumishi wa Ofisi ya Bunge, Taasisi mbalimbali…
Mikakati yawekwa kuijenga upya Tanzania kimiundombinu
SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza Pato la Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam , Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega,…
PPRA yatoa wito utekelezaji wa asilimia 30 ya zabuni Kibaha vijijini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Msimamizi wa mifumo kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Pwani, Kenneth Mnnembuka, ametoa wito kwa taasisi na Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha kuhakikisha zinatekeleza matakwa ya Sheria ya Ununuzi wa…
DC Nickson: Migogoro mikubwa ya ardhi Kibaha tumeimaliza na mingine tumeidhibiti
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, amesema migogoro mikubwa ya ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imedhibitiwa, huku baadhi ya migogoro ya mipaka ikiwasilishwa katika mamlaka husika ili kuhakikisha wananchi hawaathiriki katika upatikanaji…
Diwani Nyantori amshukuru Rais Dkt Samia yaliyofanyika siku 100 Kata ya Mbezi
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Kata ya Mbezi iliyopo Halmashauri ya Ubungo Dar es Salaam katika siku 100 za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa vivuko, barabara, Ukarabati wa shule 12 na kukamilika kwa…
Trump: Ni ‘hatari’ kwa Uingereza kushirikiana na China kibiashara
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa ni ‘hatari’ kwa Uingereza kuwa na ushirikiano wa kibiashara na China. Hii inajiri wakati ambapo waziri mkuu wa Uingereza yuko katika siku ya tatu ya ziara yake nchini China. China na Uingereza zilitangaza…





