Category: MCHANGANYIKO
Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. Kikao hicho ni sehemu ya ziara ya…
TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini, ikionya kuwa hali hii inaendelea kuhatarisha afya ya wananchi,…
Jaji Masaju : Usuluhishi njia halali ya upatikanaji haki
Na Mary Gwera – Mahakama, Dar es Salaam Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amesema kuwa, Usuluhishi haupaswi kuitwa njia mbadala ya utatuzi wa migogoro kwakuwa ni njia mojawapo inayotambulika kikatiba. Mhe. Masaju ameeleza hayo…
Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Halmashauri ya jiji la Arusha imetoa mikopo ya asilimia kumi isiyo na riba ya jumla ya shs bilioni 2.65 kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuinua…
CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini kimeanza mpango wa kurahisisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), ili kupunguza kero kwa wananchi, hasa wa maeneo ya pembezoni….
Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetangaza hatua mpya ya kuboresha utoaji huduma kwa kuunganisha mifumo ya kidijitali ya TANCIS ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na RIMS ya TMDA, hatua inayolenga kuongeza ufanisi, uwazi na…





