JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto MKUU wa Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, Remidius Mwema, amekabidhiwa rasmi jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto na Mkuu wa Mkoa Queen Sendiga, lenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 lililopo Mtaa wa…

Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu

Na OWM – TAMISEMI, Kibiti Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema kuwa, Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi Trilioni 1.34 kuleta mageuzi katika utoaji wa huduma…

Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa

Na John I Bera Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa (UN Tourism), Shaikha Nasser Al Nowais, tarehe 29 Aprili, 2026 katika eneo…

RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MWENYEKITI wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa huo, Abubakar Kunenge, ameagiza askari polisi kujitathmini kwa kuzingatia utii, weledi na haki katika utekelezaji wa majukumu yao. Kunenge…

Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili

Polisi Kata Kata ya Nawenge, iliyopo Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, ametoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nawenge na kuwapa mbinu kuhusu namna ya kuepukana ukatili na kuripoti vitendo vya ukatili. Akizungumza na wanafunzi hao, Staff Sajenti wa…

Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa wito kwa watendaji wa uchaguzi kuhakikisha wanatumia muda wao kusoma Katiba, sheria za uchaguzi, kanuni na maelekezo ya Tume ili waweze kusimamia uchaguzi kwa weledi. Wito huo umetolewa…