JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mlipuko wa vyuma chakavu waua wawili na kujeruhi Bagamoyo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Watu wawili wamefariki dunia na mwingine kujeruhiwa vibaya, huku nyumba kadhaa zikiharibiwa, kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma chakavu lililopo Mtaa wa Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi wa…

Wakandarasi miradi ya umeme Tanga watakiwa kuongeza kasi ya huduma kwa wateja

📌Vijiji vyote 763 sawa na asilimia 100 vimeshapata huduma ya umeme Tanga 📌Vitongoji 2,382 sawa na asilimia 52.6 vimeshapata huduma ya umeme 📌Shilingi bilioni 68.5 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Tanga 📍Korogwe – Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza…

Dk Mpango aikaribisha Ghana kuwekeza ncini

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka Ghana kuwekeza nchini kupitia fursa nyingi zilizopo katika sekta ya madini, kilimo, utalii, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), elimu na huduma za jamii. Dk Mpango ameeleza hayo alipozungumza na Balozi…