JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi wa OMH, Kibaha, Pwani Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya siku nne kwa watumishi wapya 20 walioajiriwa katika ofisi hiyo, kwa lengo la kuwajengea uwezo…

Rais Mwinyi awahimiza waumini kuendelea kuitafuta elimu kujijengea heshima ndani ya jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kutenda mambo mema ili kutajwa kwa wema ndani ya jamii pale wanapotangulia mbele ya haki. Amesema hayo leo aliposhiriki Ibada…

Wawekezaji wa ndani wapewa elimu ya kuchangamkia fursa za uwekezaji nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Serikali imesema imejipanga kutoa elimu maalumu kwa Watanzania kuhusu fursa za uwekezaji ili kuongeza idadi ya miradi inayomilikiwa na wazawa na kupunguza utegemezi kwa wawekezaji wa nje. Kauli hiyo imetolewa Leo January 16,2026 jijini Dar…

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa umeme Iringa na Dodoma

📌Sweden, Norway wapongezwa kuwezesha utekelezaji wa mradi huo 📌Kituo kimejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 9.2 📌Kituo kinauwezo wa kutoa jumla ya megawati 18 📌Kamati ya Bunge ya Nishati waipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini kikiwemo kituo…

Madiwani Kibaha, Chalinze watakiwa kusimamia rasilimali za umma kwa thamani ya fedha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Shangwe Twamala, amewataka Madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Chalinze kuimarisha usimamizi wa rasilimali za umma, ikiwemo mapato na fedha za Serikali na kuhakikisha miradi ya…

Watalii 85 kutoka mataifa 6 watembelea magofu ya Kilwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuruMedia, Kilwa – Lindi Tanzania imeendelea kuthibitisha kuwa ni kisiwa cha amani na kivutio kikubwa cha utalii duniani, baada ya meli ya kitalii Island Sky Nassau kutia nanga leo tarehe 15 Januari 2026 katika Hifadhi ya Urithi wa…