JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Mbalali aongoza zoezi la upandaji miti kuhifadhi mazingira ya mradi wa TAZA

📌 Lengo ni kuimarisha na kuhifadhi mazingira 📌 Maeneo yenye vyanzo vya maji vinavyochangia uzalishaji wa umeme kupewa kipaumbele Na Agnes Njaala, Itamboleo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Brigedia Jenerali Maulid Surumbu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika maeneo yaliyopitiwa…

FCC, ZFCT zaimarisha ushiriliano ushirikiano kulinda ushindani wa haki

Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi…

Wakulima wa pamba wajitokeza kufungua akaunti kupokea malipo ya mazao

Wakulima wa zao la pamba kutoka vijiji vya Mbutu, Iyogelo, Ilambakuki, Imalanguzu na Mwamakoma vilivyopo katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wamehamasika kufungua akaunti za benki na kusajili laini za simu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kupokea malipo…

JKT yafungua milango kwa walioshindwa kuripoti makambini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefungua tena dirisha la kujiunga na mafunzo kwa vijana waliochaguliwa mwaka 2026 lakini wakashindwa kuripoti katika makambi waliyopangiwa awali, likiwataka kutumia fursa hiyo kwa kuripoti kwenye makambi yaliyo karibu na maeneo…

WRRB, EHCSS ya Misri kuboresha sekta ya ghala

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imefanya mazungumzo na Kampuni ya Egyptian Holding Company for Silos and Storage (EHCSS) ya nchini Misri ili kuimarisha usimamizi wa ghala, matumizi ya teknolojia za kisasa na kukuza biashara…

CRDB yahitimisha Kampeni ya Fainali ndiyo Mpango na Tembo Card Washindi 10 kupelekea Kombe la Dunia 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Benki ya CRDB imehitimisha rasmi kampeni yake ya “Fainali Ndiyo Mpango” kwa kushirikiana na TemboCard, huku washindi mbalimbali wakijinyakulia zawadi zenye thamani kubwa ikiwemo televisheni za kisasa (Smart TV) na safari ya kwenda kushuhudia…