Category: MCHANGANYIKO
Mkutano Mkuu wanahisa wa Taasisi ya Afrika50 na Jukwaa la miundombinu kufanyika Agosti 5 hadi 6
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum) inayotegemewa kufanyika tarehe 5 na…
Waziri Kapinga : Uwekezaji wa Azania Group utaongeza ajira na kuchochea uchumi wa taifa
Serikali imeipongeza Azania Group kwa kutimiza miaka 25 ya mafanikio katika sekta ya viwanda na biashara, huku ikieleza kuwa kampuni hiyo imeendelea kuwa mfano wa uwekezaji wa wazawa baada ya kutangaza mpango wa kuwekeza zaidi ya Shilingi trilioni moja katika…
Mabanda ya NMB yavuta mawaziri na wananchi Maonesho ya Nane Nane
Mabanda ya Benki ya NMB yanaendelea kuwa miongoni mwa vivutio vikuu katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika kanda mbalimbali nchini, huku mawaziri, viongozi wa Serikali na maelfu ya wananchi wakitembelea kujionea suluhisho za kifedha zinazowezesha kilimo, mifugo, uvuvi na…
Mzumbe yatoa ushauri wa uchaguzi wa kozi Mlimani City
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHUO Kikuu Mzumbe kimewahimiza wanafunzi na wazazi kutumia fursa ya kambi maalumu ya udahili inayoendelea katika viwanja vya Mlimani City ili kupata ushauri wa kitaaluma na kufanya maamuzi sahihi kuhusu uchaguzi wa kozi za…
eGA yaibua mifumo ya kidigitali inayochochea mapinduzi ya kilimo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Matumizi ya teknolojia ya kidijitali yanaendelea kubadilisha sekta ya kilimo nchini, huku Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ikieleza kuwa imebuni na kuendeleza mifumo mbalimbali inayorahisisha huduma za Serikali, kuimarisha uwazi na kuongeza tija kwa wakulima na taasisi…
TFC yahamasisha matumizi ya mbolea kwa tija kwa kilimo
Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahimiza wakulima nchini kuachana na dhana potofu kuhusu matumizi ya mbolea, ikisisitiza kuwa kilimo cha kisasa kinahitaji matumizi sahihi ya mbolea ili kuongeza uzalishaji na tija mashambani. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Uendeshaji Biashara…





