Category: MCHANGANYIKO
Kamati Kuu ya CCM yaja na maazimio haya
Kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, kimefanyika leo tarehe 05.11.2025, jijini Dodoma. Hiki ni kikao cha kwanza…
Haya hapa matokeo darasa la saba
SOMA HAPA https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/psle/psle.htm
Wageni 140 kutoka mataifa mbalimbali watembelea Hifadhi ya Kilwa Kusiwani
Na Mwandishi Wetu Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kale ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara wilayani Kilwa imeendelea kuwa kivutio kikubwa kwa watalii kutoka ndani na nje ya nchi, ambapo tarehe 31 Oktoba 2025 ilipokea…
CCM yafanya uteuzi wa wagombea nafasi za Spika na Naibu Spika
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, leo Jumatano, Novemba 5, 2025. Kikao hicho…





