Category: MCHANGANYIKO
Njia ya kusafirisha umeme kutoka bwawa la Julius Nyerere ya Chalinze – Dodoma imekamilika – Mramba
📌 Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze 📌 SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme…
TBS Yatoa Mafunzo ya Viwango vya Ufanisi wa Nishati
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya nishati na kuwasaidia wananchi kupata vifaa bora na…
Bodi ORCI yakutana Mbeya kupitia utekelezaji wa shughuli za Taasisi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya ameongoza kikao cha Bodi kilichofanyika hivi karibuni jijini Mbeya kwa lengo la kujadili na kutoa mwelekeo wa kimkakati kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi…
Serikali kuendelea kuimarisha afua za UKIMWI nchini
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau mbalimbali katika kuendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…
Sekta binafsi kuchangia asilimia 70 ya dira 2050
Sekta binafsi nchini inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…





