Category: MCHANGANYIKO
Londo awataka maafisa biashara nchini kuibua fursa za uwekezaji
Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali…
TBS Yateketeza Tani 39 za bidhaa za Chakula
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeteketeza tani 39 za bidhaa za chakula zisizokidhi matakwa ya viwango, zenye thamani ya takribani Sh milioni 149, ikiwa ni hatua ya kuwalinda wananchi dhidi ya matumizi ya bidhaa…
TRAMEPRO : Siri kubwa ya mafanikio ya taifa ni kuwekeza kwa vijana
Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Zanzibar Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Vijana Duniani, Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO) limedai vijana ni nguvu ya leo, wajibu wa kesho na walinzi wa dunia, hivyo wanapaswa kupewa nafasi na…
TMDA, Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa Denmark kushirikiana udhibiti bidhaa tiba nchini
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Nchini (TMDA), imeingia mashirikiano na Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa ya Denmark, (Danish Medicines Agency -DKMA) katika nyanja ya udhibiti wa bidhaa tiba Nchini. Hayo yamebainishwa wakati wa kikao maalum kilichofanyika Jijini Arusha hivi…
Waziri Mkumbo afurahishwa na ubunifu wa wanafunzi Chuo cha St Joseph
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Profesa Kitila Mkumbo amepongeza ubunifu ulioonyeshwa na wanafunzi wa Chuo cha St Joseph cha jijini Dar es Salaam, ambao ukiendelezwa utatatua changamoto nyingi zinazoikabili…
GGML yarejesha matumaini kwa watoto 300
*Yatoa bilioni 1.2 kutibu watoto wagonjwa wa moyo Na Mwandishi Wetu, Geita GEITA Gold Mining Limited (GGML) imetenga takribani Sh bilioni 1.2 kwa kipindi cha miaka mitatu kusaidia matibabu ya watoto 300 wenye magonjwa ya moyo nchini, ikiwa ni sehemu…





