Category: MCHANGANYIKO
Ndege agawa kompyta, meza, kabati kwa shule na zahanati Babati
Na Mwandishi Wetu, Babati NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray amegawa viti 45, kompyuta 36, makabati na meza kwa shule za msingi, sekondari, zahanati na vituo vya Afya,…
OWM yashiriki Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Bi. Stella Mwaiswaga pamoja na Watumishi wengine kutoka Ofisi hiyo wameshiriki ufunguzi wa Maonesho…
TANESCO muongeze vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme -Ridhiwani
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amelitaka Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) kuongeza vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia nishati ya umeme ili kuongeza wigo wa utoaji…
Tanzania yazindi kupata uwekezaji kutoka mataifa ya nje
Na Mwandishi Wetu WADAU wa mazingira kutoka Taasisi ya Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) ya Ujerumani wameonesha nia ya kuwekeza na kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu ikiwemo uhifadhi wa mazingira, nishati safi, biashara ya…
Wachina wanne washindwa kusomewa mashtaka kwa kukosekana mkalimani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es salaam Raia wanne wa China, Deng Anqing, Fan Zhong Hua, Zhang Jianjun na Deng Qiang, wanaotuhumiwa kumteka nyara mwenzao, wameshindwa kusomewa mashtaka yanayowakabili katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Kinyerezi jijini Dar es Salaam kutokana…
Wizara ya Viwanda na Biashara yahimiza vijana kutumia fursa za kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imewahimiza wananchi, hususan vijana na wajasiriamali, kutumia kikamilifu fursa zinazotolewa na taasisi zake ili kukuza biashara, kuongeza kipato na kuchangia maendeleo ya uchumi wa taifa. Wito huo umetolewa leo Juni 17,…





