JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Profesa Kabudi akagua maandalizi ya kuelea Siku ya Mashujaa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Profesa Palamagamba Kabudi amekagua maandalizi kuelekea Siku ya Mashujaa Julai 25, 2026ambapo ameleza kuridhishwa na hatua ya kukamilika kwa maandalizi hayo. Waziri Kabudi, amekagua hii leo 24…

14 wafariki, 22 waokolewa baada ya boti kupata hitilafu baharini Mafia

Na Mawamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Timu ya Maafa ya Wilaya ya Mafia imewaokoa manusura 22, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Burundi na Visiwa vya Comoro, walionusurika kifo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Comoro kuelekea Kisiwa cha…

Oryx Gas Yaunga Mkono Nishati Safi kwa Kugawa Mitungi 600 Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu WAJASIRIAMALI 600 wakiwemo wafanyabiashara ya kukaanga samaki naMama lishe katika Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani wamepatiwa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx lengo likiwa kuwawezesha kutumia nashati hiyo ili kuepukana na matumizi ya kuni na mkaa….

Wanafunzi Wahimizwa Kujikita katika Masomo ya Sayansi Kunufaika na Fursa za Scholarship za Serikali

Wanafunzi wa shule za sekondari nchini wamehimizwa kuwekeza zaidi katika masomo ya Sayansi, Teknolojia na Hisabati (STEM) ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali za ufadhili wa masomo (scholarship) zinazotolewa na Serikali. Rai hiyo imetolewa Julai 23, 2026, na Naibu Katibu…

Kairuki aagiza TTCL kuongeza kasi ya kuunganisha wananchi kwenye uchumi wa kidijitali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeliagiza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na taasisi zote zinazosimamia miundombinu ya mawasiliano kuongeza kasi ya kuwaunganisha wananchi, taasisi za Serikali na sekta binafsi kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuhakikisha Watanzania wengi zaidi…

TNCM yaidhinisha ombi la Tanzania ufadhili wa mzunguko wa nane mfuko wa dunia kwa kipindi cha 2027 -2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imeidhinisha rasmi Ombi la Tanzania la Ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko…