Category: MCHANGANYIKO
Prof. Shemdoe : Rais Samia ametoa bil.13/- kujenga daraja la Loya
Na OWM – TAMISEMI, Uyui Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Shilingi Bilioni 13 kutumika kujenga daraja la Loya linalounganisha…
Safari ya miaka nane ya Mji wa Serikali yafikia kilele, Rais Samia kuuzindua kesho
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma DODOMA. Safari ya takribani miaka nane ya Serikali kujenga Mji wa Serikali Mtumba imefikia hatua ya kihistoria, huku Serikali ikitangaza kukamilika kwa sehemu kubwa ya miundombinu ya eneo hilo na maandalizi ya uzinduzi rasmi wa…
Rais Mwinyi : Zanzibar yaendelea kuvutia uwekezaji wa utalii
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inaendelea kupiga hatua katika sekta za uwekezaji na utalii, hali inayozidi kuimarisha nafasi ya visiwa hivyo katika soko la utalii duniani. Rais Dkt. Mwinyi…
Umeme wa uhakika migodini wachangia zaidi ya bil.340/- kwa mwaka
Dodoma, Septemba 3, 2026. Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashimu Komba, amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika katika migodi una mchango mkubwa kwa uchumi wa Taifa, ambapo sekta hiyo huchangia zaidi ya Shilingi bilioni 340 kwa mwaka kupitia mrabaha,…
Wadau sekta ya afya 3000 kushiriki mkutano wa kimataifa wa huduma za afya
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema zaidi ya wadau wa sekta ya afya 3000 kutoka nchi mbalimbali Duniani watashiriki katika Mkutano…
Serikali yaridhishwa na maandalizi ya NHIF kuelekea AFCON
Serikali imeutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kujipanga kikamilifu katika maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hususan katika kuhakikisha wageni watakaofika nchini wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo. Agizo hilo limetolewa…





