JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Saratani ikigundulika mapema inatibika; wananchi wahimizwa kupima

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kupima saratani mara kwa mara ili kama watagundulika kuwa na ugonjwa huo waweze kupata matibabu mapema kwani saratani ikigundulika mapema inatibika. Wito huo umetolewa jana na Mkurugenzi Mtendaji…

Oryx Yatoa Mafunzo Matumizi Salama Nishati Safi ya Kupikia

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba…

Madereva TANESCO wahimizwa kuwa chachu ya utoaji huduma bora kwa wananchi

📌Watakiwa kutunza vyombo vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa huduma 📌TANESCO yanunua vyombo vya usafiri 982 kuimarisha utoaji wa huduma nchini Madereva wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa…

Makonda ; CRDB Zongo Mchongo waja na fursa kemkem

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuendelea kuwekeza katika utoaji wa elimu ya fedha kwa wananchi kupitia vipindi vya ubunifu, akisema hatua hiyo inaunga mkono juhudi za…

Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya…

Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Suala la ulinzi ,amani na usalama wa taifa limeelezwa kuwa sababu kuu iliyosababisha Serikali kusitisha kwa muda mikutano ya hadhara nchini, huku ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni ya muda na itafutwa mara tu vyombo vya dola…