JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Prof. Nombo: Ujuzi wa kisasa ni nguzo ya viwanda na teknolojia

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema Programu ya Pili ya Kukuza Ujuzi na Stadi za Kazi (ESPJ II) ni hatua ya kimkakati inayolenga kuongeza ajira zenye tija na kuimarisha ustawi…

Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu

📌 Shule ya Sekondari Nkololo yaachana na kuni pamoja na mkaa Bariadi, Simiyu📍 Timu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa imezindua rasmi mradi mkubwa wa ujenzi wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Nkololo, iliyopo…

Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Ufalme wa Morocco na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yameendelea kuimarika kwa kasi tangu ziara ya kihistoria ya Kiserikali ya Mfalme Mtukufu Mohammed VI nchini Tanzania mwaka 2016, huku…

Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Chalinze, kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi, Hadija Hemedi Shaha (51),…

Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji

📍NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea na mpango wa kuchimba visima 67,000 nchi nzima, mradi utakaozalisha maelfu ya ajira kwa vijana na kuleta uhakika wa chakula….