Category: MCHANGANYIKO
Serikali kuimarisha ujuzi wa nguvu kazi ya Taifa
Serikali itaendelea kuhakikisha nguvu kazi ya Taifa inakuwa na ujuzi unaoendana na mahitaji ya soko la ajira ili kuongeza tija kazini na ushindani wa uzalishaji. Hatua hiyo inalenga kujenga nguvu kazi yenye ujuzi, maarifa na weledi unaokidhi mabadiliko ya teknolojia…
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi ateta na Bodi ya Wakurugenzi ZPRA
Na Sabiha Khamis -MAELEZO Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Mhe. Masoud Ali Mohamed ameitaka Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi asilia Zanzibar (ZPRA) kuwa na ushirikiano katika utendaji kazi…
Rais Samia awasisitiza majaji, mahakimu kulinda haki na amani ya Taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji na Mahakimu nchini kusimamia haki kwa kuzingatia sheria, maadili na viapo vyao ili kulinda amani, usalama na utulivu wa Taifa. Rais Samia ametoa wito huo jana jijini…
Mollel aipongeza GGM kwa kusaidia upasuaji watoto wanaougua moyo JKCI
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), inahitaji shilingi bilioni 1.6 kwaajili ya kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 420 wanaougua maradhi ya moyo ambao wazazi wao hawana uwezo wa kugharamia matibabu yao. Hayo…
Singida waipa kongole RITA kutoa vyeti vya kuzaliwa ndani ya masaa 48
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wananchi mkoani Singida wameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa uboreshaji wa huduma mbalimbali , ikiwemo ya upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi kwa wale waliokidhi vigezo. Wakizungumza…
Shule zote 18055 za msingi zipo tayari kupokea wanafunzi -Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameridhishwa na maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa darasa la awali na la kwanza katika Shule ya…





