Category: MCHANGANYIKO
Tanzania yashiriki mkutano wa 13 wa amani, uinzi, usalama wa EAC
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za Mambo ya Nje umezikutanisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kujadili…
Kikwete akutana na timu ya mpira wa kikapu ya Dar City Afrika Kusini
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Panel of Elders – POE), na Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika…
Serikali yaweka msukumo mpya kwenye sekta ya makaa ya mawe
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeanza kuweka mkazo mpya katika kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya makaa ya mawe, huku ikiwataka wadau wa sekta hiyo kuungana na kuanzisha chama maalumu kitakachorahisisha mawasiliano na uratibu wa masuala yao na Serikali. Akizungumza leo…
Wadau waaswa kuwekeza katika matumizi ya teknolojia kuchakata taka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) imeweka mikakati madhubuti ya kuimarisha mfumo wa usimamizi wa taka kwa kuandaa Mkakati wa Taifa…
Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza matumizi ya Akili Unde (Artificial Inteligence – AI) ikiwa ni moja ya nyenzo muhimu na ya kisasa katika kukuza mtangamano na kuharakisha maendeleo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kupitia sekta mbalimbali ikiwemo Kilimo, Elimu, Viwanda,…
STAMICO, Planet one zasaini mkataba wa kihistoria uchimbaji madini Kinywe Mirerani
Dkt. Kiruswa ashuhudia Utiaji Saini Mkataba wa Kinywe Mirerani Dkt. Mwasse: STAMICO kuendelea kuvutia mitaji na uwekezaji katika sekta ya madini Nchini Mbibo: Wizara inaendelea kusimamia Sera, Sheria na mifumo madhubuti ya Utafiti, uchimbaji na Uongezaji Thamani Madini📍 Mirerani, Simanjiro…





