JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia ashiriki mkutano wa Global Africa Investment Summit (GAIS)

Dubai | 4 Februari 2026 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana usiku alishiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini Dubai, tukio lililoashiria hatua mpya ya Afrika katika kuvutia mitaji ya kimataifa…

Maandalizi uchimbaji visima vya gesi asilia Mtwara yafikia asilimia 90

Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yanaendelea vizuri ambapo hadi kufikia Februari 03, 2026 yamefikia zaidi ya asilimia 90. Hayo yameelezwa na Mhandisi Felista Ndabita kutoka Shirika la Maendeleo…

Serikali yachukua hatua kulinda wanafunzi dhidi ya unyanyasaji katika usafiri wa mijini

SERIKALI imetangaza hatua kali za kudhibiti vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanafunzi wanaotumia usafiri wa mabasi ya mijini maarufu kama daladala, huku ikisisitiza kuwa haki ya mwanafunzi kupata elimu kwa usalama haiwezi kuvunjwa na maslahi ya kibiashara.‎ ‎Hayo yamesemwa leo…

Serikali kuongeza nguvu kukabiliana na muingiliano wa mawasiliano maeneo ya mipakani

‎Na WMTH – Bungeni, Dodoma ‎Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habati imesema inaendelea kuongeza nguvu katika kuboresha miundombinu ya mawasiliano maeneo ya mipakani ili kupunguza changamoto ya muingiliano wa mawasiliano, sambamba na ujenzi wa minara ya mawasiliano…

Miradi ya mazingira yanufaisha Zanzibar

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025 jumla ya miradi kumi ya kuhifadhji mazingira na kuhimili mabadiliko ya tabianchi yenye thamani ya takribani shilingi bilioni 97.6 imetekelezwa na kukamilika Zanzibar. Hayo yamebainishwa…

Waziri Mavinde azindua urushaji wa helkopta ya utafiti wa kina wa madini

▪️Ni utafiti utakaofanywa na Kampuni ya Barrick kwa ajili ya uanzishwaji wa mgodi mpya ▪️Utagusa maeneo ya Msalala, Nzega,Nyangh’wale, Igunga na Mbogwe ▪️Waziri Mavunde aelekeza wachimbaji wadogo kupewa maeneo ambayo hayatatumiwa kwa uwekezaji mkubwa ▪️Utafiti huu kuongeza eneo la Utafiti…