Category: MCHANGANYIKO
Baada ya nusu karne, Liganga na Mchuchuma sasa kuanza
Mazungumzo na Mwekezaji Yamefikia Zaidi ya Asilimia 90 Kuzalisha Tani Milioni 2.9 za Chuma Ghafi kwa Mwaka Kuzalisha Ajira Rasmi 6,500, Zisizo Rasmi 26,000 📍 Njombe Serikali ya Tanzania ndani ya kipindi cha Miezi Mitatu ijayo inatarajiwa kuanza rasmi utekelezaji…
Prof. Shemdoe asisiza suala la usafi liwe ajenda ya kudumu katika vikao vyote
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewasisitiza washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Afua ya Uthibiti wa Taka Ngumu na Usafi…
Makongoro Nyerere ashinda Safari ya Kombe la Dunia 2026 Kupitia Kampeni ya CRDB Tembo Visa Card
Benki ya CRDB Bank Plc imeendesha droo ya pili ya kampeni yake ya FIFA World Cup 2026 – “Fainali Ndiyo Mpango na Tembo Card Visa”, ikiwapa wateja nafasi ya kujishindia safari ya kwenda kushuhudia fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika…
JKCI yawapima watu 314 magonjwa ya moyo Njombe, 37 wapewa rufaa ya kibingwa
Jumla ya watu 314 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichomalizika hivi karibuni mjini Njombe ambacho kiliandaliwa na Idara ya Habari – Maelezo. Huduma hizo…





