JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗱𝗵𝗮𝗿𝘂𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 – 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 𝘄𝗮𝗵𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗷𝗶𝘁𝗶𝗵𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘇𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) na Nchi Wanachama wa…

Katambi aagiza kulindwa ushindani wa haki, akemea ukiritimba wa bei

Na MwandishibWetu, JajhuriMedia, Darc3s Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi (Mb), ameliagiza Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kusimamia na kulinda ushindani wa haki ili kuondoa vitendo vya ukiritimba, hususan katika suala la kupandisha bei za bidhaa na…

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya mamia ya watoto wakati wa likizo, huku likiwa jukwaa muhimu la kuwajengea watoto uelewa wa masuala ya fedha, uchumi na ujasiriamali tangu…

Polisi yakana kuhusika na ajali iliyoua binti wa miaka 20 Korogwe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwan JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha kuhusika na tukio la ajali ya kugonga na kusababisha kifo cha Pendo Mugisa Mashauri (20), kilichotokea katika eneo la Kongowe, wilayani Kibaha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,…

Meya Kibaha- Hakuna mtendaji atakayesalia kwa kuchochea migogoro kwa wananchi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMesia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa onyo kwa baadhi ya watendaji wanaotekeleza majukumu yao kwa mazoea, akisema tabia hiyo inatia doa Manispaa na kuchochea kero kwa wananchi. Aidha, Manispaa hiyo imetoa maelekezo…

Meya Kibaha kuchimba visima vinne kupunguza kero ya maji Pangani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba wa maji safi na salama hali inayowalazimu kutumia maji ya mtoni, madimbwi na kununua maji kwa wananchi…