JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Jingu: Mtoto ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote

Na Maryam Elhaj WMJJWM- Dodoma SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na uchapa kazi. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…

RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi

📌Mradi wa bilioni 32.3 kusambaza umeme kwenye vitongoji 214 vya mkoa wa Iringa 📌Mkandarasi M/s Silo Power atakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Wateja 7,500 wataunganishiwa huduma ya umeme 📌Asema umeme ni maendeleo, uchumi, huduma na biashara Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…

Tanzania yaimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican

* Kuongeza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Vatican katika masuala ya amani, mazungumzo na maendeleo ya kijamii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana ilithibitisha upya urafiki wake wa muda mrefu na Vatican (Holy See), baada ya Waziri wa Mambo ya Nje…

NMB yaongeza idadi ya magari ya kutoa huduma yafikia 15, wananchi kufikiwa kirahisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imeongeza idadi ya magari yake ya kutoa huduma za kifedha hadi kufikia 15, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za benki katika maeneo yenye changamoto ya matawi ya kudumu, hususan…