JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madiwani Kibaha, Chalinze watakiwa kusimamia rasilimali za umma kwa thamani ya fedha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani, Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Shangwe Twamala, amewataka Madiwani wa Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Chalinze kuimarisha usimamizi wa rasilimali za umma, ikiwemo mapato na fedha za Serikali na kuhakikisha miradi ya…

Watalii 85 kutoka mataifa 6 watembelea magofu ya Kilwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuruMedia, Kilwa – Lindi Tanzania imeendelea kuthibitisha kuwa ni kisiwa cha amani na kivutio kikubwa cha utalii duniani, baada ya meli ya kitalii Island Sky Nassau kutia nanga leo tarehe 15 Januari 2026 katika Hifadhi ya Urithi wa…

Moto wazua taharuki jengo la NSSF Posta Dar

engo la gorofa tisa linalomilikiwa na Shirika la Hifadhi ya Taifa ya Jamii (NSSF), lililopo eneo la Posta jijini Dar es Salaam, limenusurika kuungua baada ya moto kuibuka na kusababisha hataruki kubwa. Taharuki hiyo imetokea leo Januari 16, 2026 majira…

Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siku za karibuni, sauti za vijana waliotaka kuandamana zilisikika kwa nguvu katika mitaa na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii. Sauti hizi, bila kujali mtu anazipokea kwa hisia zipi, zina ujumbe mmoja…

Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini barani Afrika

●Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uongezaji thamani madini Afrika. ●Yashauri kuhusu ushirikiano wa kikanda na kisekta. Riyadh, Saudi Arabia Tanzania imetambua shughuli za uongezaji thamani madini kama nguzo muhimu ya kuleta maendeleo endelevu ya kiuchumi na kijamii lengo kubwa ikiwa…