Category: MCHANGANYIKO
Trump aunganisha tishio la Greenland na kutokabidhiwa Tuzo ya Amani ya Nobel
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameunganisha juhudi zake za kudai udhibiti wa Greenland na kushindwa kwake kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel, akisema hakuwahi tena kufikiria “kwa amani tu,” huku mgogoro wa kisiwa cha Aktiki ukionekana kuweza kusababisha vita vya…
Dawa na vifaa tiba vya milioni 822.8 vyakamatwa Tabora
Na Allan Kitwe, JmahuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imefanya oparesheni maalumu na kufanikiwa kukamata dawa zenye thamani ya sh mil 822.8 zilizokuwa zinauzwa kinyume na utaratibu. Hayo yamebainishwa jana na Meneja wa…
Miradi 82 ya biashara ya kaboni yasajiliwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Massauni amesema mpaka sasa jumla ya Miradi 82 ya Biashara ya Kaboni ipo kwenye rejesta na kati ya hiyo, Miradi 4 imeshafika kwenye…
Sangu : Bodi ya wadhamini WCF kutekeleza dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BODI ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili mfuko uchangie katika kutoa huduma bora zaidi ikiwemo kuongeza uzalishaji ajira…
Wafurahishwa na ufumbuzi wa kudumu mto Dehu Moshi Vijijini
Wananchi wa eneo la Kahe, Wilaya ya Moshi Vijijini, wameeleza furaha na shukrani zao baada ya changamoto ya muda mrefu ya mafuriko yaliyokuwa yakisababishwa na Mto Dehu kupatiwa ufumbuzi wa kudumu kupitia zoezi la kudabua mto huo. Kwa zaidi ya…
Serikali itaendelea kushirikiana na viongozi wa dini – Mwigulu
*Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na uwajibikaji WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma na amesisitiza kwamba Serikali itaendelea kushirikiana na…





