Category: MCHANGANYIKO
Prof. Shemdoe kuzifanyia kazi changamoto za wafanyabiashara soko la Mabibo
Na OWM-TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe .Prof. Riziki Shemdoe amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Mabibo kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo katika soko hilo. Akizungumza…
Serikali kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kupata makazi bora
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde (Mb), amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha likiwemo Shirika la Mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) ili kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama…
Mchengerwa : Ushirikiano imara wa mfuko wa pamoja wa afya ni nguzo ya mageuzi ya sekta ya afya nchini
Na John Mapepele , Wizara ya Afya Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa, amesema kuwa ushirikiano madhubuti kati ya Serikali na Washirika wa Mfuko wa Pamoja wa Afya (Health Basket Fund) umeendelea kuwa chachu ya maboresho makubwa katika utoaji wa huduma…
Naibu Waziri Ole Millya awaongoza maelfu kumzika Mshili Ngumee
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya amewaongoza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Manyara na Arusha kwenye maziko ya kiongozi wa kimila Mshili Justin Abraham Ngumee aliyefariki…
BRELA kuimarisha urasimishaji na mifumo ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), yatakiwa kuongeza kasi ya urasimishaji wa biashara na kuimarisha mifumo ya kidijitali ili kuchochea ufanisi na ukuaji wa uchumi kwani BRELA ni lango kuu la uwekezaji nchini. Hayo…
Maafisa elimu wapewa mbinu kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Maafisa Elimu nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali wakiwemo sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii ili kuwekeza na kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule. Wito huo umetolewa Machi…





