Category: MCHANGANYIKO
RC Shinyanga atoa wito kwa jamii kuwalinda wazee
Na WMJJWM- Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa jamii hasa Vijana kuwalinda, kuwahudumia na kuwaheshimu wazee katika maeneo yao badala ya kuwaachia majukumu ya kulea wajukuu pamoja na kuwafanyia vitendo vya kikatili. Macha amesema…
Ufanisi Bandari ya Dar es Salaam waliduwaza Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imeendelea kupongezwa kila kona kwa uwekezaji mkubwa uliofanya katika bandari mbalimbali hapa nchini hususani bandari ya Dar es Salaam kwa ufanisi mkubwa. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ziara ya kikazi…
Dk Biteko awaasa CCM Bukombe kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu
📌 Azindua maduka ya kisasa 31 Ushirombo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika…
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme jiji Dar es Salaam
▪️Aridhishwa na hatua ya utekelezaji wa miradi ▪️Awataka wakandarasi kuzingatia viwango na TANESCO kuongeza usimamizi ili kuepuka ongezeko la gharama ▪️Aisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika Na Agnes Njaala, Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati…
AviaDev Afrika 2025; Mafanikio makubwa usafiri wa anga, utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mkutano wa hivi karibuni wa AviaDev Africa 2025, umekuwa mkutano wenye mafanikio makubwa katika sekta ya usafiri wa anga. Mkutano huo uliosimamiwa na Kampuni ya Showtime ya Zanzibar, ulileta pamoja zaidi ya washiriki 500, ikiwa…
Maafisa elimu kata 346 Pwani na Morogoro wapatiwa mafunzo ya utawala Bora wa elimu
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Wilson Mahera, amefunga awamu ya kwanza ya mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwa Maafisa Elimu Kata 346 kutoka mikoa ya Pwani na Morogoro, yaliyofanyika…