Category: MCHANGANYIKO
Maadhimisho Siku ya Homa ya Ini Duniani, Waziri Mhagama awataka wananchi kuutokomeza
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa Afya Jenista Mhagama ameitaka Jamii na wadau hapa nchini kuungana na Serikali katika mapambano dhidi ya homa ya Ini ili kuweza kuutokomeza ugonjwa huo kama ilivyo dhamira ya Serikali. Akizungumza katika Maadhimisho siku…
TCCIA yawekeza katika mifumo ya kidijitali utoaji huduma ikiwemo cheti cha uasilia wa bidhaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), kupitia Rais wake Bw. Vicent Minja, imefungua mlango wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mifumo ya utoaji huduma zake kidijitali ikiwemo utoaji wa Cheti cha Uasili wa…
TANESCO kulipa milioni 1/- kwa watakaofichua wanaohujunu miundombinu – Msaki
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wananchi wanasisitizwa kufichua wahalifu wanaohujumu miundombinu ya umeme (TANESCO),ikiwa ni pamoja na wanaoiba transfoma, nyaya na kuchezea mita, na yeyote atakayefichua watu hao atapatiwa donge nono kuanzia sh. 100,000 hadi sh. 1,000,000. Ofisa Uhusiano na…
TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali pamoja na sekta binafsi zinazotoa huduma katika Bandari ya Dar es Salaam wametia saini makubaliano ya taratibu za uendeshaji,…
Majina ya wagombea CCM yabaki kitendawili, mkutano wasogezwa tena
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mchakato wa kutangaza rasmi majina ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 unaoongozwa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, umeendelea kusogezwa mara kadhaa huku waandishi wa…





