Category: MCHANGANYIKO
Wasira : Tangu Tanzania ipate uhuru imepata maendeleo makubwa, wasiyoyaona wafanye utafiti
Na Mwandishi Wetu, Katoro MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba wanaosema hakuna kilichofanyika ni vema wakafanya utafiti kwanza badala ya kuwa kama kasuku kukariri maneno wasiyoyajua….
Zaidi ya bilioni 107/- zakamilisha usambazaji umeme vijijini Simiyu
📌Kapinga asema sasa Serikali inapeleka umeme kwenye Vitongoji 638 📌Ataja miradi ya kuimarisha umeme Simiyu 📌 Simiyu yapata mitungi ya gesi 16,275 kwa bei ya ruzuku Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia…
Rais Samia awataka wazazi Simiyu kusomesha watoto
Na Berensi China, JamhuriMedia, Simiyu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wazazi nchini kuwapa fursa ya kupata elimu vijana ili waweze ujuzi na kujiajri kutokana na serikali kuwekeza kwa kujenga Shule za Msingi, Sekondari…
Tume ya Madini yazidi kunadi fursa za uwekezaji katika sekta ya madini
Tume ya Madini imeendelea kunadi fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya madini kupitia ushiriki wake kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Akizungumza wakati wa kutoa elimu kwa wananchi waliotembelea…





