JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Maambukizi ya ugonjwa wa malaria yapungua nchini wa asilimia 67

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea TAFITI za viashiria vya ugonjwa wa Malaria nchini zinaonesha umepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 8.1 mwaka 2022 ikiwa ni hatua kubwa zilizofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini…

Chama cha waongoza watalii Tanzania waiomba Serikali kuwatambua

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Chama cha waongoza watalii Tanzania (TTGA) wameiomba serikali iweze kuwatambua kisheria ili waweze kulipwa stahiki zao kwa mujibu wa Sheria kwani hiyo ni taasisi kamili iliyokamilika . Hayo yamesemwa na Katibu mkuu wa TTGA Robert…

Bejeti ya mageuzi sekta ya elimu, Serikali kujenga shule 103 za amali

Elimu ya amali katika shule za sekondari ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha wanafunzi kupata ujuzi wa ufundi na ujasiriamali kwa lengo la kumudu maisha yao, kushindana katika soko la ajira na kuchangia maendeleo ya Taifa. Kwa muktadha huo, Serikali imewezesha…

Maonesho ya ‘Tanzania Dental Expo’ kuleta mapinduzi ya sekta ya afya ya kinywa na meno nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na wadau wa kinywa na meno wamewataka Watanzania na taasisi mbalimbali kujitokeza kwa wingi kushiriki katika maonesho ya huduma ya kinywa na meno…