JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wakandarasi miradi ya umeme Tanga watakiwa kuongeza kasi ya huduma kwa wateja

📌Vijiji vyote 763 sawa na asilimia 100 vimeshapata huduma ya umeme Tanga 📌Vitongoji 2,382 sawa na asilimia 52.6 vimeshapata huduma ya umeme 📌Shilingi bilioni 68.5 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Tanga 📍Korogwe – Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza…

Dk Mpango aikaribisha Ghana kuwekeza ncini

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka Ghana kuwekeza nchini kupitia fursa nyingi zilizopo katika sekta ya madini, kilimo, utalii, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), elimu na huduma za jamii. Dk Mpango ameeleza hayo alipozungumza na Balozi…

Wanafunzi 2,328 wafanyiwa uchunguzi magonjwa ya moyo Kibaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Wanafunzi 2,328 kutoka Shule ya Msingi Mailimoja na Sekondari ya Bundikani zilizopo Wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani wamefanyiwa uchunguzi wa awali wa magonjwa ya moyo. Upimaji huo umefanyika katika kambi maalumu ya siku mbili…

Majaji, mahakimu tuna wajibu wa kudumisha amani : Jaji Mkuu

Na Mary Gwera , Mahakama-Dodoma Mahakama ya Tanzania ina nafasi kubwa ya kuhakikisha kuwa, nchi inakuwa katika hali ya amani na utulivu kwa kusimamia ipasavyo jukumu la utoaji haki kwa kuzingatia Katiba na Sheria za nchi. Hayo yalielezwa jana tarehe…