Category: MCHANGANYIKO
Serikali itaendelea kuiamini na kuiunga mkono Red Cross – Dk Biteko
📌 DkT Biteko amwakilisha Rais Samia Mkutano wa mwaka Red Cross📌 Awataka kutembea kifua mbele kwa kazi za Kudumisha Ubinadamu📌 RED CROSS yaishukuru Serikali kwa kuungwa mkono Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea…
Makala : Changamoto za barabara Ulanga na Malinyi zitafanyiwa kazi
•Akiri kupokea changamoto za barabara, Maji, Umeme na maombi ya hospitali ya Wilaya ya Ulanga ULANGA: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla amesema pamoja na mafanikio ya miradi mingi ya maendeleo amepokea…
Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimesaini hati ya makubaliano inayolenga kuboresha na kuimarisha miundombinu ya usafirishaji, ikiwemo bandari sambamba kuchochea shughuli za kiuchumi wa nchi hizo….
Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Simiyu Mei 7, 2025 ilimtia hatiani Mwalimu Emmanuel Pamba Evarist katika shauri la Uhujumu Uchumi namba 9350/2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mhe. Martha Mahumbuga, akiwepo…