Category: MCHANGANYIKO
RUWASA yapeleka neema ya maji Mloka, Mbunju Mvuleni, Ndundutawa Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa, ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa miradi ya maji katika vijiji vya Mloka, Mbunju Mvuleni na…
Kundi la G55 CHADEMA latangaza kung’oka , wadai kutengwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaounda kundi la G55 , wametangaza kuondoka ndani ya chama hicho kwa kile walichoeleza kuwa kushindwa kutokana na kutengwa kwa kuwa walimuunga mkono Freema Mbowe…
CRDB yawahakikishia wawekezaji ukuaji endelevu wa uwekezaji wao
Kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya tokea kuanzishwa kwake, Benki ya CRDB imeandaa Kongamano la Wawekezaji jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Johari Rotana, lililohudhuriwa na wawekezaji 200 wa taasisi na binafsi kuangazia utendaji wa benki hiyo,…
Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa
Na Munir Shemweta, WANMM SONGWE Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe nchini Tanzania kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa kimataifa baina ya nchi hizo. Kikao hicho kimeanza tarehe 5 Mei 2025…
Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Mary Chatanda, amepokea mradi mkubwa wa vifaa vya ujasiriamali wa upishi na gari jipya kwa ajili ya kuimarisha utendaji…
Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi
Serikali ya Tanzania imetangaza mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi yanayolenga kuboresha usimamizi, kuchochea ukuaji wa uchumi, na kulinda haki za wananchi wake. Akizungumza katika siku ya pili Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Ardhi ulioandaliwa na Benki ya Dunia…