JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RC Shinyanga atoa wito kwa jamii kuwalinda wazee

Na WMJJWM- Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa jamii hasa Vijana kuwalinda, kuwahudumia na kuwaheshimu wazee katika maeneo yao badala ya kuwaachia majukumu ya kulea wajukuu pamoja na kuwafanyia vitendo vya kikatili. Macha amesema…

Ufanisi Bandari ya Dar es Salaam waliduwaza Bunge

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imeendelea kupongezwa kila kona kwa uwekezaji mkubwa uliofanya katika bandari mbalimbali hapa nchini hususani bandari ya Dar es Salaam kwa ufanisi mkubwa. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ziara ya kikazi…

Dk Biteko awaasa CCM Bukombe kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu

📌 Azindua maduka ya kisasa 31 Ushirombo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika…