JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi wakumbushwa matumizi sahihi ya alama za taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wito umetolewa kwa Wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya Alama za Taifa ikiwemo Ngao ama Nembo ya Taifa, Bendera ya Taifa na Wimbo wa Taifa na kuendelea kujifunza matumizi sahihi ya alama hizo pamoja…

CRDB waeleza mafanikio ya huduma za Al Barakh Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea ZAIDI ya wateja 380,000 wakiwemo watumishi wa Serikali, wafanyabiashara, wanafunzi na wajasiriamali wamejiunga na huduma ya CRDB Al Barakh ambayo inatoa fursa kwa  watu kupata huduma kuendana  na imani zao hapa nchini. Akizungumza kwenye hafla…

Mbunge wa Viti Maalum Jackline aiomba Serikali kupitia TANROADS kuharakisha ujenzi barabara Mtwara corridor

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mbunge viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi ameiomba serikali kupitia wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuharakisha ujenzi wa Barabara ya Mtwara corridor (Songea by pass) ambayo itasaidia kuondoa msongamano wa…

Mradi wa TAZA mbioni kukamilika – Kapinga

📌 Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga 📌 Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mradi wa TAZA 📌 Serikali yatoa Bilioni 21.4 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 📌 Wananchi…

Serikali kuendelea Kuboresha Huduma za Afya ya Mama na Mtoto

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuboresha afya ya mama na mtoto, Serikali kupitia Bohari ya dawa (MSD) imesema itaendelea kuboresha huduma za dharura za uzazi pingamizi na huduma za awali kwa watoto wachanga ambapo kwa kipindi cha miaka minne imenunua na…