JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika. Mapema mwaka huu, mara…

MSD: Miaka minne ya Rais Dk Samia, amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurungenzi wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Mavere Tukai amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji katika sekta ya afya na kuiweka nchi katika…

Dk Biteko azitaka mamlaka za maji kupunguza upotevu wa maji

📌 Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24 📌 Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12 📌 Maganzo yaibuka kidedea, Rombo yavuta mkia utoaji wa huduma Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

…Wadau wachambua miaka 4 ya Rais Dk. Samia madarakani

*Butiku asema amepambana na rushwa, afurahi 4R kurejesha mshikamano *Dk. Chegeni: Licha ya uhaba wa fedha za kutosha, amekamilisha miradi aliyoirithi * LHRC wadai bado kuna changamoto kubwa katika mifumo ya sera, sheria *TAMWA yasifia ujasiri, uthubutu alioonyesha tofauti na…

Bunge latoa kongole utendaji ufanisi wa TPA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imefurahishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambao umechochea uboreshaji wa huduma katika bandari mbalimbali hapa nchini uliotokana na maboresho ya…

NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kupitia mfumo wake wa ruzuku ya mbolea,imesaidia ongezeko la matumizi ya mbolea kutoka tani 363,599 mwaka 2020/2021 hadi tani 840,714 mwaka 2023/2024. Ongezeko hilo limewezesha kuongezeka kwa matumizi ya mbolea…