JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NIRC kuendelea kutoa elimu ya umuhimu wa uhifadhi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIKA kuadhimisha siku ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,rai imetolewa kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kuendelea kutoa elimu kwa wakulima na jamii kuhusu umuhimu wa uhifadhi wa mazingira. Mkuu wa…

NIRC yaimarisha utunzaji mazingira kupitia upandaji miti skimu ya Hombolo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hombolo Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imefanya zoezi la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Hombolo, mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kitaifa za uhifadhi wa mazingira na utunzuaji wa rasilimali…

Wazee washirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii zoezi la upandaji miti Dodoma

Na Raymond Mushumbusi WMJJWM- Dodoma Baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma limeshirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika upandaji miti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya…

Pwani yaungana na Rais Samia, wapanda miti 6,379 yagawa miche ya korosho milioni 1.5

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani SERIKALI kupitia Bodi ya Korosho imetoa jumla ya miche ya korosho milioni 4.2 nchini, ambapo kati ya miche hiyo, mkoa wa Pwani umepatiwa miche milioni 1.5, sawa na asilimia 35.7 ya miche iliyotolewa. Akizungumza na wakazi…

Tume ya uchunguzi yakutana na Nape Nnauye

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika…