JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NBS: Matumizi ya nishati safi yaongezeka nchini

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema matumizi ya nishati safi kwa ajili ya kupikia nchini yameongezeka kutoka asilimia 2.7 kabla ya Aprili 2022 hadi zaidi ya asilimia 16 ya kaya hivi sasa , hatua inayotafsiriwa kuwa mafanikio ya juhudi…

Hawa ndio wabunge wa kuigwa

Bunge ni muhimili muhimu katika kuhakikisha maslai na mahitaji ya wana nchi yana shughurikiwa na serikali. Serikali ina mihimili mitatu yaani bunge,mahakama na serikali kuu. na kila muhimili una mamlaka na majukumu yake kwa mujibu wa sheria,miongozo, na sera za…

Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Singapore Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam akiwa ameambatana na Mwenza…

Wasira abeba kilio cha wana Same kuhusu maji

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Same (SAUWASA) kuhakikisha inatatua kwa haraka changamoto ya upatikanaji maji inayowakabili wananchi wa mji wa Same. Wasira alitoa agizo hilo leo…

Kunenge : Wavamizi wa shamba no. 34 Mtamba wasubiri uamuzi wa Waziri Mkuu

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya Kibaha, kuacha mara moja shughuli zote za maendeleo katika eneo hilo na kusubiri maamuzi ya Waziri…