JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ndejembi ashuhudia utoaji saini mkataba wa bil. 204.7/- wa Mradi wa Umeme Jua wa megawati 100 Kishapu

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), leo Julai 27, 2026, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo…

Dk Mwinyi : Zanzibar kujenga mfumo endelevu wa huduma za afya, aipongeza Uswisi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora za afya kupitia mifumo imara, madhubuti na endelevu, badala ya kutegemea miradi na…

Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuwekeza katika elimu na maandalizi ya wataalamu wa sayansi na teknolojia baada ya kuwateua wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita wa mwaka huu, kunufaika na ufadhili…

Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UWEKEZAJI unaofanywa katika Taasisi ya Viwango Tanzania (TBS) umeongeza uwezo wa taasisi hiyo kulinda afya za Watanzania, thamani ya fedha za wananchi na kusaidia bidhaa zinazozalishwa nchini kushindana katika masoko ya ndani na kimataifa….

St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amewataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule binafsi na kuziona kama mshirika wa maendeleo badala ya mshindani. Kadhalika, Profesa…