JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mavunde kuwachukulia hatua maafisa madini wanaosababisha miogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa ambao ofisi zao zitabainika kuhusika au kusababisha migogoro katika shughuli za uchimbaji wa madini, akisisitiza ulazima wa kuzingatia kikamilifu…

Dk Mwigulu kuzindua meli ya MV. New Mwanza kesho

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV. New Mwanza iliyokuwa ikijengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini. Hayo yamebainishwa Leo Alhamisi Januari 22, 2026 na Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame…

Umoja na haki ni nguzo ya amani ya Taifa : Butiku

Na Pendo Nguka,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mwalimu Nyerere Foundation (MNF), Mzee Joseph Butiku, amezungumza na wazee leo jijini Dar es Salaam kuhusu ujenzi wa amani, umoja na haki nchini. Akizungumza katika mkutano huo, Mzee…

Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kutoa elimu ya hifadhi ya jamii soko la Tegeta Nyuki

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, amesema hakuna sababu kwa mwananchi aliyejiajiri kushindwa kujiunga na Mfuko huo kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa ambayo yanawawezesha kunufaika na…

TAKUKURU yakabidhi mashine za watoto njiti Hospitali ya Tumbi Pwani

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin Francis Chalamila, amekabidhi mashine mbili za kuwahudumia watoto waliozaliwa kabla ya muda (watoto njiti) kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), ikiwa ni sehemu ya…

Tanzania, Hungary kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza hatua ya Hungary kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi na Tanzania, hasa kupitia utekelezaji wa miradi ya maji na maendeleo ya kijamii. Pongezi hizo zilitolewa na Katibu…