Category: MCHANGANYIKO
Mchechu : Kwanini kila taasisi inapaswa kuchangia mapato yasiyo na kodi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika safari ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, mchango wa taasisi za umma kupitia gawio na mapato mengine yasiyo ya kodi, ni chachu ya ustawi wa taifa. Serikali imewekeza jumla ya Sh86.3 trilioni…
Serikali imeendelea kuchukua hatua kukabiliana na athari za mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kukabiliana na changamoto za athari za mabadiliko ya tabianchi zinazochangia kuongezeka kwa kina cha bahari na kuathiri fukwe mbalimbali. Hayo yamesemwa na Naibu wa Waziri Ofisi ya Makamu wa…
Baada ya kujenga daraja, Aliko ataka ubunge CCM
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia,Rungwe Baada ya kuchangia maendeleo mara nyingi ikiwemo Ujenzi wa Madaraja katikaJimbo la Rungwe mkoani Mbeya, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwaiteleke Foundation Aliko Anyambilile Mwaiteleke, sasa anautaka ubunge Rungwe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliko aliyejitolea kutunza…
Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3 – MD Twange
📌Asema awamu ya kwanza utazalisha Megawati 50 na kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kishapu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3…





