Category: MCHANGANYIKO
Serikali kuondoa kilio cha mafuriko Jangwani
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert chalamila, amesema kuwa katika kutatua changamoto sugu ya mafuriko eneo la Jangwani ujenzi wa daraja jipya utaanza rasmi mwaka huu. Chalamila amesema hayo leo katika…
Wastafu soko la Kariakoo kulipwa milioni 306
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita katika kuendelea kutatua kero za wafanyakazi nchini imefanikiwa kutoa shilingi milioni 306,000, 000 kwa ajili ya kulipa madeni ya waliokuwa watumishi wa Soko la Kariakoo. Taarifa hiyo imetolewa…
Tutazuia mazao ya Afrika Kusini, Malawi – Serikali
Serikali imesema inawasiliana kwa mara ya mwisho na serikali za Afrika Kusini na Malawi ziruhusu mazao ya Tanzania yaingie katika nchi hizo. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kupitia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa X ameeleza wamepokea taarifa kuwa…
Dk Biteko ashiriki mkutano wa EAPP nchino Uganda
๐ Tanzania yapongezwa kwa kuandaa Mkutano wa M300 ๐ WB, AFDB kuunga mkono EAPP ๐Mawaziri wa Nishati Mashariki Mwa Afrika wakutana Uganda Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….
Madiwani Kibondo waridhia utekelezaji mradi wa umwagiliaji Lumpungu
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Kigoma Baraza la Madiwani Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha utiaji saini mkataba wa utekeleza, ujenzi, uendeshaji na usimamizi wa mradi wa Umwagiliaji Lumpungu wenye thamani ya zaidi ya sh. Bilioni 150 unaolenga kuongeza tija ya uzalishaji…
Polisi yapiga ‘stop’ mikusanyiko Kisutu Lissu atakapofikishwa mahakamani
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku mikusanyiko ya wananchi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Aprili 24, 2025, wakati Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, atakapofikishwa kwa ajili ya…