JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda

Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wilayani Bunda, wamesema wako tayari kushirikiana na TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika utoaji wa huduma za afya pindi wanapotumia mifumo ya kielektroniki ya utoaji huduma hizo. Ahadi hiyo imetolewa katika warsha iliyoandaliwa na…

Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyoni Kesi ya Jinai Na. 3454/2026 imefunguliwa Februari 18, 2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, dhidi ya Bw. Herbert Matiko Tugara, Mzabuni wa Kampuni ya ‘Herver General Services’. Mshtakiwa anakabiliwa na shtaka la…

DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya wadau wa Sekta ya Afya na TAKUKURU, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi katika warsha hiyo, amewaasa wadau hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU wakati…

Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026

Kardinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam (Tanzania), alizaliwa tarehe 5 Agosti 1944 katika parokia ya Mwazye, Jimbo Katoliki Sumbawanga, Tanzania. Kuanzia mwaka 1959 hadi 1964 alipata elimu yake ya sekondari katika seminari ndogo ya Kaengesa….

TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini,…

Saba wafikishwa mahakamani kwa tuhuma za dawa za kulevya Same

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Washtakiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same jana Februari 19, 2026, wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na dawa za kulevya aina ya mirungi, huku mmoja wao akiamriwa kuwa chini ya uangalizi wa Jeshi…