Category: MCHANGANYIKO
TIC yaeleza mafaniko yake kwa kipindi cha miaka minne
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Gilead Teri amesema Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), imefanikiwa kusajili jumla ya miradi 2,020 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 177.47…
Rais Samia aitaka REA kuupa kipaumbele mkakati wa nishati safi ya kupikia
📌Azindua mradi wa usambazaji nishati safi ya kupikia 📌Sekta binafsi kupewa kipaumbele matumizi ya nishati safi kwa bei nafuu 📌Apongeza ubunifu wa teknolojia za nishati safi ya kupikia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Serikali kuendelea kutunga sera rafiki kuwezesha ushiriki wa sekta binafsi katika nishati safi ya kupikia
📌 Rais Dkt.Samia aitaka Wizara ya Nishati kuendelea kusimamia Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ataka umeme Vijijini uwe zaidi ya kuwasha taa na kuchaji 📌 Kapinga asema ifikapo 2030 Vitongoji vyote vitakuwa vimefikiwa na umeme Rais wa Jamhuri…
Watakiwa kutumia kalamu zao kwenye elimu ya tabianchi na mazingira
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar e Salaam Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na Jinsia na Mabadiliko ya Tabia nchi, (Wated) limewataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelimisha jamii kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabia nchi na mazingira yanayoendelea katika…