Category: MCHANGANYIKO
Wakandarasi wazembe, wanaochelewesha miradi wabanwe -RC Kunenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameitaka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Pwani kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wakandarasi wanaokiuka mikataba ya ujenzi kwa kuchelewesha miradi. Kunenge alitoa agizo hilo ,wakati…
Madaktari wa Tanzania wahitimisha kambi tiba Comoro kwa ufanisi mkubwa
Na Mwandishi Wetu MADAKTARI tari wa Tanzania wamerejea nchini baada ya kuhitimisha Kambi tiba nchini Comoro kwa kutoa huduma kwa wagonjwa 2,770 na kufanya upasuaji kwa wagonjwa saba. Kwenye kambi hiyo ya siku saba wameweza kubaini wagonjwa takriban 269 wanahitaji…
Wakazi 359, 577 Kaliua wapata maji safi na salama
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Kaliua WAKAZI 359,577 wanaoishi katika vitongoji, vijiji na kata mbalimbali Wilayani Kaliua Mkoani Tabora wamenufaika na miradi ya maji iliyotekelezwa na serikali kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA). Hayo yamebainishwa jana na…
Wakulima washauriwa kupima udongo kabla ya kuanza kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katika kuadhimisha Siku ya Udongo Duniani, Idara ya Sayansi za Udongo na Jiolojia ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wanaagronomia Tanzania (Tanzania Agronomy Society – TAS) na Taasisi…
Serikali kuendelea kufanyakazi na wazabuni, wakandarasi nchini
N Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema itaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na wazabuni wa ndani kwa lengo la kujifunza na kuona changamoto mbalimbali walizonazo na kisha kuzifanyia kazi. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu…
Vyeti vya wafamasia vitumiwe na wahusika
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa wito kwa wamiliki wa maduka ya dawa kuhakikisha vyeti vya wafamasia vinavyotumika kwenye maduka hayo vimeambatana na uwepo wa wahusika kwa kujiriwa katika maduka hayo. Akizungumza jana wakati wa…