JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Ardhi yaweka mkazo katika maboresho ya maeneo chakavu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viwanja 556,191 vimepimwa, mipaka ya vijiji 871 imehakikiwa, mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 846 imeandaliwa, na Hati za Hakimiliki za Kimila 318,868 zimesajiliwa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya…

Prof Mkenda – magonjwa ya moyo kitapunguza utegemezi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali inakusudia kujizatiti kuongeza mitaala zaidi ya elimu ya afya ili kuzalisha wataalamu wa afya, lakini pia kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kimataifa katika kufanya tafiti na kutoa huduma za afya. Waziri wa Elimu,…

Wanajamii tujipange kuepusha migogoro – Dk Biteko

📌 Dkt. Biteko azindua kitabu cha miaka 35 ya TAWLA 📌 Rais Samia aipongeza TAWLA kushiriki kampeni za kisheria 📌 TAWLA yaipongeza Serikali miradi ya kimkakati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

JKCI, Burkina Faso zasaini makubaliano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Burkina Faso wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika kutoa huduma bobezi ya matibabu ya  magonjwa ya moyo. Hati hizo zimesainiwa jana jijini Dar es Salaam kati…

Mifugo na Uvuvi 2025/26: Kanzidata mpya kuwanufaisha wavuvi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepanga kuanzisha kanzidata ya kisasa kwa ajili ya usajili na utoaji wa vitambulisho vya kidijitali kwa wadau wote wa sekta ya uvuvi nchini. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kushiriki kikamilifu kwenye…

Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi laki 4.4- Kapinga

📌 Asema lengo ni kupunguza gharama na kuhamasisha Nishati Safi ya Kupikia 📌 REA kusambaza majiko banifu 200,000 kwa punguzo la hadi asilimia 75 📌 Baada ya umeme kufika kwenye vijiji vyote; Serikali kuendelea kuhamasisha matumizi ya majiko ya umeme…