Category: MCHANGANYIKO
Nachingwea yaanza kunufaika na vituo vya kudhibiti wanyamapori waharibifu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Wananchi wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), wakisema kuwa hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uvamizi wa…
Serikali yapongeza NMB kwa kampeni bora ya upandaji miti Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Kibaha Serikali imeipongeza Benki ya NMB kwa kutenga kiasi cha Sh. Mil. 225 kwa ajili ya kuzawadia Shule Bora katika Kampeni ya Upandaji Miti Milioni 1 ‘Kuza Mti Tukutuze,’ ambapo Shule ya Sekondari ya Mwambisi Forest ya…
Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya miaka 103 ya kuzaliwa Baba wa Taifa
…………………………………………………………………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere alisisitiza sana Watanzania kulinda amani na umoja katika nchi, aliamini kwa dhati usawa wa binadamu na ujenzi…
Sanaa ni uchumi – Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejidhatiti kuendelea kukuza na kuimarisha sanaa nchini ikiwa ni moja ya sekta rasmi ya kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili (Aprili 13, 2025) katika Kongamano la Chama cha Wafawidhi wa Matukio Tanzania, linalofanyika Olasiti Garden,…
Wananchi waipa tano Serikali kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara na daraja Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Wananchi wa vijiji vya Mkenda Nakawale Halmashauri ya Songea vijijini pamoja na wananachi wa kijiji cha Mitomoni Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa…
Kikwete awasilisha ujumbe maalumu wa Rais Samia nchini Guinea ya Ikweta
Rais Mstaafu wa Tanzania na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasilisha Ujumbe Maalum ambao ulipokewa na Waziri wa Nchi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Guinea ya Ikweta, Simeon Oyono Esono Angue,…