JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wiki ya Azaki kufanyika Juni 2- 6 Arusha

Na Lookman Miraji Asasi isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na masuala ya Misingi ya Jamii ya Kiraia (FCS) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa mashirika ya kimataifa imetangaza ujio wa wiki ya azaki inayotarajiwa kufanyika jijini Arusha mapema mwezi Juni. Wiki…

Benki ya CRDB yatoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA juhudi za kuwainua wajasiriamali nchini, Benki ya CRDB kupitia programu yake ya IMBEJU, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, imeendelea kutoa elimu ya fedha kwa wajasiriamali ili kuwajengea…

JWTZ yashiriki zaidi ya operesheni sita za Uokoaji Ndani na Nje ya Nchi kwa miaka minne โ€“ Dk Stergomena Tax

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limehusika katika zaidi ya shughuli sita kubwa za uokoaji ndani na nje ya nchi, ikiwa ni sehemu…

Mbunge apongeza juhudi za Serikali katika kukuza kilimo cha Mkonge

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MBUNGE wa Viti Maalum, Mwanaisha Ulenge (CCM) ameiomba Serikali kuhakikisha fedha zilizotengwa kufanikisha mradi wa kituo atamizi cha uzalishaji wa bidhaa za mkonge kinachowahusisha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu zinafika kwa wakati kwa walengwa….

Lindi mbioni kuwa lango kuu la uchimbaji madini

ยท Makusanyo yafika asilimia 105 MKOA wa Lindi unatarajiwa kuwa lango kuu la uchimbaji wa madini kutokana na kuonekana kuwa na aina zaidi ya 10 za madini mbalimbali yanayopatikana kwa wingi ikiwemo madini ya kimkakati kama Kinywe (Graphite) na Nickel….

Tanzania yazidi kujifunza uhifadhi na usimamizi wa mazingira kupitia bandari kupata chanzo cha biashara

Na Jovina Massano UJUMBE wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ,umetembelea Bandari ya Oslo nchini Norway kwa lengo la kujifunza namna bandari hiyo inavyohifadhi mazingira na kuzuia…