JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia apeleka neema ya maji Kasulu

Na Allan Kitwe, Kasulu SERIKALI ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka zaidi ya sh bil 40 katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji safi na salama ili kumaliza…

Wakili Mpanju awapa somo wahitimu maendeleo ya jamii UDOM

Na WMJJWM- Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amewataka wahitimu wa Shahada ya Elimu ya Watu wazima na Maendeleo ya Jamii wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuzingatia Sera na…