JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kesi ya DRC dhidi ya Rwanda kusikilizwa Mahakama ya Haki za Binadamu Arusha

Kesi iliyofunguliwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya haki za watu na zile za Binadamu inasikilizwa leo jijini Arusha – huku Kongo ikiishitaki Rwanda kwa kukiuka mipaka ya kimamlaka ya Kongo, kuchochea…

NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) umesema umejipanga vizuri kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini endapo kutajitokeza upungufu wa bidhaa hiyo kwani Serikali imeshatoa kibali kwa wakala kuagiza na kusambaza…

Polisi Pwani yamsaka Abdallah kwa tuhuma ya kumuua mzazi mwenzake

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamsaka Abdallah Mohammed (40), fundi friji na mkazi wa Mataya, Kata ya Kiromo, Wilaya ya Bagamoyo, kwa tuhuma za mauaji ya mzazi mwenzake Naomi Mwakajengele ( Anangisye) miaka 28,…

Rig za STAMICO zawawezesha wachimbaji kupata taarifa za kina

Zinatolewa bure, mnufaika analazimika kulipia gharama za uchorongaji Wanufaika waeleza zilivyowasaidia, zina uwezo wa kuchimba Mita 400 chini ya ardhi Mtaalam asisitiza umuhimu wa kubaini uwepo wa madini kabla ya kuchimba Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lwamgasa Dhamira ya Serikali ya…

Tume yatoa neno kwa waendesha vifaa vya BVR Tanga, Pwani

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Tanga Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometrikikutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi…

Wahandisi nchini watakiwa kufanyakazi kwa kuzingatia maadili

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAHANDISI nchini wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili, nidhamu na uwajibikaji kazini. Wito huo umetolewa leo Februari 11, 2025 na Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe wakati wa…