JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Zitto azungumzia kesi zinazopinga uchaguzi mitaa

KIONGOZI mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amehudhuria muendelezo wa kesi zinazopinga matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, zilizofunguliwa na chama hicho katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Mahakama ya…

Wasira :CCM itashika dola kwa kura si bunduki

*Asema wamejipanga kuendelea kuwatumikia wananchi*Awashangaa wanaohoji CCM kukaa madarakani muda mrefu Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kutokana na wingi wa kura…

Kwa heri baba wa Taifa la Namibia

Na Isri Mohamed Ni huzuni, simanzi na majonzi vimetawala katika taifa la Namibia na Afrika nzima kwa ujumla kufuatia kifo cha Baba wa taifa hilo, Samuel Shafiishuna Daniel Nujoma, kilichotokea Februari 08, 2025. Shujaa huyu wa Afrikia ambaye watoto wa…

Polisi Mwanza wawaokoa watoto wawili waliotekwa, watekaji wauawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Watu wawili wasiofahamika majina yao wamefariki wakati wa majibizano na Polisi baada ya kukutwa na watoto wawili waliowateka na kutaka kupewa mamilioni ya fedha ili waweze kuwaachia watoto hao. Akizungumzia tukio hio Kamanda wa Polisi…