Category: MCHANGANYIKO
Serikali inatoa kipaumbele kufikisha umeme taasisi zinazotoa huduma kwa jamii – Kapinga
📌 Hadi Januari 2025 taasisi za elimu zilizopatiwa umeme kupitia REA ni 18,597. 📌 Asema Serikali inatoa ruzuku kwa watumiaji wa mwisho wa gesi ya LPG Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali…
Mchengerwa atoa wito kwa waandishi wa habari kupambania tuzo za kitaaluma
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bahi WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Muhammed Mchengerwa ametoa wito kwa waandishi wa habari nchini kujitokeza kupambania tuzo mbalimbali zinazotolewa, kwani ni fursa inayowatambulisha ufanisi kwenye umma na inaimarisha utendaji wa kazi zao. Alitoa…
Tamasha la NMB Kijiji Day lapata matokeo chanya Njombe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Wakazi wa Kijiji cha Image kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, wametakiwa kuacha tabia ya kutunza fedha nyumbani badala yake watumie huduma za kibenki ili kuepuka uharibifu wa fedha na vitendo vya wizi na uporaji…
Wasira apiga marufuku vyama vya upinzani kuwatumia vijana Mara kufanya vuruguru
*Amtaka Waziri Maliasili na Utalii Kufika haraka Serengeti Na Mwandishi Wetu, JamuriMedia, Mara Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya…
NFRA kuuza tani milioni moja ya mazao 2025/2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) unatarajia kuuza takribani tani milioni moja za chakula kwa mwaka wa fedha wa 2025/ 2026 kupitia masoko yaliyopo kwenye nchi tofauti zenye mikataba ya kuuziana mazao…
RC Chalamila : Kulipa kodi ni lazima
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema suala la kulipa kodi ni lazima kwani inasaidia nchi kutengeneza na kuboresha miradi mbalimbali yenye kuleta maendeleo kwa taifa. Chalamila amesema hayo jana, jana wakati wa utoaji wa Tuzo kwa…