JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yawezesha miradi 80 kwa utaratibu wa PPP – Waziri Chande

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imewezesha miradi 80 ambayo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji kwa utaratibu wa Ubia kati ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi (PPP). Akizungumza bungeni jijini Dodoma mapema wiki hii, Naibu Waziri wa Fedha,…

DC Batenga avitaka vyama vya wakulima kumiliki ardhi

Na Manka Damian, JamhuriMedia, Chunya MKUU wilaya ya Chunya, Mbaraka Alhaji Batenga amewataka wakulima wa vyama vya ushirika wilaya ya Chunya kuhakikisha wanamiliki ardhi kwaajili ya matumizi ya sasa na hata matumizi ya baadaye ya vyama hivyo kwani ardhi inaongezeka…

Elimu ya Nishati Safi ya umeme wa kupikia yawakosha waandishi waendesha ofisi nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Waandishi Waendesha Ofisi kutoka taasisi mbalimbali nchini wamelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuwapatia elimu sahihi ya matumizi ya Nishati Safi ya umeme kupikia hali itakayosaidia kuondokana na matumizi ya Nishati zisizo salama ikiwemo kuni…

Kwa heri Mzee Msuya,nchi itakukumbuka, kwa alama ulioiacha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mei 7, mwaka huu, Rais Samia Suluhu ametangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, kilichotokea asubuhi ya tarehe hiyo katika Hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu…

Serikali yazindua mradi wa mazingira Kigoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) imezindua Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika Mazingira…

JKCI, UNA VOCE PER PADRE PIO wasaini mkataba kuwasaidia watoto wenye matatizo ya moyo Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMdia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imesaini mkataba wa kushirikiana na Shirika la UNA VOCE PER PADRE PIO lililopo nchini Italia kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo waliopo barani Africa. Mkataba huo umesainiwa…