Category: MCHANGANYIKO
TAMISA kufanya kongamano Mei 16, mwaka huu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kwanza lililoandaliwa na Taasisi ya Wasambazaji wa sekta ya Madini Tanzania (TAMISA) litakalofanyika Mei 16, mwaka huu jijini Dar es Salaam….
HESLB ilivyoguswa na Bajeti ya Wizara ya Elimu 2025/2026
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Mei 12, 2025, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, aliwasilisha Bajeti ya Wizara yake ambapo aliomba kuidhinishiwa shilingi Trilioni 2.4, huku shilingi Trilioni 1.74 zikiwa ni kwa ajili ya utekelezaji wa…





