JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Mgomi: Yatumieni mafunzo mliyopewa kulinda amani ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi ametoa wito kwa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba kushiriki kikamilifu katika suala zima la utunzaji wa amani hasa kipindi hiki ambacho Nchi inaelekea katika…

Rais Samia aongoza muda wa uokoaji Kariakoo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuelekeza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa kuongeza saa 24 za uokoaji katika jengo lililoporomoka eneo la Kariakoo. Rais Dkt. Samia ametoa maelekezo…

Malori 100 ya msaada wa chakula yaporwa Gaza, UNRWA yaonya balaa la njaa

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limeripoti kuporwa kwa msafara wa malori 109 yaliyokuwa yakibeba misaada ya kibinadamu huko Gaza siku ya Jumamosi. Tukio hili linaongeza changamoto kubwa kwa wakazi wa Gaza ambao tayari wanakabiliwa…

Rais Samia auliza maswali magumu G20

Na Deodatus Balile, Rio de Janeiro, Brazil Rais Samia Suluhu Hassan ametoa hotuba ya kihistoria kwa kuuliza maswali magumu katika mkutano wa G20, ambapo akiwa anasikilizwa na Rais wa Marekani, Joe Biden, Rais wa China, Xi Jimping, Waziri Mkuu wa…

Tanzania yatolewa mfano kituo cha Taifa Operesheni na Mawasiliano ya dharura katika mifumo ya tahadhari

Tanzania imeendelea kutolewa mfano wa kuwa na Kituo cha Taifa cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura (National Emergency Operation and Communication Center Situation Room) na kuelezwa kuwa nchi nyingine ziendelee kuiga mfano wa Tanzania na kuendelea kuwekeza katika mifumo ya…