JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Balozi Nchimbi amaliza ziara yake Ruvuma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amehitimisha ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma, akisisitiza kuwa CCM itaendelea kuwa chama cha wanachama, kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote na kuwa mtetezi wa wanyonge. Balozi…

CHAUMA: Wakurugenzi wanatuharibia uchaguzi

Na Ruja Masewa, Jamhuru Media Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kimesema, Wakurugenzi na Watendaji wa Halmashauri nchini, “Wanatuharibia Uchaguzi“. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mwenezi wa CHAUMA Ipyana Samson Njiku (leo) Aprili 7, 2025 mkoani hapa, wakati akitoa tamko…

Rais Mwinyi : Tuzindue mpango wa ujuzi kwa vijana katika uchumi wa buluu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni muhimu kuzinduliwe mpango wa ujuzi wa Vijana wa Jumuiya ya Madola ambao utawapa vijana milioni moja ujuzi katika sekta ya uchumi wa bluu na kijani ifikapo…