JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wazee wamshukuru Rais Samia kuboresha huduma kwa ustawi wao

Na WMJJWM-Dodoma Wazee wameshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuweka mazingira mazuri katika utoaji wa huduma za Afya kwa wazee na masuala mengine ya Ustawi wao. Kauli hiyo imetolewa na Kiongozi Mkuu…

CCM London Diaspora watembelea Baraza la Wawakilishi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar WAJUMBE Chama Cha Mapinduzi CCM Tawi la London Diaspora la Nchini Uingereza wametembelea Baraza la Wawakilishi Zanzibar na kushuhudia shughuli za Baraza hilo ikiwemo uwasilishwaji wa miswada mbali mbali. Wajumbe hao, wakiwa chini ya uongozi…

Naibu Waziri Khamis akagua mabanda ya maonesho ya mazingira

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono Serikali katika kutumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki kwa mazingira. Ametoa kauli hiyo wakati akitembelea na kukagua mabanda ya…

WiNTz yazinduliwa kuongeza ushiriki wa wanawake katika Nyuklia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sayansi na teknolojia ya nyuklia duniani, bado kuna mwanya mkubwa wa ushiriki wa wanawake katika sekta hii muhimu. Changamoto kama mitazamo hasi ya kijamii, idadi ndogo ya…

Mbegu za miti ya asili zavutia wananchi Banda la TFS Maonesho ya Mazingira Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakazi wa Jiji la Dodoma na wageni kutoka maeneo mbalimbali wameonyesha kuvutiwa na mbegu bora za miti ya asili zinazozalishwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakieleza kuwa elimu wanayoipata kutoka banda la TFS…