JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wadau wa kilimo mseto waishauri Serikali kupitia wizara tano kutenga bajeti ya kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WADAU wa kilimo mseto Tanzania Bara, wameishauri serikali kupitia wizara tano mtambuka, kutenga bajeti kwa ajili ya kilimo ambacho kinaonesha kuwa na matokeo chanya kwa wakulima wadogo. Ushauri huo umetolewa na wadau hao waliokutana kwa…

Mila zinavyowanyima watoto wa Chemba haki ya kutimiza ndoto zao

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wasichana wengi katika wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wamejikuta wakilazimika kuachana na ndoto zao za elimu kutokana na mimba za utotoni, jambo linalochochewa na mila potofu zinazoendelea kuenziwa kwa kisingizio cha kulinda utamaduni. Kijiji cha Kidoka, baadhi…

Sera za wahisani hazina athari za moja kwa moja za kibajeti

Na Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa hakuna athari za moja kwa moja za kibajeti kutokana na amri za kimamlaka alizotoa Rais wa Marekani, Dornald Trump za kusitisha misaada kwa Tanzania. Hayo yalisemwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa…

Serikali : Kuna ongezeko la hali ya unene uliokithiri

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema kumekuwa na ongezeko la hali ya unene na unene uliokithiri. Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini Dodoma leo na Waziri wa Afya, Jenista Mhagama alipokuwa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha…

Mbunge ahoji wananchi kulipia Daraja la Nyerere

MBUNGE wa Muleba Kusini, Oscar Ishengoma amehoji bungeni sababu za watumiaji wa Daraja la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kulipia kila wanapopita, huku watumiaji wa Daraja la Tanzanite yote yakiwa Dar es Salaam hawalipi. Akijibu swali hilo bungeni leo, Naibu Waziri…