Category: MCHANGANYIKO
Serikali : Kuna ongezeko la hali ya unene uliokithiri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema kumekuwa na ongezeko la hali ya unene na unene uliokithiri. Kauli hiyo imetolewa bungeni mjini Dodoma leo na Waziri wa Afya, Jenista Mhagama alipokuwa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha…
Mbunge ahoji wananchi kulipia Daraja la Nyerere
MBUNGE wa Muleba Kusini, Oscar Ishengoma amehoji bungeni sababu za watumiaji wa Daraja la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kulipia kila wanapopita, huku watumiaji wa Daraja la Tanzanite yote yakiwa Dar es Salaam hawalipi. Akijibu swali hilo bungeni leo, Naibu Waziri…
CCM kufadhili kitabu cha mzee Songambele kuenzi historia ya nchi, chama na Serikali
*Balozi Nchimbi atoa neno, akimwakilisha Dkt. Samia msibani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kitabu alichoandika Alhaj Mzee Mohamed Mustafa Songambele kitakuwa mojawapo ya rejea adhimu za historia ya Tanzania. Balozi Nchimbi amesema…
Dk Biteko azindua mkakati wa taifa wa mawasiliano wa nishati safi ya kupikia
📌 Aagiza usiishie kwenye makabati; ukatekelezwa katika ngazi zote za Serikali/Wadau 📌 Atoa wito kwa vyombo vya Habari kuwa mstari wa mbele uhamasishaji wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Asema Ajenda ya Rais Samia imeonesha mafanikio; Matumizi ya Nishati Safi…
Mahakama ya Haki za Binadamu yapata uongozi mpya; Jaji Modibo Sacko Rais Mpya
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu leo imefanya uchaguzi wa viongozi wake wakuu kwa mafanikio makubwa, ambapo Jaji Modibo Sacko kutoka nchini Mali amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Mahakama hiyo. Aidha nafasi…
TAWA kudhibiti Wanyamapori wakali Ikungi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori (TAWA) imesema imeanza kutekeleza mikakati ya kudhibiti makundi ya wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Haya yamebainishwa leo June 2,2025 Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa…





