JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Jingu ataka elimu ya stadi ya maisha iguse jamii

WMJJWM- Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, ametaka huduma na elimu ya stadi za maisha zinazotolewa katika Makao ya Taifa ya kulelea watoto Kikombo Dodoma kufikia Jamii. Dkt. Jingu amesema…

Makamu wa Rais afungua mkutano wa mwaka wa Chama cha Wafanasia Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wafamasia nchini kuendelea kulipa kipaumbele suala la elimu ya matumizi sahihi ya dawa ili kuisaidia jamii kutambua na kuepuka madhara ya matumizi holela ya…

Utendaji kazi wa Wizara ya Nishati na taasisi zake waimarika kwa zaidi ya asilimia 95

📌 Dkt. Biteko apongeza; akumbusha Watendaji umuhimu wa tathmini katika kuboresha utendaji kazi 📌 Ataka TANESCO kuendelea kuboresha miundombinu ya umeme; kubuni vyanzo vipya 📌 Aziagiza Taasisi chini ya Wizara kuungana kuitekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ofisi…

Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Trilioni 20.19 kwa matumizi ya 2025/26

Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media, Dodoma Wizara ya Fedha imewasilisha ombi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuidhinishiwa matumizi ya jumla ya Shilingi trilioni 20.19 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo kwa mwaka wa fedha 2025/2026….