Category: MCHANGANYIKO
Mafunzo ya uimarishaji mpaka kimataifa kuwajengea uelewa wataalam wa Tanzania na Burundi
Serikali imesema kuwa, mafunzo ya uimarishaji mpaka wa kimataifa kati ya Tanzania na Burundi yanalenga kujenga uelewa wa pamoja kati ya wataalamu wa nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa leo tarehe 22 Julai 2025 jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya…
Rais Samia kuzindua bandari Kavu Kwala Julai 31
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dkt .Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala pamoja na miradi mingine mikubwa ya kimkakati. Akizungumza na waandishi wa habari Julai…
Rais Samia atoa bilioni nne ujenzi kiwanda cha kuzalisha nishati mbadala
📌Kiwanda kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa nishati safi nchini 📌REA kugharamia ununuzi wa mtambo wa STAMICO 📌Stamico yapania kusambaza Nishati Safi ya Rafiki Briquettes kila kona Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Shirika la Taifa la Madini…
Zanzibar yazindua mradi wa OCP School Lab Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Programu ya OCP School Lab (OSL) rasmi ilizindua mpango wake wa kisasa wa upimaji wa udongo wa simu leo katika hafla yenye nguvu iliyofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip. Chini ya mada, “Napima afya ya…
Menejimenti AUWSA yaimwagia sifa TUICO, ni kwa kutoa mafunzo kwa wafanyakazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha MENEJIMENTI ya Mamlaka ya Maji Safi na usafi wa mazingira Mkoa wa Arusha (AUWSA), imepongeza chama cha wafanyakazi wa viwanda, biashara, taasisi za fedha, huduma na ushauri (TUICO) Mkoa wa Arusha, kwa uamuzi wake wa kutoa…
Mtoto ajinyonga baada ya kuiga maudhui ya chaneli ya KIX Arusha
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Imani na mkazi wa Kata ya Osunyai, Jijini Arusha, aitwaye Karim Rahim (9), amefariki dunia kwa madai ya kujinyonga kwa kutumia kipisi cha kitambaa cha dela, baada…





