Category: MCHANGANYIKO
Jesca John Magufuli achukua fomu kuwania nafasi ya ubunge Viti Maalum
Jesca Magufuli ambaye ni Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Hayati Dr. John Pombe Magufuli amechukua rasmi fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa. Jesca ni Binti ambaye amejipambanua…
Watu 34 wafariki baada ya magari mawili kugongana na kuwaka moto Same mkoani Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Watu zaidi ya 34 wamepoteza maisha na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani leo asubuhi, Jumamosi Juni 28, 2025, katika eneo la Sabasaba, Kata ya Same, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro. Ajali hiyo…





