Category: MCHANGANYIKO
Tanzania inaendelea kupiga hatua muhimu katika kujenga uchumi wake – Rais Dk Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kupiga hatua muhimu katika safari yake ya kujenga uchumi wa kisasa unaotegemea maarifa, teknolojia na rasilimali za ndani. Taarifa iliyotolewa na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano…
Profesa Mwandosya kinara wa kupambana na saratani – Dk Biteko
Dkt. Biteko azindua Kitabu cha Living with Cancer cha Prof. Mark Mwandosya Watanzania watakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya Serikali yaimarisha huduma za uchunguzi na matibabu ya saratani Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…
Polepole, Mpina, Makamba… misjudged President Samia
By Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Today, July 30th, 2025, we’ve published a special edition in our weekly investigative newspaper – JAMHURI —featuring aspirants endorsed by the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM). Some prominent names have been left out, such…
Elimu na uokozi kuzuia kuzama majini, SMZ, WHO NA UNICEF waunganisha nguvu Z’bar
Na Fauzia Mussa, JamhuriMedia, Zanzibar KAMISHENI ya kukabiliana maafa Zanzibar imehimizwa kuwa na Mipango madhubuti ya kupambana na majanga yatokanayo na kuzama majini kwa kutoa elimu kwa jamii, kuimarisha mifumo ya uokozi, na kuhimiza usalama wa maji. Kauli hiyo imetolewa…
Kaliua yanunua mtambo wa kutengeneza barabara
Na Mwandishi Wetu KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini vinapitika wakati wote, Wilaya ya Kaliua imetekeleza mkakati huo kwa vitendo. Katika kuthibitisha hilo,…
Tanzania yaunga mkono uhuru wa chakula katika mkutano wa UNFSS+4 jijini Addis Ababa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya Mawaziri uliofanyika tarehe 29 Julai 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, uliokuwa sehemu ya Mkutano wa Pili…





