Category: MCHANGANYIKO
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutekeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria ya Jamhuri ya Muungano Tanzania imefanikiwa kutekeleza kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa kuwafikisha huduma hiyo karibu na wananchi wa…
FCC, TCRA kufanya uchunguzi wa bando
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, amesema taasisi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) hiyo inafanya uchunguzi wa vifurushi vya mtandao (internet) ili kubaini kama wananchi wanarubuniwa katika gharama na…
Waajiri wafurahishwa kuanzishwa mfumo wa Taifa wa kielektroniki wa soko la ajira
Na. OWM – KAM (Dar es salaam) Waajiri kutoka Sekta Binafsi wamefurahishwa na kuipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Wazifri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kuanzisha Mfumo wa Taifa wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS) wakieleza…
Prof. Shemdoe aipongeza Manispaa ya Temeke kwa mpango mkakati wa miaka
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kuandaa Mpango Mkakati wa Maendeleo wa miaka kumi ijayo, akisema ni hatua muhimu…
Prof. Shemdoe kuzifanyia kazi changamoto za wafanyabiashara soko la Mabibo
Na OWM-TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe .Prof. Riziki Shemdoe amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Mabibo kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo katika soko hilo. Akizungumza…





