Category: MCHANGANYIKO
Soko la Mdini Mirerani lianze kufanya kazi ifikapo Septemba 15 – Sendiga
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuagiza mkandarasi aliyejenga soko la madini ya vito Tanzanite Trading centre mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro kukamilisha mradi huo ifikapo Septemba 15, Mwaka huu ili liweze kutoa…
Yusufu Rai ajitosa ubunge Jimbo la Temeke kwa tiketi ya AAFP
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Wakulima (AAFP) Yusuph Rai amesema kuwa endapo wananchi watampa dhamana ya kuwa Mbunge atahakikisha Jimbo hilo linapiga hatua kubwa kimaendeleo tofauti na Majimbo mengine yaliyopo…
Timu ya wataalamu kutoka SADC watembelea TMA kukagua na kukabidhi vifaa vya hali ya hewa
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika “SADC Climate Service Centre- (SADC CSC) wanaoratibu utekelezaji wa mradi wa SADC…
Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini
📌 Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika 📌 Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania ikichangia hisa za shilingi trilioni 1.12 📌Ruhudji na Rumakali tafiti zakamilika Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu…
Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga
Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media,Dodoma Wakati zaidi ya watu milioni 83 duniani wakilazimika kuhama makazi yao kutokana na majanga ya asili, migogoro, na kuyumba kwa uchumi, Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuenzi mashujaa wa misaada ya kibinadamu ambapo safari hii…
Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini
📌Kaya 1,227 kunufaika na mradi wa Umeme Jua Lindi 📌REA kusambaza Majiko Banifu 5,576 Lindi 📍Kila wilaya kugawiwa Majiko Banifu 1,115 📍Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa…





