JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jaji Warioba : Napongeza CCM kwa hatua zake hidi ya rushwa

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya…

Bolt yafurahishwa kuongezeka idadi ya wateja wanaotumia huduma za usafiri mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafirishaji mtandaoni nchii na Barani Afrika imefurahishwa na kuongezeka kwa idadi ya wateja wanaotumia huduma hiyo. Dimmy Kanyankole ni Meneja Mkuu wa Bolt Tanzania na Kenya alisema kuwa…

Washindi Tuzo za kihistoriaTEHAMA 2025 hadharani leo

*Tume ya TEHAMA yafikiria Tuzo kwa wanahabari Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASHINDI wa kwanza wa Tuzo za TEHAMA 2025, wanatarajiwa kutangazwa rasmi leo katika hafla ya Tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika katika Hoteli ya Nyota Tano ya Gran…

RC Ruvuma: Kuna ongezeko la watoto wa mitaani

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahamed Abbas Ahamed amesema kuwa mkoa huo unakabiliwa na changamoto ya watoto wanaoishi na kufanyakazi za mitaani hususani katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea jambo ambalo linapelekea kuwa katika…

FCS, Stanbic wakubaliana kuwainua kiuchumi wajasiriamali wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu, JakmhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la The Foundation For Civil Society (FCS) limeingia makubaliano ya miaka miwili na Benki ya Stanbic Tanzania kupitia kupitia kitengo cha Stanbic biashara incubator unaolenga kuwainua wajasiriamali wanawake na vijana kwa kuwajengea…

Mbunge Mavunde akabidhi mradi wa shamba kwa wanawake wafanyabiashara wadogo Dodoma

▪️Mradi wa shamba la zabibu walenga kuwainua wafanyabiashara ▪️Wakinamama wampongeza kwa kuwainua kiuchumi ▪️Awatafutia soko la uhakika wa mazao yao ▪️Rais Samia apongezwa kwa miundombinu rafiki ya biashara kwenye masoko 📍Mpunguzi,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde…