JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

REA yaja na mpango kabambe wa kuwezesha ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini

📌Mkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya asilimka 5-7 kutolewa 📌Marejesho ni ndani ya miaka 7 📌Lengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa gharama nafuu 📌Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza…

Rais Samia anapenda kufanya kazi na viongozi wa dini – Dk Biteko

📌 Asisitiza milango ya Rais Samia ipo wazi kwa ajili ya mazungumzo kwa mustakabali wa Taifa 📌 Asema Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofanywa na Taasisi za dini 📌 Serikali kuendelea kushirikiana na Taasisi za dini kuchochea maendeleo 📌…

Uwekezaji unavyoibadilisha Katavi, kutoka rasilimali hadi huduma kwa wananchi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Biashara ya kaboni (hewa ukaa) imekuwa chanzo kipya chenye tija kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika Mkoa wa Katavi, hususan Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, kwa kufungua fursa mpya na kuchochea ustawi wa wananchi…

Israel, Hamas watofautiana usitishaji wa vita Gaza

Israel na kundi la Hamas linalotawala Ukanda wa Gaza zimechukua msimamo tofauti leo kuhusiana na pendekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la usitishaji mapigano kwa muda wa siku 60. Saa kadhaa baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza…

93 wachukua fomu ya ubunge, wawania majimbo tisa Mkoa wa Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jumla ya wanachama 93 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu za kugombea ubunge katika majimbo tisa ya Mkoa wa Pwani ambapo kati yao, wanawake ni 22 na wanaume ni 71. Katibu wa Siasa, Uenezi…

TIA yaendelea kusogeza huduma zake karibu na wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imeandaa mkutano mkubwa wa kitaaluma utakaofanyika hivi karibuni mkoani Mwanza wenye lengo la kuelezea tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalamu wa taasisi hiyo. Kadhalika, imesema imeendelea kufungua kampasi kwenye…