Category: MCHANGANYIKO
17 washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Pwani – RPC Morcase
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la polisi mkoani Pwani, linawashikilia watuhumiwa 17 wakiwemo waliokuwa viongozi wa Serikali za mtaa kwa kosa la mauaji ya Sebastian Moshi (33) mkazi wa Ubungo, Kibangu jijini Dar es salaam yaliyotokea, kata ya Mapinga,…
MSD yakutana na wawekezaji wa kampuni 15 na wafanyabiashara katika sekta ya dawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD) Imekutana na wawekezaji, wawakilishi wa makampuni 15 na wafanyabiashara katika sekta ya Dawa na vifaa tiba kwenye ofisi zake zilizopo mkoani Daresalaam. Wafanyabiashara hao wamefurahi kufika MSD na kupata…
Maendeleo yanaonekana Mara, kaya 60,000 zanufaika na ruzuku
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya shilingi bilioni 80 zimetumika kutekeleza miradi ya maendeleo ya kijamii katika Mkoa wa Mara katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….
Tanzania kuwa na mashirika ya umma yenye ushindani ifikapo 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya kibiashara yanayoendeshwa kwa uwazi na ushindani, yanayojitegemea na yenye kuleta faida, na yanayovutia uwekezaji huku yakishirikiana kikamilifu na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Dhamira…
Kishapu wadai kuna udanganyifu CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Makada watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wameandika barua kupinga kujumuishwa kwa jina la mmoja wa watia nia wa kugombea ubunge katika orodha iliyopelekwa Dodoma. Wakizungumza na JAMHURI Digital, makada…
Rais Samia atoa bil. 19.6/- ujenzi wa miradi ya elimu (Sequip) Njombe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari SEQUIP mkoani Njombe. Kati ya fedha hizo…





