Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
📍 Dodoma Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Februari 20, 2026 ameongoza kikao cha kutatua Mgogoro kati ya Wachimbaji Wadogo wa duara No 15 na Uongozi wa Mgodi wa ILILIKA uliopo Nyarugusu Mkoani Geita. Baada ya kusikiliza pande zote…
TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wilayani Bunda, wamesema wako tayari kushirikiana na TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika utoaji wa huduma za afya pindi wanapotumia mifumo ya kielektroniki ya utoaji huduma hizo. Ahadi hiyo imetolewa katika warsha iliyoandaliwa na…
Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyoni Kesi ya Jinai Na. 3454/2026 imefunguliwa Februari 18, 2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, dhidi ya Bw. Herbert Matiko Tugara, Mzabuni wa Kampuni ya ‘Herver General Services’. Mshtakiwa anakabiliwa na shtaka la…
DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya wadau wa Sekta ya Afya na TAKUKURU, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi katika warsha hiyo, amewaasa wadau hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU wakati…
Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo 1994- 2026
Kardinali Polycarp Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam (Tanzania), alizaliwa tarehe 5 Agosti 1944 katika parokia ya Mwazye, Jimbo Katoliki Sumbawanga, Tanzania. Kuanzia mwaka 1959 hadi 1964 alipata elimu yake ya sekondari katika seminari ndogo ya Kaengesa….
TIRDO yapongezwa, yaagizwa kujitangaza zaidi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini,…





