JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dkt. Jafo afurahishwa na kasi ya Mkandarasi Mradi wa Maji Nyani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mbunge wa Jimbo la Kisarawe mkoani Pwani, Dkt. Selemani Jafo, ameonesha kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji katika Kijiji cha Nyani, Kata ya Mafizi, akieleza kuwa hatua iliyofikiwa ni ya kuridhisha na…

RC Malima aipongeza REA utekelezaji miradi mikubwa ya umeme

📌Bilioni 7 kuwezesha maeneo 165 ya miji kupata huduma ya umeme Morogoro 📍Morogoro Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekekezaji wa miradi ya umeme maeneo ya Vijijini na Vitongoji hali iliyopelekea…

LHRC na PALU waiomba serikali kurejea Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na Watu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeombwa kurejea kuruhusu watu binafsi au Asasi za kiraia kuishitaki katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) yenye makao makuu yake jijini Arusha,ili kukuza masuala ya haki za binaadamu na…

Nchimbi awasili Songea kuhudhura Tamasha la Kumbukizi ya miaka 120 ya Mashujaa Vita ya Majimaji

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 26 Februari 2026. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa…

FCC: TANOGA inarahisisha ukaguzi wa bidhaa

Na Mwandshi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imeanza kutumia Mfumo wa Ukaguzi wa Bidhaa wa Pamoja (TANOGA) unaofanya kazi kwa ushirikiano na mamlaka nyingine za serikali. Akizungumza hivi karibuni katika semina ya wahariri wa vyombo mbalimbali…

CCM yatoa salamu za rambirambi kifo cha Kadinali Pengo

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi OFMCap, kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo hilo, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, aliyefariki dunia Februari…