Category: MCHANGANYIKO
JKCI yafungua kliniki mpya eneo la Soko Kuu la Kariakoo, yatoa huduma bure kwa siku saba
Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefungua kliniki mpya katika eneo la Soko Kuu la Kariakoo, hatua inayolenga kusogeza huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo karibu na wafanyabiashara na wananchi wa…
Mbarawa :Treni ya mwendokasi kufika Mwanza 2028
Na Baltazar Mashaka, JamhuriMedia, Mwanza WAZIRI wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Mwanza–Isaka chenye urefu wa kilomita 341, unaotarajiwa kukamilika mwaka 2028. Akizungumza katika eneo la Fella, wilayani…
Tanzania kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba Ukanda wa SADC
Na WAF, Johannesburg Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji (Host) wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na Vifaa Tiba kwa nchi za SADC (SPPS), hatua inayotokana na kuaminiwa kwa uongozi wa Tanzania ndani ya…
Dk Jingu: Serikali inatambua mchango wa wazee
Na Abdala Sifi – WMJJWM – Morogoro Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amesema dhamira ya Serikali ni kuendelea kuwajali na kuwahudumia wazee kwa kuwa ni tunu na hazina ya Taifa….
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata rais mpya
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata Rais mpya. Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imemchagua Jaji Blaise Tchikaya wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville) kuwa Rais mpya wa…





