Category: MCHANGANYIKO
Siku 100 za Rais Samia, bilioni 69 REA kunufaisha vitongoji 634 Ruvuma
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma. Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha…
Dk Mwigulu : Serikali kununua matrekta 10,000
Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za kilimo katika ngazi ya Kata, hatua itakayoongeza tija, kupunguza gharama na kuwapa wakulima muda zaidi wa…
WMA yafunga mtambo wa kisasa unaohakiki dira za maji Dodoma
Na Veronica Simba – WMA Wakala wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa kuhakiki dira za maji katika jengo la makao yake makuu lililopo jijini Dodoma. Meneja Uhakiki wa Vipimo na Viwango wa WMA Makao Makuu, Magesa…
Rais Samia kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali Dubai
Leo Jumanne, Februari 3, 2026, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi hapa Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa kimataifa. Katika ratiba ya leo, Rais Samia anakutana…





