JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania yaunga mkono azimio Juni 27 kuwa siku ya kimataifa ya viziwi na wasioona

Na WMJJWM-New York Tanzania imeunga mkono Azimio la Umoja wa Mataifa Namba A/79/L.92 la kutambua Juni 27 kuwa Siku ya Kimataifa ya Viziwi Wasioona. Akizungumza katika Mkutano wa pembeni uliofanyika tarehe 12 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo…

Aliyekuwa DED Uvinza na wenzake watano wafikishwa mahakamani kwa rushwa

Katika Mahakama ya Wilaya Uvinza Juni 12, 2025 limefunguliwa shauri la jinai ECO.14247/2025 mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Uvinza John Mtega (RM), Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Zainabu Suleiman…

Mgalu akabidhi gari UWT Bagamoyo kuboresha usafiri wa kazi za chama

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa viti maalum Mkoani Pwani, Subira Mgalu, amemkabidhi Mwenyekiti wa UWT Taifa,Mery Chatanda gari aina ya Noah kwa ajili ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)Bagamoyo ikiwa ni jitihada za kuimarisha utendaji kazi…

DC Kanal Kolombo azindua mnada wa ufuta na kuonya utoroshaji wa mazao

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Kibiti Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo, ametoa onyo kwa baadhi ya watu wanaojihusisha na utoroshaji wa mazao na kusema ni ukiukaji wa sheria unaodidimiza maendeleo ya Wilaya na Mkoa. Kolombo ameeleza hayo Juni…

Wabunge wataka Mipango ya Maendeleo iakisi hali halisi ya maisha ya wananchi wa chini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametoa wito kwa Serikali kuhakikisha kuwa mipango ya maendeleo na bajeti za taifa zinazingatia hali halisi ya maisha ya wananchi na muktadha wa ndani badala ya kufuata mifumo…

RC Mtanda awataka wakandarasi REA kuharakisha utekelezaji miradi ya umeme jua visiwani

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wakandarasi wanaotekeleza mradi wa usambazaji wa mifumo midogo ya umeme jua katika maeneo ya visiwani kuhakikisha wanatumia muda vizuri na kukamilisha kazi kwa wakati, ili kuwaondolea wananchi wa maeneo hayo adha ya…