JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini

Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usindikaji na uyeyushaji madini ya Nikeli na Shaba kufikia asilimia 85 ya ujenzi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…

Waajiriwa wapya Tume ya Madini watakiwa kuzingatia maadili, kuepuka vishawishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAAJIRIWA wapya wa Tume ya Madini wametakiwa kufuata kikamilifu miongozo, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kudumisha maadili na uadilifu wanapoanza kutekeleza majukumu yao. Wito huo umetolewa leo, Novemba 21, 2025, na…

Mbinu muhimu za kutambua noti bandia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Jamii imetakiwa kuongeza uelewa juu ya namna ya kutambua noti bandia na kuhakikisha zinatunzwa kwa usahihi ili kulinda thamani ya Shilingi. Hatua hiyo ni muhimu katika kupunguza gharama ambayo Serikali hutumia mara kwa mara kuchapisha noti mpya,…