JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mjasiriamali aliyenufaika na mafunzo ya SDF amshangaza Waziri Kabudi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amewataka watanzania wasiogope kuwa wajasiriamali wa kilimo kwani kinalipa. Amesema hata kilimo cha uyoga kimewanufaisha wajasiriamali wengi akiwemo Esther Shebe ambaye amenufaika na…

Kirenga: Ubia wa Serikali, sekta binafsi umeibeba SAGCOT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Kuendeleza Kilimo Nyanda ya Juu Kusini mwa Tanzania ( SAGCOT), Bw.Geoffrey Kirenga amesema mafanikio yaliyopatikana katika Ukanda huo kiuwekezaji kwenye kilimo yametokana na ushirikiano wa pamoja kati ya serikali na…

Tija kwa nchi ndiyo kipaumbele cha utekelezaji mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia – Dk Biteko

📌 Asema kiu ya Serikali ni kuona mradi unatekelezwa ila maslahi ya Taifa ndiyo kipaumbele 📌 Alieleza Bunge hatua zinazochukuliwa na Serikali kuhamasisha ujenzi wa vituo vya gesi (CNG) na matumizi 📌 Aeleza kuhusu kuundwa kwa Timu kuangalia unafuu wa…

Mahera awataka walimu kuwa wabunifu na utoaji bora elimu ili kufikia malengo ya Serikali

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Kufuatia jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya elimu na kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo, walimu wanapaswa kuwa wabunifu na kuimarisha utoaji elimu bora ili kuinua taaluma kwa wanafunzi. Rai hiyo imetolewa…

Serikali mtegoni

*Wadau wakiri si sahihi polisi kuzua watu kwenda mahakamani *Wadai ni kinyume na Ibara ya 18 ya Katiba na sheria nyingine kadhaa *Watoa wito Mahakama kulizuia Jeshi la Polisi kukukuza watu Kisutu *Wengi wanaamini bado fursa ya mazungumzo ipo Na…

Biashara Mtandao yaingiza Bilioni 192.8/-

Serikali imekusanya Shilingi bilioni 192.78 kutokana na biashara mtandaoni, ikiwemo michezo ya kubahatisha, kati ya Julai 2024 hadi Machi 2025, kutoka kwa kampuni 1,820 zilizosajiliwa rasmi. Taarifa hiyo imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud…