Category: MCHANGANYIKO
RUWASA na wadau waja na mkakati wa kuboresha usafi wa mazingira vijijini
Morogoro Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa Sekta ya Maji, Afya na Usafi wa Mazingira, umeanza rasmi mchakato wa kuandaa Mkakati wa RUWASA wa Menejimenti ya Tope Kinyesi (Faecal Sludge Management…
NMB yaingia awamu mpya ya ubora wa huduma kwa wateja
Benki ya NMB imekamilisha uhamishaji wa shughuli zake kwenda katika Mfumo Mkuu mpya wa Benki, hatua inayolenga kuongeza uwezo wa kushughulikia miamala, kuimarisha usalama wa taarifa na kuwezesha utoaji wa huduma mpya kwa wateja zaidi ya milioni 10. Mkurugenzi Mtendaji…
Waziri Akwilapo aingia ‘Site’ kutafuta Suluhu ya migororo ya ardhi Tanga
Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Tanga Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amefanya ziara katika maeneo yenye migogoro ya ardhi katika Halmashauri ya Jiji la Tanga na Halmashauri ya Mji Handeni mkoani Tanga, kwa lengo…
Mamlaka za Serikali za Mitaa ziwekeze katika miradi yenye tija kwa wananchi – Dk Seif
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwekeza katika miradi ya maendeleo yenye tija na manufaa kwa…
Saba kizimbani kwa tuhuma za wizi wa magari kwa kubadili mwelekeo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu saba wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke kwa tuhuma za kuiba magari mawili yaliyotolewa bandarini na kupelekwa bandari kavu (ICD) Vingunguti na kubadili mwelekeo kwenda…
Vipengele 63 Kuing’arisha Serengeti Awards 2026
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya vipengele 63 vitaingia katika kinyang’anyiro cha The Serengeti Awards 2026, huku wadau wa uhifadhi na utalii wakipewa fursa ya kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika sekta hizo. Mkurugenzi wa Idara…





