JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kigamboni, Wilaya ya Kimbiji, limesogeza huduma karibu na wananchi kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Mwasonga kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, utaratibu mpya wa kuomba huduma ya umeme kupitia mfumo wa…

NMB Foundation, Mercy Corps wasaini mradi wa bil. 2.6/- kukuza biashara

Taasisi za NMB Foundation na Mercy Corps Tanzania zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa Evolve wenye thamani ya Shilingi bilioni 2.6 utakaotekelezwa kwa miaka miwili ili kukuza biashara zinazohusiana na usafiri wa vyombo vya moto vinavyotumia umeme jijini Dar…

Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB

….…… Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS) umezalisha ajira 31,875 katika mwaka wa fedha 2025/26 kupitia shughuli mbalimbali za mnyororo wa thamani wa mazao na bidhaa. Hayo yameelezwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi…

Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, amesema ubora wa bidhaa ni nguzo muhimu katika kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania kwenye soko la kimataifa na kufanikisha azma ya nchi ya kujenga uchumi wenye thamani ya dola za Marekani…

Wakulima waonja matunda ya stakabadhi za ghala, mauzo yapanda kwa asilimia 43.6

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Biashara ya mazao kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala imeendelea kushika kasi nchini baada ya wakulima kuuza zaidi ya kilo bilioni 1.122 za mazao na kuingiza Shilingi trilioni 2.298 katika mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa…

ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sekta ya uchimbaji mdogo wa dhahabu (ASGM) imeendelea kuwa nguzo muhimu kwa sekta ya madini nchini kwa kuchangia sehemu kubwa ya uzalishaji wa dhahabu na kutoa ajira nyingi, huku matumizi ya zebaki yakitajwa kuwa moja…