Category: MCHANGANYIKO
TRC, JKCI Maadhimishi ya Moyo Duniani; Huduna ya vipimo vya moyo bure kwa wasafiri wa SGR
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Katika kuelekea Siku ya Maadhimisho ya Moyo Duniani, ambayo hufanyika kila mwaka Septemba 29, Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wametangaza ushirikiano maalum utakaowawezesha…
NMB yatoa mil. 47.6/- kupunguza uhaba vifaa shuleni Kondoa, Chemba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya NMB kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Sh47.6 milioni kwa shule nane…
TBS, Halmashauri za Njombe zaazimia Kuimarisha Udhibiti wa bidhaa
KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji wa Mkoa wa Njombe, Gumbo Mvanda, amesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Halmashauri za mkoa huo katika kudhibiti ubora na usalama wa chakula na vipodozi kwa ajili ya…
Sangu aitaka TALGWU kujenga umoja kupitia Uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kuendesha uchaguzi wake kwa kuzingatia Katiba, demokrasia, uwazi, haki,…





