JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TNCM yaidhinisha ombi la Tanzania ufadhili wa mzunguko wa nane mfuko wa dunia kwa kipindi cha 2027 -2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (Tanzania National Coordinating Mechanism – TNCM), imeidhinisha rasmi Ombi la Tanzania la Ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko…

DC Mapunda : Tamaa ya maisha ya haraka yawaingiza vijana kwenye biashara ya dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema sababu kubwa inayowasukuma baadhi ya vijana kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya ni tamaa ya kuishi maisha ya kifahari yasiyolingana na kipato chao, baada ya…

Mkandarasi Bwawa la Kidunda atahadharishwa kujiandaa na mvua za El Nino

Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa bwawa la Kidunda ametahadharishwa na uwezekano wa uwepo wa mvua za El Nino. Mwenyekiti Bodi ya Maji ya Taifa, Bwn. Suffian Ally ametahadharisha kwa mkandarasi kampuni ya Sino Hydro Corporation kuzingatia kwa karibu utabiri wa hali…

Serikali yazindua mradi wa mikopo nafuu ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini

📌 Mradi unatekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia Benki ya AZANIA 📌 Lengo la Mradi ni kupunguza kwa kiwango kikubwa biashara hatarishi ya kuuza mafuta kwenye chupa za plastiki na vyombo visivyokidhi viwango vya usalama 📌 Wanufaika nane…

Rais Mwinyi azindua mabasi ya umeme, aagiza vituo vikamilike haraka

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameutaka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kukamilisha kwa haraka ujenzi wa vituo vya kisasa vya mabasi vitakavyotumika katika Mradi wa Mabasi ya Umeme, ili…