JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TFS yatumia jogging kama sehemu ya kujiimarisha kiafya

WAFANYAKAZI wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki wamefanya mazoezi ya kukimbia umbali wa takribani kilomita saba katika eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kujiweka katika hali nzuri ya kiafya…

Rais Samia awasili JNHPP

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili katika eneo la Mradi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP). Rais Samia atazindua rasmi…

Rais Samia kuzindua kituo cha kuzalisha umeme JNHPP, historia yaandikwa

Rais Samia kuzindua rasmi kituo cha kuzalisha umeme cha JNHPP Agosti 22 Uzinduzi huo unaashiria hatua kubwa katika safari ya Tanzania ya kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, kuchochea shughuli za uzalishaji na kuimarisha uchumi wa Taifa. Tayari mitambo yote…

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuongeza ruzuku kwa TBA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya watumishi wa umma nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo,…

Waziri wa Fedha aishukuru IMF kwa mchango wake

Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake kwa Tanzania tangu kuanza kwa ushirikiano kati yake na Shirika hilo, akieleza kuwa ushirikiano huo umeendelea kuwa…

Prof. Shemdoe awaasa viongozi Serikali za mitaa kuepuka migogoro ili kuongeza ufanisi wa huduma kwa wananchi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka viongozi na watendaji wa Serikali za Mitaa kuacha migogoro ya kiutendaji na badala yake kushirikiana katika kutekeleza majukumu yao, ikisisitiza kuwa hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana katika mazingira yenye migogoro. Waziri wa Nchi, Ofisi…