Category: MCHANGANYIKO
Makalla aagiza Kamati za Maafa Arusha kujiandaa na mvua za El Nino
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla amewaagiza wakuu wa wilaya za Mkoa wa Arusha na Kamati zao za Usalama kujipanga kukabiliana na uwepo wa mvua za Elnino zinazotarajiwa kunyesha kuanzia mwezi Septemba…
Ndejembi mfano wa mwanasiasa aliyepanda hatua kwa hatua
Deo Ndejembi ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamepanda hatua kwa hatua katika uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ndejembi alianza kujijenga kisiasa kupitia UVCCM, kabla ya kuingia kwenye nafasi za uongozi wa Serikali. Mwaka 2016, aliteuliwa kuwa Mkuu…
Tume ya Umwagiliaji, Tume ya Mipango zaunganisha nguvu kuimarisha utekelezaji miradi
šDodoma, Tanzania Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imekutana na Tume ya Taifa ya Mipango,Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji; kwa lengo la kujadili namna bora ya kuoanisha mipango, miradi na utekelezaji wa shughuli zake ili kuongeza tija katika utekelezaji wa…
‘Zanzibar haitafikia maendeleo ya kweli bila Baraza imara la Wawakilishi ‘
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na matakwa ya Wananchi. Amesema Zanzibar katu haitonyooka hadi kuwepo na Baraza madhubuti…
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi Afrika Kusini warejea nyumbani
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari yao. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ndege maalum kwa ajili ya kuwawezesha raia hao kurejea nchini. Zoezi la…





