Category: MCHANGANYIKO
Madini yaibuka kama nguzo ya maendeleo Morogoro
🔶 Sekta yaongezeka kwa kasi, yajenga miundombinu na kuinua wananchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mauzo ya madini ya dhahabu mkoani Morogoro yamefikia Shilingi bilioni 16.51 katika kipindi cha Julai 2023 hadi Septemba 2025, yakionesha kasi kubwa ya ukuaji wa…





