Category: MCHANGANYIKO
Wanafuzi Keko wajifunza kutengeneza mbolea asilia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaan WANAFUNZI zaidi ya 50 wa shule ya Sekondari Keko ,wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa mbolea mboji kwa kutumia taka za majumbani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwajengea ujuzi wa utunzaji wa mazingira…
Hospitali ya SINO yaipa nguvu Tanzania ya Utalii Tiba
*Yaunga mkono Dira ya Rais Samia utali tiba Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WATANZANIA wameanza kunufaika na huduma za matibabu ya kibingwa zinazopatikana nchini, hali inayopunguza gharama na ulazima wa kusafiri nje ya nchi kutafuta matibabu. Mkurugenzi Mtendaji wa…
Rais Dk Mwiny: Kamera za usalama barabarani kudhibiti ajali Z’bar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeanza kuweka mfumo wa kamera za usalama barabarani ili kuimarisha utii wa sheria, kurejesha nidhamu na kudhibiti ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria za…
Rais Samia ateta na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya…





