Category: MCHANGANYIKO
Dk Mwigulu : Mfumo wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya mfumo bora wa ununuzi wa pamba utakaowanufaisha wakulima na kuendeleza uzalishaji wa zao hilo. Ametoa agizo…
Masauni : Watanzania epukeni gesi zinazoharibu tabaka la Ozoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewataka Watanzania kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni, ikiwemo majokofu na viyoyozi vilivyotumika, ili kulinda mazingira na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Wito…
Rais Mstaafu Dk Kikwete ahitimisha ziara Tabora, akagua miradi ya afya ya JMKF
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF), Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha ziara yake ya siku nne mkoani Tabora kwa kutembelea na kukagua zahanati pamoja…
Tanzania, Japan kuendeleza ushirikiano katika maeneo ya kimkakati
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Japan zimedhamiria kuendelea kuimarisha na kupanua wigo wa ushirikiano wa muda mrefu uliopo kati yao, kwa kuendeleza maeneo yenye maslahi ya pamoja yatakayochochea maendeleo na kuleta manufaa kwa mataifa yote mawili. Dhamira…
Tume ya Utumishi wa Umma yaipa kongole Wizara ya Nishati kuzingatia sheria, kanuni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Utumishi wa Umma imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni na taratibu zinazoongoza Utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku. Pongezi hizo zimetolewa Septemba 14, 2026, na…
Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital
Na Mwandishi wetu–Jamhuri MediaDar es salaam Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Priscus Kiwango, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika ujenzi wa miundombinu ya kidijitali na utoaji wa huduma za umma…





