JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima

KAHAMA Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) limetoa wito kwa wananchi wa manispaa ya Kahama hususan wakazi wa kata ya Mwendakulima kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo katika kituo cha mafunzo ya kilimo kilichopo kata ya mwendakulima wilayani Kahama…

Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeeleza kuwa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja umeendelea kuhakikisha Tanzania inapata bidhaa za mafuta kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Akizungumza katika Maonesho ya Nne…

Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC

Na Mwandishi wa OTR, Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametaka kufanyika kwa mageuzi makubwa katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ili kujenga taasisi yenye ufanisi zaidi, kuongeza tija na mapato, na kuimarisha ushindani wake katika soko…

Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo

📌 Bilioni 8 zatumika 📌 Mradi umekamilika kwa asilimia 90 Jibondo, Mafia 📍 Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vitongoji vya Kisiwa cha Jibondo, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya…

TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi limeteketeza tani 3.4 za unga wa mahindi uliochini ya kiwango, wenye thamani ya takribani Sh. milioni 3.5, baada ya vipimo vya maabara kubaini kuwa haukidhi viwango vya usalama kwa…

NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma.ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini Dodoma, baada ya NMB Bank Plc kukabidhi udhamini wake wathamani ya Sh milioni 210 ikiwemo vifaa vya…