Category: MCHANGANYIKO
Prof.Mkenda: Bunifu za kitanzania sasa kugeuzwa kuwa biashara kubwa
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga….
Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua mama yake
Mwamvua Mwinyi, PwaniJulai 30,2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Chalinze, kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi, Hadija Hemedi Shaha (51), kwa…
Hospitali ya Medinova Yazindua Huduma ya Tibamazoezi (Physiotherapy)
Na Mwandishi Wetu Hospitali ya Medinova Specialized Polyclinic imezindua rasmi huduma ya Tibamazoezi (Physiotherapy) ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupanua huduma za kibingwa na kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya nchini. Uzinduzi huo unaenda sambamba na mpango wa…
Asilimia 73.6 ya Mikopo ya TADB Yatolewa katika kipindi cha Uongozi wa Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imesema imeendelea kuimarisha nafasi yake katika kufadhili sekta ya kilimo nchini baada ya mtaji wake kuongezeka kutoka Sh bilioni 60 hadi Sh bilioni 452.16, hatua iliyowezesha kupanua utoaji wa…
Kunenge: Maofisa maendeleo wafuate dira ya taifa 2050 kuacha tabasamu kwa wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhiriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa rai kwa maofisa maendeleo ya Jamii kuhakikisha wanazingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akisisitiza kuwa viongozi wanapaswa kuacha tabasamu kwa wananchi badala ya kujivunia ujenzi wa…
RC Kunenge atembelea kongani mpya ya viwanda Misugusugu
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge, amefanya ziara ya ukaguzi wa eneo la Kongani Mpya ya Viwanda la Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, ambapo amesema mradi huo ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Pwani na kuongeza fursa…





