JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RC Makala: Uwekaji taa uwanja wa ndege Arusha umekamilika

Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametangaza kukamilika kwa mradi wa uwekaji wa taa katika uwanja wa Ndege wa Arusha, akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa ahadi yake…

Koka: Vijana changamkieni fursa za kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amewasihi vijana wa Kata ya Tangini na jimbo hilo kujikita katika shughuli za kiuchumi na kutumia fursa zilizopo, ili kujiandaa na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa…

Waziri Mkuu awataka Watanzania kuimarisha malezi, kulinda amani

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa, akisisitiza kuwa haki na wajibu haviwezi kutenganishwa. Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 25, 2026,…

Tanzania yasisitiza ushirikiano Umoja wa Afrika kupunguza vifo vya mama na mtoto

Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, hususan kupitia utekelezaji wa mikakati na hatua madhubuti zinazolenga kuboresha afya na…

Tanzania yasisitiza ufadhili endelevu wa afya kupitia rasilimali za ndani

Na Benny Mwaipaja, Addis Ababa Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khams Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesajiliwa katika Mpango wa Huduma ya Bima ya Afya kwa Wote ikiwa ni dhamira…