JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Baba Revo awataka Watanzania kujiunga na mfuko ya uwekezaji wa Zan Securities

Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Clayton Revocatus Chipando maarufu ka Baba Revo ameingia makubaliano ya kutiliana saini na Mfuko wa Uwekezaji uitwao Zan Securities ambao umetajwa kuja kutoa fursa kwa Watanzania. Akizungumza Jijini…

Nani atachukua nafasi ya Dk Nchimbi

Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi ametangaza kujiuzulu na kustaafu siasa, huku taarifa za ndani zilizopatikana zikionyesha kuwa uamuzi huo umefuatia mahojiano yake mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM. Kwa mujibu wa Ibara ya 50 ya Katiba, nafasi ya Makamu…

ACT Wazalendo yalenga kuendesha nchi kwa misingi bora

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema iwapo chama hicho kitashika madaraka Zanzibar, watampendekeza Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Othman aliyasema hayo Agosti 25, 2026…

Prof. Shemdoe : Wananchi waridhishwa na ujenzi wa barabara za AFCON 2027 Dar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa barabara zinazoingia kwenye viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya michezo na mazoezi ya Fainali za Kombe…

Kadonya : Bonde la Ziwa Victoria ni nguzo muhimu ya uchumi na mtangamano wa Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Bw. Charles Ngeleja Kadonya, amesema Bonde la Ziwa Victoria ni eneo la kimkakati lenye mchango mkubwa katika uchumi wa…