JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mkurugenzi Mkuu TMA , Katibu Mkuu WMO wazungumzia El Nino 2026 

Geneva: 15 Septemba, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu wa Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (IPCC), Dk Ladislaus Chang’a alikutana na Katibu Mkuu…

ETDCO yakamilisha miradi ya umeme wa bilioni 16.2 kusini

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 132 kutoka Mtwara hadi Lindi–Mahumbika, pamoja na njia ya kilovolti 33 kutoka Masasi hadi Newala,…

TARURA yafungua barabara ya Manda – Mafurungu wilayani Chamwino, wananchi wapata nafuu ya usafiri

Chamwino, Dodoma ‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya Chamwino imefungua barabara ya Manda–Mafurungu yenye urefu wa kilomita 25 hatua ambayo imebadili hali ya usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa kijiji cha Mafurungu baada ya kukabiliwa na…

Tanzania, Ujerumani zajadili fursa za uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Millya (Mb.), amekutana na ujumbe wa ujumbe wa Serikali na wafanyabiashara 30 waandamizi kutoka Ujerumani ulioongozwa na Waziri wa Masuala ya Shirikisho, Ulaya na Kimataifa Mhe. Manfred Pentz….

NEMC Yataka Ubunifu wa Mazingira kugeuzwa kuwa fursa

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa wito wa kujenga mifumo itakayowezesha ubunifu na fursa za mazingira kugeuzwa kuwa miradi inayotekelezeka, inayoweza kufadhiliwa na kukua. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Tafiti za Mazingira wa…

BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imepata tuzo na utambuzi tano kutokana na hatua mbalimbali ilizochukua katika kukuza ujumuishi wa huduma za fedha nchini, ikiwamo kupunguza pengo la upatikanaji wa huduma hizo kati ya wanawake na wanaume. Tuzo hizo zilitolewa katika…