Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko afurahishwa na utendajikazi wa Waziri wa Nishati, azindua jengo jipya la TANESCO Bukombe
Bukombe, Geita Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko, amempongeza Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa uongozi wake mahiri na usimamizi mzuri wa sekta ya nishati, akisema utekelezaji wa miradi unaonyesha dhamira ya Serikali ya kutekeleza kwa vitendo…
Halmashauri 39 zaanza kujibu hoja za CAG mbele ya LAAC
Na Do Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Hatua ya kuimarisha uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma imechukua sura mpya baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) kuanza kuwahoji viongozi wa halmashauri 39 kutoka mikoa 15…
Vijana wahamasishwa kutumia fursa za madini kujikwamua kiuchumi
📍DODOMA Vijana nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia fursa zinazotolewa na Sekta ya Madini badala ya kusubiri misaada au mitaji kutoka serikalini, huku wakitakiwa kuanza na rasilimali walizonazo ili kujenga mafanikio ya kiuchumi. Wito huo umetolewa…
Mkutano wa Africa 50 kukuza fursa za uwekezaji na miundombinu Tanzania
Na Saidina Msangi, WF, Dar es Salaam. Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50 Bw. Alain Ebobisse, amebainisha kuwa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM) pamoja na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Infra…
Mzumbe yabadili sura ya elimu ya juu, wanafunzi wafikia 17,955 baada ya uwekezaji wa Sh bilioni 15.6
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe wameongezeka kwa 4,881 ndani ya miaka minne, kutoka 13,074 mwaka wa masomo 2021/22 hadi kufikia 17,955 mwaka 2025/26, huku chuo hicho kikieleza kuwa ongezeko hilo limechochewa na uwekezaji mkubwa katika…
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…





