Category: MCHANGANYIKO
CHADEMA kabla ya kunyooshea wengine kidole…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa kale unaosema, “ukitaka kusafisha mji, anza kufagia mbele ya mlango wako.” Huo ndio msingi wa uongozi unaojenga heshima na kuaminika. Katika siasa za ushindani, hakuna chama kisichokosolewa. Hakuna pia kiongozi…
Kikwete aitaka Afrika kubadili ahadi za afya kuwa utekelezaji wenye bajeti
Accra, Ghana — Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka serikali za Afrika kuacha kutegemea zaidi matamko na ahadi zisizoambatana na utekelezaji, na badala yake kuweka fedha za ndani, uwajibikaji na matumizi ya ubunifu…
Watendaji Manispaa ya Ubungo wapongezwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe, Prof. Palamagamba Kabudi amepongeza watendaji wa Manispaa ya Ubungo kwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo ya kutengeneza barabara itakayosaidia mageuzi ya uimarishaji wa mtandao wa barabara…
Waziri Kombo akutana na Katibu Mkuu wa OACPS, wazungumzia mageuzi na ushirikiano wa kimkakati
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), Mhe. Moussa Saleh Batraki, katika mazungumzo yaliyolenga kuimarisha ushirikiano kati…
Lissu bado mwiba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shinikizo la wito wa kuachiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, linazidi kuongezeka na kuibua mitazamo tofauti kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwamo wa ndani ya nchi na…
Masauni aagiza usimamizi imara wa mazingira kwenye viwanda Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni (Mb), amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Pwani, wilaya, halmashauri na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuongeza usimamizi wa masuala ya mazingira kwenye…





