JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Bajeti ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kazi kubwa inayofanya katika kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za bima ya afya nchini,…

GCLA endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia

Na Mwanaheri Jazza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dkt. Elizabeth Myema, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kutoa huduma bora kwa jamii huku akiitaka Mamlaka kuendelea kuwajengea uwezo wadau wanaojihusisha na Tiba Asili kwa kuzalisha…

11 mbaroni tuhuma za wizi wa miundombinu ya TTCL

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watu 11 kwa tuhuma za wizi, uharibifu na uhujumu wa miundombinu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Watuhumiwa hao, akiwemo Timoth Emesho maarufu kwa jina…

Waziri Kiikwete : Somalia imekuja kujifunza mafanikio ya matumizi ya mifumo ya kidijitari

Na Lusungu Helela, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhwani Kikwete, amesema uamuzi wa Serikali ya Somalia kumtuma Waziri mwenye dhamana ya Utumishi wa Umma nchini Tanzania ni ishara ya…

DC Nickson : Wazazi shirikiane na Serikali kufanikisha chanjo ya Polio

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZAZI na walezi katika Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kutumia fursa ya kampeni ya chanjo ya Polio kuwakinga watoto wao dhidi ya ugonjwa huo, huku jamii ikihimizwa kushirikiana kikamilifu kufanikisha zoezi hilo. Mkuu…

Waziri Mavunde aitaka GST kutoka ofisini na kuwafuata wachimbaji migodini

Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imetakiwa kuwa miongoni mwa taasisi zinazoongoza katika utafiti wa madini na tafiti za jiosayansi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, kupitia uwekezaji mkubwa katika teknolojia, wataalamu, miundombinu na upatikanaji…