Category: MCHANGANYIKO
Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
📍NIRC Dodoma Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua Baraza la Sita la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), huku akitoa wito kwa watumishi wa Tume hiyo kudumisha umoja na kutokubali kukatishwa tamaa na sauti chache za…
Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
*Wadau wa chumvi kuanza kuuza chumvi iliyochakatwa *Zaidi ya tani 60 hadi 100 kuchakatwa kwa mwezi *Wazalishaji wa chumvi waipongeza serikali kwa utatuzi wa changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kuendeleza na kuboresha uzalishaji wa madini chumvi…
Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye ndiye yuleyule na hajabadilika kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Amesema bado ni kiongozi anayeamini katika falsafa ya maridhiano kama ilivyokuwa…
Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema kuwa tume hiyo imebaini kuwepo kwa tofauti kati ya chanzo na kichocheo cha ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu, ambapo…
Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema uchambuzi wa kisheria na ushahidi uliokusanywa unaonyesha kuwa matukio yaliyotokea siku hiyo hayakuwa maandamano ya amani, bali ghasia zilizoambatana na uvunjifu wa…





