JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Norland yashauri Watanzania kupima afya zao mara kwa mara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini ambayo yanaendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa kwa kushambulia watu wa rika mbalimbali, Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora…

Mbunge Mgalu atembelea miradi 35 Bagamoyo, achangia milioni 15

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, atembelea miradi ya maendeleo 35 akijionea hatua za utekelezaji na changamoto zilizopo, huku akichangia milioni 15 kwa ajili ya kuimarisha miradi ya nguvu za wananchi. Ziara hiyo ni…

Serikali ya Awamu ya Nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika

Na Rahma Khamis, Zanzibar NAIBU Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe Hassan Khamis Hafidh amesema Serikali ya Awamu ya nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika ili kuwainua kiuchumi Aliyasema hayo katika Ukumbi wa Umoja wa Washirika wa…

Dk Migiro : Injini ya Chama Cha Mapinduzi ipo mashinani

-Asisitiza mabalozi kupandisha bendera za chama kwenye maeneo yao.-Asema chama kinawajali na kuwathamini mabalozi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema maendeleo ya kweli kwa wananchi huanzia katika mashina ya Chama hicho, akisisitiza kuwa jitihada…

TMA yabainisha njia rasmi zinazotumika katika usambazaji wa taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar TMA imebainisha njia rasmi zinazotumika katika kusambaza taarifa za hali ya hewa nchini, hayo yalizungumzwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Ofisi ya Zanzibar, Ndg. Masoud Makame Faki alipokuwa anazungumza na…