JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kabigi awaasa watumishi Tume ya Madini kung’ara kwa weledi

▪️ Watakiwa kuongeza bidii na kudumisha mshikamano 📍 Dodoma Watumishi wa Tume ya Madini wameaswa kuzingatia weledi, uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuendeleza mafanikio ya Tume pamoja na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…

Tanzania, Japan kufungua milango mipya ya uwekezaji sekta ya nishati

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan katika sekta ya nishati unaingia hatua mpya, huku juhudi zikielekezwa zaidi katika kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi na teknolojia za kisasa za uzalishaji umeme. Hatua hiyo imebainishwa jijini Dar es Salaam leo tarehe 30…

Vijana kujengewa uwezo mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Mashirikiano wa Shirikisho la Umoja wa Vijana wa Afrika (Pan African Youth Union) Bi. Kaoutar Moudar. Mazungunzo hayo yamefanyika leo…

Rais mstaafu Dk Kikwete ampongeza Mtanzania Ngasuma Eva Kanyeka aliyeng’ara Chuo Kikuu cha Harvard Marekani

Na Mwandishi Maalumu, Havard Akiwa katika Chuo Kikuu cha Harvard, jijini Cambridge, jimbo la Massachusetts, nchini Marekani, Rais Mstaafu, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza mwanafunzi wa Kitanzania wa Shahada ya Uzamivu (PhD), Bi. Ngasuma Eva Kanyeka, kwa kushinda tuzo…

Serikali yachukua hatua dhidi ya utapeli mtandaoni, laini 62,879 zafunguwa – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua thabiti za kukomesha uhalifu wa kimtandao, ikiwemo utapeli unaotumia laini za simu na mifumo ya kidijitali, wakati akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya…

Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Mkoa wa Dodoma una fursa nyingi za kiuchumi na kijamii katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, biashara, utalii na madini ambazo zikiendelezwa na kuchangamkiwa ipasavyo zitakuwa…