Category: MCHANGANYIKO
Mikoa minne kupata umeme wa gridi ndani ya mwaka wa fedha 2026/2027
Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/2027 itatekeleza miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo kuunganisha mikoa ya Lindi, Mtwara, Kagera na Rukwa kwenye gridi ya taifa ya umeme ili kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata huduma hiyo nchini. Akichangia makadirio ya mapato…
Serikali yabadili gia, sasa kuwa rafiki wa biashara na sio wadhibiti -Kapinga
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema Serikali imebadili mtazamo katika kusimamia sekta ya viwanda na biashara kwa kuweka mkazo kwenye uwezeshaji badala ya udhibiti, akisisitiza kuwa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo…
Prof. Shemdoe aelekeza bil.5.2/- za mradi wa LoCAL zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amazielekeza Halmashauri za wilaya ya Mkinga, Mafia, Mpwapwa, Kondoa, Chamwino, Mtwara, Mtama na Manispaa ya Kigamboni…
Bandari Dar yapaa Afrika Mashariki, yaongeza ufanisi na kuibwaga Mombasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bandari ya Dar es Salaam imeibuka kinara wa ufanisi wa huduma za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kupanda kwa nafasi 105 katika Ripoti ya Ufanisi wa Bandari Duniani (Container Port…
Mfumo wa stakabadhi za ghala kufungua masoko ya kimataifa kwa wafugaji
Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo. Akizungumza baada ya kutembelea banda la Bodi ya…
Waziri Ndejembi : Wakandarasi wa umeme wasiofanya vizuri wasipewe miradi mingine
📌Apongeza mchango REA katika kufikisha asilimia 78.1 ya upatikanaji umeme vijijini 📌Apongeza wakandarasi wazawa waliofanya vizuri katika utekelezaji wa miradi; Ataka wapewe kazi zaidi Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameuelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wakandarasi ambao…





