Category: MCHANGANYIKO
Waziri Dk Gwajima asisitiza uwajibikaji na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma
Na WMJJWM – Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii, kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya Utumishi wa Umma ili kuongeza ufanisi katika…
Kamati yampongeza Rais Samia kutoa bilioni 200/- kuwezesha vijana
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Mjini, Mariam Ditopile, ameipongeza Serikali chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…
MD Twange aeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi wa mradi wa Hale
📍Ni ule wa kuboresha kituo cha kufua umeme 📍Amuagiza kuongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi huo Na Mwandishi Wetu, Korogwe, Tanga Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange ameeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi anayetekeleza mradi wa maboresho ya Kituo…
Serikali yaeleza mikakati ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema inaendelea kuweka na kutekeleza mikakati madhubuti ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi nchini sambamba na kuwajengea uwezo wanawake wajasiriamali ili washiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akijibu maswali bungeni…
Tozo za bandarini maendeleo ni muhinu ili kuwa na bandari za kisasa – TASAA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar 3s Salaam Umoja wa Mawakala wa Meli Tanzania (TASAA), umeeleza kuwa tozo ya Uendelezaji wa Miundombinu Mipya ya Bandari (PID) ni muhimu ili kujenga miundombinu itakayoifanya Tanzania kuwa miongoni mwa mataifa yenye bandari kubwa na…





