JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Kabudi ataka wasomi waandike vitabu vya maisha yao

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Palamagamba Kabudi, amempongeza mwanazuoni mashuhuri wa Tanzania, Keto Mshigeni, kwa kutunga kitabu kinachoelezea maisha yake, akisema ni hazina muhimu kwa kizazi cha sasa na kijacho kujifunza historia…

TEA yasisitizwa kufanya kazi kwa kuzingatia miongozo na sheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam SERIKALI imekitaka Chama cha Wataalamu na Wadau wa Nishati nchini (TEA) kufanya kazi kwa kuzingatia miongozo, sera na taratibu zinazoandaliwa na serikali katika sekta ya nishati. Akizungumza Februari 2026 jijini Dar es Salaam kwa…

Tume ya Uchunguzi yakutana na mmiliki wa mabasi ya Esther

Na Festo Polea TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Leo Februari 28 imekutana na mmiliki wa mabasi ya Esther, Joseph Didas.  Mahojiano hayo ya Tume na Didas yamefanyika…

Rais Dk Samia azungumza na viongozi wa TAHLISO Ikulu Magogoni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu (TAHLISO) tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.    Rais wa Jamhuri…

Tanzania, Uturuki kuimarisha ushirikiano wa viwanda

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari amewakaribisha wamiliki wa viwanda nchini Uturuki kufanya ziara nchini kujionea fursa zilizopo kwenye sekta ya biashara na uwekezaji, na kuahidi kuwa Serikali ya Tanzania ipo tayari kufanikisha azma hiyo Balozi Bakari…

Rais Dk Samia azungumza na Katibu Mkuu wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala…