JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wasichana wa shule 11 Mafia wanufaika na taulo za kike kutoka TEEMO

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za sekondari Wilaya ya Mafia kupitia awamu ya pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana – Tabasamu…

Serikali kushirikiana na taasisi za dini kuimarisha maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini kuimarisha maadili kwa jamii na kukuza maemdeleo. Mhe. Sangu amesema hayo…

Dk Jafo awapambania maafisa maendeleo ya jamii nchini

MBUNGE wa Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameitaka Serikali kuboresha mazingira ya kazi kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini ikiwemo kuwapatia magari ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi. Akichangia hotuba ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…

Tanzania kuwa na mkakati maalum wa mawasiliano wakati wa mlipuko wa magonjwa ya mifugo

Mkurugenzi Msaidizi wa Epidemiolojia na Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (TADs) akitoa mchango wake katika majadiliano ya Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, iliyofanyika leo Juni 1,…

EACOP na TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa za sekta ya nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika juhudi za kuhakikisha sekta ya nishati inachangia kikamilifu ukuaji wa uchumi wa taifa, Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na wanahisa wakuu wa mradi huo, TotalEnergies umeendelea kuwawezesha…