JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yaipongeza VETA kuibua vipaji kwa wenye ulemavu, yakaza kamba kwa wanaochelewesha madaraja

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeipongeza Taasisi ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa juhudi zake za kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana wenye ulemavu, ikisema hatua hiyo inaendelea kufungua fursa za ajira na kuwawezesha vijana wengi kuchangia…

Bajeti Kuu ya Serikali yapitishwa kwa kishindo

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/27 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndio kuunga mkono Bajeti hiyo Akitangaza matokeo…

Mchengerwa : Tushirikiane kudhibiti na kuzuia magonjwa yasiyoambukiza

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkutano wa kimataifa wa magonjwa yasiyo ambukiza umezinduliwa leo Juni 23, 2026 katika kituo cha mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa. Mkutano huo unatarajiwa…

TRA Pwani yakusanya bilioni 266, yataja magendo, stempu feki kuathiri mapato

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeongeza makusanyo ya mapato kutoka Sh bilioni 27 mwaka 2015/2016 hadi Sh bilioni 266 mwaka 2025/2026, sawa na asilimia 113 mafanikio yanayoakisi kuimarisha shughuli za kiuchumi huku…

PURA yaeleza namna gesi asilia inavyochochea uwekezaji

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Wakati Dunia ikiendelea kutafuta vyanzo vya nishati safi na rafiki kwa mazingira, Tanzania imeendelea kunufaika na hazina kubwa ya gesi asilia inayochochea uzalishaji wa umeme, ukuaji wa viwanda na maendeleo ya uchumi wa taifa. Rasilimali…

TFC yasambaza tani 49,000 za mbolea, yajipanga kupunguza utegemezi wa bidhaa za nje

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya tani 49,000 za mbolea tayari zimesambazwa kwa wakulima nchini kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), hatua inayodhihirisha kuongezeka kwa mahitaji ya pembejeo za kilimo wakati Tanzania ikiendelea kuimarisha uzalishaji wa mazao ya chakula…