Category: MCHANGANYIKO
Samia aokoa maisha ya wana Bukombe
……927 wapimwa saratani Na Mwanandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Angelina Marko, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wananchi wa pembezoni kupitia Kampeni ya Huduma za Mkoba za uchunguzi wa…
RC Kunenge akemea ukiritimba unaokwamisha uwekezaji na huduma kwa wananchi
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewaasa baadhi ya viongozi na watendaji kuondoa ukiritimba unaowakimbiza wawekezaji na wananchi wanaohitaji huduma, akisema vitendo hivyo vinakatisha tamaa na kurudisha nyuma maendeleo. Aidha, amesema ni muhimu viongozi na…
Chobo ataka ushirikiano wa kuchochea maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Rufiji, ambae pia ni Diwani wa Kata ya Shela Abdul Chobo, amewataka watumishi wa umma kushirikiana katika kutatua changamoto zilizopo kulingana na taaluma zao, ili kuiinua jamii katika sekta mbalimbali….
Serikali yadhamiria mageuzi makubwa ya elimu kwa vitendo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imejidhatiti kuhakikisha inafanya mageuzi makubwa ya elimu ujuzi kwa vitendo kuhakikisha wanaongeza vyuo vya Veta ili kusaidia vijana wanapata ujuzi katika fani mbalimbali ili wasitegemee kuajiriwa bali…





