Category: MCHANGANYIKO
BoT Yang’ara SABASABA, Yatwaa Tuzo ya banda bora
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeibuka mshindi wa kwanza wa banda bora katika kundi la Taasisi za Usimamizi kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (Saba Saba), yaliyofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini…
REA yang’ara Sabasaba 2026
π S MWINYI ASHUHUDIA REA IKITWAA TUZO YA MUONESHAJI BORA WA TAASISI ZA SERIKALI* π€ *REA YAWASHUKURU WADAU KWA MCHANGO WAO KATIKA MAFANIKIO HAYO* π Dar es Salaam Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein…
Waziri wa Fedha aumwagia sifa Mkoa wa Tanga kwa fursa lukuki za kichumii
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa mkoa wa Tanga umekaa kimkakati katika kukuza na kuchangia katika pato la Taifa kutokana na kuwa na fursa nyingi za kiuchumi ikiwemo Bandari ya Tanga, viwanda na sekta ya…
Wizara ya Elimu yaweka mikakati upya kuifanya elimu iendane na Dira ya Taifa 2050
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza mageuzi makubwa ya sekta ya elimu kwa kupitia upya kozi na programu za mafunzo ili ziendane na mahitaji halisi ya jamii, soko la ajira na mabadiliko ya uchumi…
Mramba avutiwa na kasi ya REA kusambaza umeme kwenye vitongoji
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mha. Felchesmi Mramba ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini pamoja na mafanikio ya usambazaji umeme kwenye vitongoji. Mha. Mramba amesema hayo leo Julai…
Kizimbani kwa kughushi na kufuja mil.5.5/- za mradi wa kifua kikuu
Mnamo Juni 29, 2026 TAKUKURU Wilaya ya Siha imefungua shauri la uhujumu uchumi namba 14596/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Siha ikiwa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya Dkt. Donatus Boniphace Tsete. Dkt. Tsete anashtakiwa kwa makosa ya…





