Category: MCHANGANYIKO
Dkt. Kiruswa: Mageuzi sekta ya madini yaifanya Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji Afrika
-Tume ya Madini yaeleza usimamizi wa leseni za madini na Local Content unavyowanufaisha Watanzania -Fursa za uwekezaji zatangazwa kuanzia utafiti, uchimbaji hadi uongezaji thamani wa madini Dar es Salaam Serikali imesema mageuzi yanayoendelea kutekelezwa katika sekta ya madini chini ya…
Dk Mawazo Nicas akutana na Balozi Kairuki nchini Uingereza, wajadili fursa za uwekezaji Kibaha
London, Uingereza | Julai 8, 2026 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ambaye yupo nchini Uingereza katika ziara nchini humo, leo Julai 8, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini…
Morogoro, Tanga kukosa umeme kwa siku sita
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa kutakuwa na kukosekana kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga kuanzia Julai 9 hadi Julai 14, 2026, kupisha utekelezaji wa kazi za uvutaji waya (stringing) katika…
Waziri Sangu akutana na kuzungumza na Waziri wa Kazi Qatar
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Samikh Al Marri, leo Julai 8, 2026, jijini…
Tunalipa jana ya PSSSF, imefuta machozi kwa wastaafu
Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es SALAAM Miongoni mwa haki za msingi za mfanyakazi serikalini au sekta binafsi ni pamoja na kulipwa mafao yake kwa wakati pindi anapostaafu utumishi wake. Mafao hayo yanatokana na michango aliyochangia katika mifuko ya…





