JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kidato cha sita waitwa JKT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita 2026 kutoka shule za Tanzania Bara na Zanzibar kuripoti kwenye makambi mbalimbali ya JKT kwa ajili ya Mafunzo…

Miaka 40 ya NEMC, JET yapewa tuzo ya heshima

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo Mei 28, 2026 limetambua mchango mkubwa wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) katika kuandika na kuhabarisha umma kuhusu masuala ya…

Serikali yakaza udhibiti wa mbegu feki kulinda wakulima

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Serikali imewataka viongozi wa mikoa na wilaya, hususan maeneo ya mipakani, kuongeza usimamizi wa mbegu zinazoingia nchini ili kuzuia kuenea kwa mbegu zisizo na ubora ambazo zimekuwa zikichangia hasara kwa wakulima na kudhoofisha sekta ya kilimo….

Hakuna nyongeza muda kwa mkandarasi wa ujenzi barabara Kahama kupitia mradi wa TACTIC – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Kahama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali haitomuongezea muda Mkandarasi M/s China Civil Engineering Construction Corporation wa kukamilisha miradi ya ujenzi…

Vijana 60,000 kupata mafunzo ya uzalendo ya JKT mwaka huu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)limetangaza ongezeko kubwa la nafasi za vijana watakaopatiwa mafunzo ya uzalendo na stadi za maisha mwaka huu, ambapo wahitimu wa kidato cha sita wapatao 60,000 wanatarajiwa kuripoti katika makambi mbalimbali nchini…