Category: MCHANGANYIKO
Mwigulu alivyomwaga nondo mkutano Samia Sumbawanga mjini
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amefuta tozo na kodi zaidi ya 200. Mwigulu ametoa kauli…
Auawa na mfuniko wa mtungi wa gesi ya kuzimia moto Bagamoyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mwanamke mmoja aitwaye Mengi Waziri (25), mkulima na mkazi wa Masiwa, Kata ya Dunda, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, amefariki dunia baada ya kugongwa kichwani na mfuniko wa mtungi wa gesi ya kuzimia moto uliolipuka…
Rukwa na shamrashamra ya kumpokea Dk Samia
Baada ya mikutano mikubwa iliyofanyika katika maeneo ya Mpanda, Kibaoni na Namanyere (Nkasi), leo ni zamu ya Sumbawanga mjini, ambapo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya…
Mitadi ya kimkakati ya TANROADS inaufungua Mkoa wa Songwe – Eng Bishanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo upanuzi wa barabara kuu ya TANZAM kipande cha Igawa – Tunduma (Km 218) na Ujenzi wa…
Dk Nchimbi awasili Morogoro kusaka kura za ushindi wa kishindo
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewasili mkoani Morogoro leo Oktoba 18,2025 kuendelea na mikutano yake ya hadhara ya kampeni ya kusaka kura za ushindi wa Kishindo…
Article 19 kushirikiana na JOWUTA kusaidia wanahabari nchini
Na Mwandishi Wetu,Nairobi Shirika la kimataifa la Article 19, Afrika ya Mashariki, limeahidi kushirikiana na chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari Tanzania(JOWUTA) kusaidia kuwajengea uwezo wanahabari katika masuala ya utetezi wa sheria za habari, haki za wanahabari na ukatili…