JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nchi za Afrika zahimizwa kushirikiana katika kuimarisha matumizi bora ya nishati

WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi bora ya Nishati, ili kuokoa upotevu wa Nishati pamoja na fedha ambazo zingetumika kwa uwekezaji usiohitajika. Mhe.Ndejembi ametoa…

Makala : Jengeni utamaduni wa kukataa kushiriki kwenye maandamano

Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatano Desemba 10, 2025, amewapongeza wananchi kwa kuyakataa maandamano ya Desemba 09, 2025, akiwataka kujenga utamaduni wa kudumu wa kukataa maandamano na matukio yote yenye viashiria vya uvunjifu wa amani…

Dk Kisenge aandika historia, atwaa tizo ya CEO bora wa 2025

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mkurugenzi Mtendaji Bora wa Mwaka 2025 iliyotolewa na kampuni ya Eastern Star Consulting Group kwa ushirikiano…

Mbaroni kwa tuhuma za kumpiga mwanaye hadi kumuua, autupa mwili wake shambani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Marry Timotheo, Mkazi wa Garijembe Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya Mtoto wake aitwaye Scola Athanas Mwaba [10] aliyekuwa Mwanafunzi wa Darasa la Nne katika Shule ya Msingi Ngonde. Tukio hilo limetokea Desemba…

Meya Nicas -Manispaa Kibaha yatenga mamilioni kuboresha miundombinu ya elimu ya sekondari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha imetenga mamilioni ya fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu katika shule za sekondari, ikiwemo sh.milioni 900 kwa ujenzi wa vyumba vipya vya madarasa na sh. milioni 400 kwa…

Polisi : Mbinu za kihalifu 13 zilizopangwa kutumika kwenye maandamano zakwama

Jeshi la Polisi lingependa kuwajulisha kuwa, kama tulivyo wapa taarifa iliyokuwa na ahadi ndani yake majira ya saa 6 usiku tarehe 9.12.2025 kuamkia leo tarehe 10.12.2025 kuwa, kwa ushirikiano na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama tutaendelea kuimarisha hali ya…