JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanahabari watakiwa kujali tahadhari za kiusalama

Mwandishi wetu.Morogoro Waandishi wa habari na watangazaji wametakiwa kujali tahadhari za kiusalama wakati wakitekeleza majukumu yao,kwani hakuna habari yenye thamani zaidi ya maisha yao. Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari Tanzania(JOWUTA), Mussa Juma ameeleza hayo…

Prof. Kabudi ahamasisha wananchi kutembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sabasa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri…

Kaimu meneja Mkuu TGDC atembelea banda la Wizara ya Nishati

Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mha. Shakiru Idrissa Kajugus, ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,…

Waziri Sangu akutana na mzee wa upako na mtume Malisa

-Aeleza umuhimu wa Mahusiano mema katika kuimarisha mshikamano wa Taifa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, leo Julai 4, 2026 Jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mchungaji Antony…