JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Nchimbi kuzindua jengo jipya la wageni ‘ ‘VIP’ uwanja wa ndege

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa jengo jipya la wageni maarufu (VVIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)…

Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara ya Viwanda kuendeleza kongani na kusimamia miradi ya kimkakati

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Deodatus Mwanyika, ameipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara kwa hatua inazoendelea kuchukua katika kuanzisha na kuendeleza kongani za viwanda kupitia taasisi zake, hatua inayochochea fursa za…

Mnzava : Tutatoa ushirikiano kwa Wizara

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeahidi kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wote wa kutekeleza majukumu yake. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Januari, 2026 na Mwenyekiti wa Kamati…

Serikali kupitia REA kuzindua miradi mikubwa ya kimkakati

📌Kituo cha Kupoza Umeme Mtera 📌Mradi wa Kusambaza umeme katika vitongoji 9,009 Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera na Kusaini Mikataba ya kutekeleza mradi kabambe wa kusambaza umeme kwenye…

Msajili wa Hazina aomba ushirikiano wa PIC kuimarisha mageuzi ya uwekezaji wa umma

Na Mwandishi wa OMH, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Januari 15, 2026 imeendesha semina maalumu kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) katika Ukumbi wa Bunge, jijini Dodoma. Semina hiyo…

RAS Tanga : Maadhimisho Wiki ya Huduma za Fedha yatakuwa na mafanikio

Na Chedaiwe Msuya na Eva Ngowi, WF, Tanga Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS), Bw. Rashid Mchatta, amewahakikishia wadau wa sekta ya fedha kuwa maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha yatakayofanyika jijini Tanga yatakuwa na mafanikio makubwa kutokana…