JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Mwigulu aagiza mikakati madhubuti kulinda viwanda vya ndani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka Taasisi za udhibiti za Serikali kuweka kipaumbele katika kulinda viwanda vya ndani na biashara badala ya kuwa kikwazo katika kufikia mafanikio. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa haitakuwa rahisi kulinda…

PPRA : Zaidi ya trilioni 5 zimetengwa kwa makundi maalum kupitia zabuni za Serikali

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewahamasisha Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki fursa za zabuni za serikali kupitia mfumo wa NeST, ikisisitiza kuwa zaidi ya shilingi trilioni tano zimetengwa mahsusi kwa ajili ya makundi maalum yakiwemo vijana, wanawake,…

Chalamila awataka madiwani kuzitazama jicho la pili hospitali binafsi kama sehemu yao

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar e salaam Albet Chalamila amewataka madiwani na viongozi mbalimbali wanapo kwenda kwenye mabaraza yao wawe wanaingiza hospital binafsi kama Hospital ya Shifaa ili iwe sehemuyao. Kauli hiyo imetolewa…

Rais Samia awasilia Ethiopia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Bole, Jijini Addis Ababa Ethiopia, tarehe 12 Februari, 2026 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 39 wa Kawaida wa Wakuu wa…

Siku 100 za Rais Samia zaleta neema Igunga

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SIKU 100 baada ya kuingia madarakani katika awamu ya pili ya uongozi wake, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameleta neema kwa wakazi wa Mji wa Igunga Mkoani hapa kwa kuwawezesha kupata huduma ya maji kwa…

Spika Zungu: ofisi ya spika haijatoa kibali chochote kwa wabunge kuhojiwa na TAKUKURU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hadi sasa Ofisi ya Spika haijapokea taarifa yoyote ya wito wala kutoa kibali cha mbunge yeyote kwenda kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia…