Category: MCHANGANYIKO
Serikali kufuatilia mradi wa barabara Pangani hadi Tanga
Na Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Serikali itafuatilia kwa karibu changamoto zinazokwamisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Pangani-Tanga ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kuanza…
Wanahisa TBL wapitisha hesabu za mwaka 2025 baada ya mwaka wa ukuaji wenye faida
▪︎TBL imehitimisha mwaka kwa ongezeko la faida, ukuaji endelevu wa chapa zake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL Plc) imefanya Mkutano Mkuu wa 53 wa Wanahisa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha…
Wafanyabiashara wahimizwa kuongeza mauzo nje ya nchi kupunguza nakisi ya biashara
Na Benny Mwaipaja, Horohoro, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji nchini kuongeza uzalishaji wenye tija na kuimarisha mauzo ya bidhaa katika masoko ya kimataifa ili kupunguza nakisi ya biashara…
TCAA yaimarisha huduma kwa wateja kupitia Dawati Maalum
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kupitia kwa Mkurugenzi wake Mkuu Dkt. Jabiri Bakari imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wateja kupitia Dawati maalum la Huduma kwa Wateja, likiwa na lengo la…





