JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ofisi ya Msajili Hazina yashiriki maadhimisho Mei Mosi, yatoa wito kwa mashirika ya Umma kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina, Leo Ijumaa, Mei 1, 2026, imeshiriki kikamilifu maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, yakiongozwa na kauli mbiu isemayo “Kazi zenye staha…

Rais Samia apongeza tuzo za wafanyakazi bora, JOWUTA yawatunza waandishi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan, amepongeza wafanyakazi hodari ambao wamepata zawadi katika maadhimisho ya Siku ya wafanyakazi Duniani(Mei Mosi) 2026 huku Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari (JOWUTA) kikitoa…

Ubalozi wa Tanzania Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania

Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency Harare The Meikles. Katika hafla hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi…

CCM yateua wawili kuwania udiwani Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimepitisha majina ya makada wake wawili watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha kuwania udiwani katika Kata za Itilo na Ziba. Akizungumza kwenye…

EWURA yaonesha umoja wa wafanyakazi katika Siku ya Mei Mosi

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, Mei 1, 2026, imeungana na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Mei Mosi ambapo kitaifa yamefanyika mkoani Njombe. Sherehe hizo zilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Mageuzi ya elimu yashika kasi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa 37 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo leo Aprili 30,2026 jijini Dodoma. …… Serikali imewataka watumishi wa sekta ya elimu nchini kuimarisha mshikamano, uwajibikaji na…