Category: MCHANGANYIKO
Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza Kikao cha Kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) cha Kipindi cha Pili cha Serikali ya Awamu ya Nane. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 29 Disemba…
Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi wa Eyasi–Wembere unaendelea kuwa mfano bora wa jinsi Tanzania inavyotumia rasilimali zake kwa manufaa ya wananchi. Kupitia awamu ya pili ya mradi huu unaotekelezwa Kijiji cha Endeshi, wilayani Karatu, zaidi ya Watanzania 2,000,…
Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani. Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa…
Uboreshaji reli ya TAZARA, historia ya awamu ya sita na mpango mkakati
Imeandaliwa na Mhandisi Abbas Maunda UTANGULIZI Reli ya Tanzania–Zambia (TAZARA) ni moja ya miradi mikubwa ya kimkakati barani Afrika, iliyojengwa kwa lengo la kuunganisha Bandari ya Dar es Salaam na Zambia, nchi isiyo na bandari. Reli hii ina urefu wa…
TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo.
Na Heri Shaaban Kwa Mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, imeeleza kuwa vipindi vifupi vya mvua kubwa inatazamiwa katika mikoa ya Arusha,Kilimanjaro,Manyara ,Mara,Simiyu , Mwanza ,Mtwara, Lindi na mikoa ya Kusini mwa Pwani ikijumuisha Visiwa vya…
Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania
Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania kiuchumi na kijamii. Msigwa aliyekuwa akitoa ufafanuzi…





