Category: MCHANGANYIKO
Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa jumuiya hiyo uliomalizika hivi karibuni ulikuwa wa haki, halali na uliozingatia taratibu zote, akikanusha madai kwamba uongozi…
Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine
Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Kibaha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Mkoa wa Pwani unakua kwa kasi kiuchumi, akisisitiza kuwa maendeleo hayo yanapaswa kuwanufaisha wananchi wazawa katika sekta za uzalishaji na ajira. Simbachawene alitoa kauli hiyo…
Pwani yaweka mkakati kuacha tabasamu kwa wananchi ndani ya siku 100 za rais
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umejipanga kuhakikisha wananchi wa mkoa huo wananufaika moja kwa moja na utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100, kwa lengo la kuacha tabasamu na kuboresha huduma…
Tanzania na Uturuki kuimarisha uwezeshaji wa vijana na wanawake
Na WMJJWM- Uturuki Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuanzisha makubaliano yatakayowezesha vijana kutoka Tanzania kunufaika na fursa za mafunzo, uzoefu wa biashara na kuunganishwa na vijana wenzao kupitia Jukwaa la Young MÜSIAD ili kukuza mtandao wa biashara, ujuzi na kutengenenza rasilimaliwatu…
Mabalozi wa Utalii waahidi kuulinda Ushoroba wa Kwakuchinja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Wanafunzi 40 walioteuliwa kuwa Mabalozi wa Uhifadhi na Utalii, wilayani Babati mkoa Manyara, wameahidi kuyalinda mapito ya wanyama(shoroba) ya kwakuchinja,yaliyopo katika eneo la Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, iliyopo kati kati ya hifadhi…
Wizara ya Viwanda na biashara yapania kuanzisha kongani
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imepanga kuanzisha kongani za biashara katika kila wilaya nchini kuwasadia Wakulima,Wafanyabiashara na Vijana kuchakata mazao ili kuyaongezea thamani. Akizungumza na waandishi wa habari katika Kituo cha Urithi wa Ukombozi jijini Dar es…





