JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Migiro : Injini ya Chama Cha Mapinduzi ipo mashinani

-Asisitiza mabalozi kupandisha bendera za chama kwenye maeneo yao.-Asema chama kinawajali na kuwathamini mabalozi. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amesema maendeleo ya kweli kwa wananchi huanzia katika mashina ya Chama hicho, akisisitiza kuwa jitihada…

TMA yabainisha njia rasmi zinazotumika katika usambazaji wa taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar TMA imebainisha njia rasmi zinazotumika katika kusambaza taarifa za hali ya hewa nchini, hayo yalizungumzwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Ofisi ya Zanzibar, Ndg. Masoud Makame Faki alipokuwa anazungumza na…

Serikali kuimarisha ujuzi wa nguvu kazi ya Taifa

Serikali itaendelea kuhakikisha nguvu kazi ya Taifa inakuwa na ujuzi unaoendana na mahitaji ya soko la ajira ili kuongeza tija kazini na ushindani wa uzalishaji. Hatua hiyo inalenga kujenga nguvu kazi yenye ujuzi, maarifa na weledi unaokidhi mabadiliko ya teknolojia…

Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi ateta na Bodi ya Wakurugenzi ZPRA

Na Sabiha Khamis -MAELEZO Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Mhe. Masoud Ali Mohamed ameitaka Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi asilia Zanzibar (ZPRA) kuwa na ushirikiano katika utendaji kazi…

Rais Samia awasisitiza majaji, mahakimu kulinda haki na amani ya Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji na Mahakimu nchini kusimamia haki kwa kuzingatia sheria, maadili na viapo vyao ili kulinda amani, usalama na utulivu wa Taifa. Rais Samia ametoa wito huo jana jijini…

Mollel aipongeza GGM kwa kusaidia upasuaji watoto wanaougua moyo JKCI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), inahitaji shilingi bilioni 1.6 kwaajili ya kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 420 wanaougua maradhi ya moyo ambao wazazi wao hawana uwezo wa kugharamia matibabu yao. Hayo…