Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia aja na mpago mahsusi wa kitaifa kuhusu nishati
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mpango Mahsusi wa Kitaifa kuhusu Nishati (National Energy Compact) uliozinduliwa leo unalenga kuiwezeseha Tanzania kuunganisha umeme kwa kaya milioni 8.3 zaidi ifikapo mwaka 2030. Taarifa iliyotolewa…
PPAA mguu sawa kurasimisha matumizi ya moduli Kanda ya Ziwa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA), imewasihi wadau wa Ununuzi wa Umma Mikoa ya Kanda ya Ziwa kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya kuwasilisha na kushughulikia rufaa na malalamiko kwa njia ya kielektroniki katika…
Yaliyojiri leo Januari 28, 2025 wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika
Aliyosema Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko Mara nyingi husemwa kuwa mustakabali wa dunia ni wa Afrika. Kauli hii inahusishwa na idadi kubwa ya vijana Barani Afrika pamoja na utajiri wa rasilimali zake. Hata hivyo, naamini…
Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni ya 300
………………………… OPENING ADDRESS BY HER EXCELLENCY DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DURING THE AFRICA HEADS OF STATE ENERGY SUMMIT, DAR ES SALAAM, 28TH JANUARY, 2025 (ENGLISH AND KISWAHILI) On behalf of the peoples and…
Chuo cha Furahika champongeza Rais Dk Samia kuithamini elimu ya amali
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es slSalaam KAIMU Mkuu wa Chuo Cha Ufundi Cha Veta Furahika , Dk David Msuya, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kwa kuithamini elimi ya amali ambayo huendana na…