Category: MCHANGANYIKO
Wazazi jamii ya kifugaji wamuomba Waziri kuingilia kati sakata la kuchukuliwa kwa watoto wao kinyemela
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wazazi wa jamii ya Kimasai wamemuomba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum , Dorothy Gwajima, kuingilia kati kitendo cha watoto wao kuchukuliwa kinyemela kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita kwa kuahidiwa…
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wajumbe wote wa kikao hiki ni 1928, wajumbe waliopata dharura ni 4 pekee, hivyo wajumbe waliodhuria ni 1924 ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Conventional Centre. Hatua hii inadhihirisha uimara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa na idadi kubwa…
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKUTANO Mkuu maalum wa chama Cha Mapinduzi (CCM),unaoendelea jijini Dodoma umechagua kwa kishindo Stephen Masato Wasira, kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara. Katika mkutano huo, kura 1921 zilipigwa, ambapo kura halali zilikuwa 1917. Kura…
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
Na Isri Mohamed, JamhiriMedia, Dar es Salaam Mratibu wa Kampeni wa Freeman Mbowe, anayegombea nafasi ya uenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Daniel Naftal amesikitishwa na tuhuma zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu zikimtaja kuwa alikamatwa…
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu kuelekea mkutano mkuu maalumu wa CCM
Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo wanaanza kikao chao cha siku mbili ambacho pamoja na mambo mengine watakupiga kura ya kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara. Nafasi hiyo iliachwa wazi na Abdulrahman…