JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kampuni ya Perseus yatangaza kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu wa Nyanzaga Sengerema

▪️Mradi wa ujenzi wa mgodi kugharimu Trillioni 1.4 ▪️Dhahabu ya kwanza kuanza kuzalishwa robo ya kwanza ya Mwaka 2027 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira bora ya uwekezaji ▪️Mgodi kuzalisha Ajira na mapato kwa serikali Kampuni ya Perseus ya Nchini Australia…

Wazazi watakiwa kuwatengenezea mazingira bora ya elimu watoto wao

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa wazazi wana jukumu la kuwaendeleza watoto wao kwa kuwapatia elimu bora na kuwafundisha stadi za maisha. Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mwalimu Irene Muthemba wakati wa…

Mahakama kutoa uamuzi wa hoja za mawakili wa Jamhuri na utetezi kesi ya Tundu Lissu Mei 6

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutoa uamuzi wa hoja za Mawakili wa Jamhuri na Mawakili wa utetezi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu,…

Dk Biteko awasilisha bungeni Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/ 2026

📌 Yagusa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa asilimia 96.5 📌 Upatikanaji umeme wa uhakika. Nishati Safi ya Kupikia, Uendelezaji Gesi Asilia; Baadhi ya vipaumbele vya Bajeti 📌 JNHPP, Usambazaji Umeme Vijijini na Ufikishaji Gridi Kigoma; Baadhi ya mafanikio Bajeti…