Category: MCHANGANYIKO
NINIDA yaja na mbinu mpya kuhakikisha vitambulisho vinachukuliwa
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wale wote ambao hawakujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa vilivyopelekwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Shehia kufika katika ofisi za NIDA za wilaya walikojisajili kuchukua vitambulisho vyao mara watakapopokea ujumbe…
TRA kushirikiana na viongozi Serikali za Mitaa kuimarisha Ukusanyaji Kodi Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetoa elimu kwa viongozi wa serikali za mitaa Kariakoo, kuhusu sheria mbali mbali za ulipaji kodi ikiwamo kodi ya zuio la pango, namna mpangaji wa nyumba anavyopaswa kukata…
Akiba Commercial Bank yazawadia washindi wa Kampeni ya Twende Kidijitali tukuvushe Januari
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili…
Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71 – Kapinga
📌 Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini 📌 Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua…
Tujiepushe na ulevi wa ushindi – Lwaitama
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…
Msigombanie uongozi kwa ajili ya ubunge na udiwani
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wanachama wake kuhakikisha chama chao wanakwenda kujibu maswali ya kijamii katika maeneo wanayoishi, na si kila siku kujibu maswali ya kisiasa. Mbowe…