JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Aziz Ki abeba tuzo nne

Na Isri Mohamed Kiungo wa kimataifa wa Yanga, Stephanie Aziz Ki amebeba tuzo nne usiku wa kuamkia leo katika hafla ya ugawaji tuzo ya wanamichezo bora wa soka kwa msimu uilopita 2023/24 iliyoandaliwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania…

Simba yamtambulisha Mlinda mlango mpya

Na Isri Mohamed Klabu ya Simba imemtambulisha mlinda lango wao mpya, Moussa Camara (25), Rais wa Guinea akitokea klabu ya AC Horoya ya nchini Guinea. Simba imesajili nyanda huyo kuchukua nafasi ya golikipa wao namba mopja, Ayoub Lakred, ambaye atakuwa…

Dk Biteko afunga maonesho ya Nanenane nyanja za juu Kusini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 2, 2024 amezindua Sherehe za Maonesho ya Wakulima – Nane Nane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na kutembelea mabanda mbalimbali ya maenesho katika katika Viwanja vya…

Waziri Mkuu ahani msiba wa mama yake mzazi Halima Mdee

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni sanaa na Michezo Gerson Msigwa, alipofika kuhani msiba wa marehemu Bi. Theresia Mdee ambaye ni mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee nyumbani kwake Area D…