Category: MCHANGANYIKO
Dk Mpango aikaribisha Vietnam kiuchangamkia uwekezaji nchini
Na Mwandishi Maalum Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameikaribisha Vietnam kuchangamkia fursa za uwekezaji nchini kama vile kilimo, viwanda vya nguo na viwanda vingine vya uzalishaji. Dk Mpango amesema hayo alipokutana na kuzungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam,…
Mkazi wa Magomeni ashinda gari Ford Ranger kupitia Kampeni ya Tembocard ni Shwaa ya CRDB
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKAZI wa Magomeni, Rahabu Mwambene, ameibuka mshindi wa gari aina ya Ford Ranger XLT katika droo ya tatu ya kampeni ya Tembocard ni Shwaa, iliyoandaliwa na Benki ya CRDB. Droo hiyo imefanyika ikiwa…
Watu 232 wapata huduma ya uchunguzi na matibabu moyo banda la JKCI Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu 232 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa muda wa siku tatu katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa…
Anitha Waitara aingia kinyang’anyiro cha ubunge Kivule, aahidi kutatua kero ya miundombinu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anitha Waitara, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Jimbo la Kivule katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiahidi kushughulikia changamoto ya miundombinu ya barabara ambayo kwa muda mrefu imekuwa…
Wafanyakazi wa majumbani 700 watunukiwa vyeti vya mafunzo ya VETA
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi mahususi kwa kazi zao. Kwa…
Samia Infrastructure Bond kuwezesha qakandarasi wazawa kitekeleza miradi kwa wakati
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakandarasi wazawa nchini sasa wanapata unafuu mkubwa wa mtaji kupitia mpango mpya wa hatifungani maalum ya miundombinu iliyoanzishwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB, kwa lengo la kuharakisha…