JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watu milioni 18 wanufaika kiuchumi na trilion 2.44/- zilizotengwa na Serikali

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Serikali imekuwa ikifanya jitihada za kuwainu qananchi kiuchumi ambapo kwa Mlmwaka wa fedha 2024/2025 ilitenga Tilion 2.44 kwa ajili Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ambapo zaidi ya watu milioni 18 wamenufaika ambapo wanaume asilimia 51…

Majaliwa :Wapeni vijana mikopo yenye riba nafuu

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya โ€ŽWaziri Mkuu Kassimu Majaliwa amezitaka taasisi za fedha kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa vijana ili wawe na Uwezo wa Kuirejesha. Majaliwa amesema hayo leo tarehe 10/10/2025 mkoani hapa wakati akizindua maadhimisho ya wiki la…

TTCL yaahidi kuendeleza kutoa huduma bora zaidi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora, za kuaminika na zenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza katika…

Wamanchi wa Serengeti wameamua kumpokea Dk Samia kwa kishindo

๐Ÿ“ธ Tazama nyomi la wananchi wa Serengeti mkoani Mara waliojitokeza katika kumlaki, kumsikiliza na kumpa kura zake kabisa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป ambaye leo tarehe 10 Oktoba 2025 atanadi Ilani, Sera na Ahadi…

CCM imeendelea kumuenzi hayati mwalimu Nyerere katika misingi ya utawala bora – Dk Samia

Mgombe wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป amesema CCM imeendelea kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere katika misingi ya utawala bora….