Category: MCHANGANYIKO
Watu milioni 18 wanufaika kiuchumi na trilion 2.44/- zilizotengwa na Serikali
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Serikali imekuwa ikifanya jitihada za kuwainu qananchi kiuchumi ambapo kwa Mlmwaka wa fedha 2024/2025 ilitenga Tilion 2.44 kwa ajili Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ambapo zaidi ya watu milioni 18 wamenufaika ambapo wanaume asilimia 51…
Majaliwa :Wapeni vijana mikopo yenye riba nafuu
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya โWaziri Mkuu Kassimu Majaliwa amezitaka taasisi za fedha kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa vijana ili wawe na Uwezo wa Kuirejesha. Majaliwa amesema hayo leo tarehe 10/10/2025 mkoani hapa wakati akizindua maadhimisho ya wiki la…
TTCL yaahidi kuendeleza kutoa huduma bora zaidi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora, za kuaminika na zenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza katika…
Wamanchi wa Serengeti wameamua kumpokea Dk Samia kwa kishindo
๐ธ Tazama nyomi la wananchi wa Serengeti mkoani Mara waliojitokeza katika kumlaki, kumsikiliza na kumpa kura zake kabisa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป ambaye leo tarehe 10 Oktoba 2025 atanadi Ilani, Sera na Ahadi…
CCM imeendelea kumuenzi hayati mwalimu Nyerere katika misingi ya utawala bora – Dk Samia
Mgombe wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amesema CCM imeendelea kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere katika misingi ya utawala bora….




