Category: MCHANGANYIKO
Maliasili, Mambo ya Ndani zatakiwa kushirikiana kukuza utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetakiwa kushirikiana kwa ukaribu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kukuza soko la utalii nchini na kurahisisha utoaji wa huduma ya viza kwa watalii. Hayo yamesemwa leo…
Naibu Waziri Maryprisca Mahundi amuonya diwani kutopotosha umma
NAIBU Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuonya Diwani Faustin Shibiliti wa Kata Igalula kutopotosha umma juu ya mkataba wa uwekezaji wa mnara katika kata hiyo ambapo ina minara miwili ya Vodacom na Halotel. Mhandisi Maryprisca…
Wawili wauwa katika ugomvi wa kugombea ardhi Mbarali, watatu mbaroni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili wakazi wa Kata ya Igurusi wilayani Mbarali na kujeruhi watu wengine watano wilayani humo kutokana na ugomvi wa kugombea ardhi…
TMA yatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Dikeledi
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga ‘DIKELEDI’ katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji. Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kwa sasa kipo katika mwambao wa pwani ya…
Arusha mbioni kuwa kitovu cha utalii wa matibabu ukanda wa Afrika Mashariki
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda na Waziri wa Afya nchini Tanzania Jenista Mhagama, wamekubaliana kukutana Dodoma makao makuu ya wizara hiyo, kufanya mazungumzo ya pamoja ya kupanga utekelezaji wa ndoto na maono…
Lema : Sitagombea ubunge Arusha 2025, atakayegombea nitamsaidia
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema, ameweka wazi kuwa kuna watu walienda kwa mama yake mzazi kumtaka azungumze nae ili amuunge mkono kaka yake Freeman…