Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko azitaka mamlaka za maji kupunguza upotevu wa maji
📌 Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24 📌 Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12 📌 Maganzo yaibuka kidedea, Rombo yavuta mkia utoaji wa huduma Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…
…Wadau wachambua miaka 4 ya Rais Dk. Samia madarakani
*Butiku asema amepambana na rushwa, afurahi 4R kurejesha mshikamano *Dk. Chegeni: Licha ya uhaba wa fedha za kutosha, amekamilisha miradi aliyoirithi * LHRC wadai bado kuna changamoto kubwa katika mifumo ya sera, sheria *TAMWA yasifia ujasiri, uthubutu alioonyesha tofauti na…
Bunge latoa kongole utendaji ufanisi wa TPA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imefurahishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambao umechochea uboreshaji wa huduma katika bandari mbalimbali hapa nchini uliotokana na maboresho ya…
NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kupitia mfumo wake wa ruzuku ya mbolea,imesaidia ongezeko la matumizi ya mbolea kutoka tani 363,599 mwaka 2020/2021 hadi tani 840,714 mwaka 2023/2024. Ongezeko hilo limewezesha kuongezeka kwa matumizi ya mbolea…
Maendeleo Benki kutekeleza kwa vitendo huduma ya kifedha kidigitali
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Maendeleo Benki ,Profesa Ulingeta Mbamba amesema kuwa Maendeleo Bank imendelea kutekeleza kwa vitendo mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya Fedha kwa kuanzisha huduma ya kidigitali ijulikanayao kama “Click Bank…
Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu
· Ni kupitia Sekta ya Madini Kagera · Waita wawekezaji ndani na nje MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Kagera yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha ulioanza Julai 2024/…