JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

148 mbaroni kwa ubakaji, ulawiti Arusha

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha kupitia operesheni iliyofanyika kuanzia mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa limefanikiwa kuwakamata watumiwa 148 wa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji, ulawiti, dawa za kulevya na pombe ya moshi. Akitoa…

Kamati mpya ya ukaguzi Wizara ya Nishati yafanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani

📌 Yapongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopelekea Kamati husika kumshauri vyema…

Polisi Dodoma yawaomba wananchi kutoa taarifa za wahalifu

Na Dotto Kwilasa, Jamhuri Media, Dodoma Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limewaomba wakazi wa mkoa huo kushirikiana kwa kutoa taarifa za watu wanaoshukiwa kuwa na viashiria vya uhalifu ili kusaidia kuwadhibiti mapema kabla hawajatekeleza vitendo vya kihalifu. Kamanda wa…