JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mramba: Kununua umeme nje ya nchi, haimaanishi kuna upungufu nchini

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa ununuzi wa Umeme kutoka nchi Jirani haimaanishi kuwa nchi iko katika changamoto ya upungufu wa umeme kwa kuwa mpaka sasa Tanzania inazalisha…

Kunenge aungana na jamii, watoto kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais Samia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaji Nuhu Mruma, amehimiza ktika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadan ni muhimu kwa Watanzania kuendelea kushikamana, kuwa wamoja, na kujali yatima, hasa wale walio na mahitaji…

NHIF yajivunia mafanikio yake kwa kipindi cha miaka minne

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya(NHIF)Dkt. Irene Isaka amesema Serikali ya Awamu ya Sita imefanya jitihada mbalimbali za kuboresha Mfuko huo ambapo hadi kufikia Disemba 2024, mfuko una ziada ya shilingi bilioni 95…