Category: MCHANGANYIKO
Watu 700 wachunguzwa moyo Arusha
Watu 700 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika maonyesho ya kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake yaliyofanyika jijini Arusha. Huduma hizo zilitolewa kwa muda wa siku saba katika viwanja vya TBA Kaloleni na wataalamu wanawake wa magonjwa…
Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kumnasua mtoto wa kiume wa miaka wa miaka 8 anayesoma shule ya Msingi Mbezi Ubungo Dar es Salaam aliyetekwa Machi 6 , 2025 na Stanley…
Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika
📌Asema Ajenda ya Nishati Safi ni ajenda ya Nchi hivyo tunaisimamia Afrika. 📌Nishati ni Mpango wa Maendeleo endelevu 📌Umeme umesambazwa Vijiji vyote nchini 📍Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni Msimamizi…