JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jitihada za pamoja zinahitajika kupambana na udumavu – Dk Yonazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu katika mapambano dhidi ya tatizo la udumavu nchini. Akizungumza katika…

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk Samia mkutano Mkuu wa ACTIF 2025 nchini Grenada

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 27, 2025 amewasili mjini St. George’s, nchini Grenada ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la nne wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (Afri-Caribbean Trade and Investment Forum – ACTIF…

CCM yahimiza mshikamano vyama vya ukombozi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ni muhimu kukuza ushirikiano na mshikamano wa vyama sita rafiki vya ukombozi Afrika. Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mizengo Pinda alisema hayo akimwakilisha Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Samia…

Waziri Kombo ataka mikakati endelevu ya kisekta kuimarisha mifumo ya chakula kimataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amesisitiza umuhimu wa kuchukua hatua madhubuti na za pamoja katika kuimarisha mifumo ya chakula ili kuhakikisha ushiriki endelevu wa Tanzania katika ajenda za maendeleo ya…

CRDB yapongezwa kwa kuwajengea uwezo wajasiriamali kupitia mafunzo ya kidijitali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Tawala wa Wilaya ya Ilala, Charangwa Makwiro, ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi zake katika kuwawezesha wajasiriamali kupitia mafunzo ya teknolojia na matumizi ya mitandao ya kijamii katika kuendesha biashara. Akizungumza kwa…

Hii hapa ratiba ya uteuzi wa wagombea, kampeni na uchaguzi mkuu

Ratiba ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 imetoka ambapo kuanzia tarehe 09-27 Agosti itakuwa ni zoezi la kuchukua fomu za uteuzi kugombea kiti cha Urais na Makamu wa Rais. Tarehe 14-27 Agosti zitakuwa ni tarehe za kuchukua fomu za uteuzi…