JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais wa zamani wa Zambi Edger Lungu afariki dunia

Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu (68) amefariki dunia katika hospitali moja nchini Afrika Kusini, chama chake cha Patriotic Front kimesema. Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika kati ya 2015 na 2021, aliposhindwa kwenye uchaguzi…

CHAUMA yaahidi kupambanoa wananchi

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma VIONGOZI wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) wamewaahidi kuwapambania wananchi katika kudai mabadiliko mbalimbali ya Sheria. Wamewaeleza hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mukendo Manispaa ya Musoma mkoani…

Balozi Nchimbi atoa wito kwa vyombo vya habari kuzingatia weledi kuelekea uchaguzi mkuu

Ahimiza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita kutangazwa kwa wananchi Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amevitaka vyombo vya habari vinavyomilikiwa na chama hicho kuzingatia weledi, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka…