JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Samia anadi ilani ya chama Tanga Mjini

Wananchi wa Tanga Mjini walijitokeza kwa wingi kushiriki mkutano wa hadhara wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika tarehe 29 Septemba 2025. Katika mkutano huo, mgombea wa urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, aliwasilisha na…

Muheza wamwitikia kwa kishindo Dk Samia

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Muheza Ndugu Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’ mara…

REA yauza majiko 1,500 kwa bei ya ruzuku kwenye maonesho ya Madini Geita

📌REA yapongezwa kwa kuuza majiko kwa bei ya ruzuku na kutoa elimu ya miradi ya wakala Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita yamehitimishwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Dk Samia aomba kura kwa wana Pangani

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Pangani katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Tanga tarehe…

Samia aingia Pangani kusaka kura

Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari ameshawasili Pangani kwenye uwanja wa Gombelo mahali ambapo mkutano wa kampeni  utafanyika na atawahutubia wana CCM na wananchi waliojitokeza kwa wingi ili kumsikiliza.  Rais Dkt. Samia pia…