JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Silinde akoshwa na hatua ya miradi mitatu ya umwagiliaji Mara, Shinyanga na Simiyu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde (Mb), ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi mitatu mikubwa ya umwagiliaji ikiwemo ujenzi wa Bwawa la Nyida lililopo mkoani Shinyanga, Kasoli Bariadi mkoani Simiyu na Bugwema mkoani…

Makamu wa Rais afungua skuli ya sekondari ya Makunduchi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema maendeleo yanayoonekana hivi sasa katika sekta mbalimbali Zanzibar ikiwemo sekta ya elimu ndiyo lilikuwa lengo la Mapinduzi Matukufu ambayo yalidhamiria kuboresha Maisha ya watu. Makamu wa…

Waziri Mkuu akutana na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Dk Kusiluka

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salam, Januari 9, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

CAG aipongeza TARURA kwa ujenzi wa miundombinu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma‎ ‎Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ndg. Charles Kichere, leo Januari 9, 2026 ametembelea Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na kufanya kikao na Menejimenti ya Wakala huyo katika ukumbi…

Watumishi wa umma watakiwa kutambua wajibu wao ili kuboresha utendajikazi

Na Antonia Mbwambo – Manyara Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amewataka watumishi wa Umma kutambua wajibu wao katika kutekeleza majukumu ya kila siku ili kufanya kazi kwa uwezo, maarifa…