JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAFORI yashiriki Mkutano Mkuu wa CITES 2O25 nchini Uzbekistan

Samarkand, Uzbekistan. Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imeshiriki kikamilifu katika Mkutano wa 20 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyohatarini kutoweka (_Convention on International Trade in Endangered Species of wild Fauna…

Waziri Kombo awasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia vurugu za Oktoba 29, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola Wanaosimamia Utekelezaji wa Tunu za Jumuiya hiyo (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) kufuatia…

Ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za utalii duniani ni chachu ya kuendelea kutangaza mazao mapya Ngorongoro

Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya kutangaza mazao mapya ya Utalii katika soko la Dunia yanayopatikana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Kamishna Msaidizi…

Waziri Mavunde aipongeza kampuni ya Franone na God CSR

Na Mwandishi Wetu, Simanjiro WAZIRI wa Madini, Anthony Peter Mavunde, ameipongeza kampuni ya Franone Mining LTD na God Charity kwa kufanya shughuli za kijamiii (CSR) kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Waziri…

‘Vijana tuilinde amani ya nchi yetu’

๐™’๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™๐™–๐™ข๐™–๐™จ๐™ž๐™จ๐™๐™– ๐™ซ๐™ช๐™ง๐™ช๐™œ๐™ช ๐™๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฅ๐™ค ๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ฃ๐™˜๐™๐™ž ๐™๐™ž๐™ž, ๐™ข๐™จ๐™ž๐™ ๐™ž๐™—๐™–๐™ก๐™ž ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™ช๐™ข๐™ž๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™–๐™ข๐™– ๐™ ๐™š๐™ฉ๐™š. ๐˜ผ๐™จ๐™ž๐™จ๐™ž๐™ฉ๐™ž๐™ฏ๐™– ๐™๐™–๐™ ๐™ช๐™ฃ๐™– ๐™๐™–๐™ž๐™›๐™– ๐™ก๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™ข๐™–๐™จ๐™ก๐™–๐™๐™ž ๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™๐™–๐™ฃ๐™ฏ๐™–๐™ฃ๐™ž๐™– ๐™ฏ๐™–๐™ž๐™™๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™’๐™–๐™ฉ๐™–๐™ฃ๐™ฏ๐™–๐™ฃ๐™ž๐™– ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š๐™ฌ๐™š. “๐˜™๐˜ข๐˜ช๐˜ด ๐˜”๐˜ฉ๐˜ฆ. ๐˜‹๐˜ฌ๐˜ต. ๐˜š๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ข ๐˜š๐˜ถ๐˜ญ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ถ ๐˜๐˜ข๐˜ด๐˜ด๐˜ข๐˜ฏ ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ข ๐˜›๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ ๐˜บ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜จ๐˜ถ๐˜ป๐˜ข ๐˜บ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช๐˜บ๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฌ๐˜ฆ๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ข๐˜ต๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข ๐˜ท๐˜ถ๐˜ณ๐˜ถ๐˜จ๐˜ถ ๐˜ป๐˜ข ๐˜–๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฃ๐˜ข 29, ๐˜ต๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ…

CCM haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa umma wababaishaji- Mwenezi Kenani

๐˜ผ๐™จ๐™š๐™ข๐™– ๐˜พ๐˜พ๐™ˆ ๐™ž๐™ฃ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™—๐™ช ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ช๐™›๐™ช๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ก๐™ž๐™– ๐™ช๐™ฉ๐™š๐™ ๐™š๐™ก๐™š๐™ฏ๐™–๐™Ÿ๐™ž ๐™ฌ๐™– ๐™ž๐™ก๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™–๐™ ๐™š ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™– ๐™จ๐™š๐™ง๐™ž๐™ ๐™–๐™ก๐™ž ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ฉ๐™ค๐™ ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™˜๐™๐™–๐™ข๐™– ๐™๐™ž๐™˜๐™๐™ค. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. ๐—ž๐—ฒ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ž๐—ถ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜€๐—ถ amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya…