Category: MCHANGANYIKO
Zambia, Malawi kuinkgia Mareani kwa dola 15,000
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba raia wa Zambia na Malawi sasa watatakiwa kulipia dhamana ya dola 15,000 ili kuweza kuingia nchini Marekani kwa vibali vya biashara ama utalii. Uamuzi huo unaanza kutekelezwa tarehe 20 Agosti kama…
NLD yazindua ilani yake ya uchaguzi 2025
Chama cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea katika mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyowasilishwa…
Mikoko ni dhahabu ya bahari, dira ya maendeleo ya uchumi wa buluu
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga Mikoko ni moyo wa uchumi wa buluu. Bila mikoko,mazingira baharini yangekuwa dhaifu, maisha ya viumbe wa pwani yangepungua na uchumi wa jaii za pwani ungeathirika. Pamoja na faida hizo baadhi ya watu hukata mikoko kwa…
WMA yatoa onyo kwa wanaotumia vipimo batili kuwapunja wakulima
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma KAIMU Meneja wa Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) Mkoa wa Njombe, Henry Msambila, ametoa onyo kali kwa wafanyabiashara na watu wote wanaotumia vipimo batili kwa lengo la kuwapunja wakulima, akibainisha kuwa kitendo hicho ni kosa…





