JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TCU yafungua dirisha la udahili kwa waombaji Shahada ya kwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Akizungumza na waandishi wa habaru leo Julai 15, 2025 jijini…

Madini, Bomba la Mafuta na bandari vyageuza Tanga kuwa kitovu cha maendeleo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Sekta ya madini imeendelea kuwa kichocheo kipya cha maendeleo kwa Mkoa wa Tanga, ambapo wananchi katika maeneo mbalimbali wameanza kunufaika na shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Kupitia usimamizi madhubuti wa Serikali ya Awamu…

Mradi wa Sequip wapeleka neema Geita

Na Mwandishi Wetu, Geita Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani humo. Shule hizo ni pamoja na…

RC Sirro: Nitawapigia wahalifu walionibip

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Sirro amesema atawapigia wahalifu waliombipu kutokana na kukasirishwa na kitendo cha kuteka magari kilichotokea wilayani Kibondo mwishoni mwa wiki iliyopita na kwamba hatua madhubuti zimechukuliwa kukabiliana na wale wote…

TAWA yapokea tuzo kutoka Taasisi Foundation for disabilities hope

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imepokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Taasisi isiyo ya Serikali inayojulikana kama Foundation for Disabilities Hope (FDH) iliyopo Mkoani Dodoma. Akizungumza katika utoaji wa tuzo hiyo iliyofanyika Julai…

Rais Samia achangia milioni 50 ujenzi wa Kanisa Maswa

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa Sh milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu. Akiwasilisha mchango kwa niaba ya Rais Samia, wilayani Maswa, jana, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira…