JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mombo mkoani Tanga mwamwitikia Dk Samia

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Mombo mkoani Tanga tarehe 30 Septemba, 2025.    

TISEZA yawakaribishwa wawekezaji Kwala mkoani Pwani

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Pwani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewataka wawekwzaji wazawa na wakigeni kwenda kuwekeza katika eneo kongani la viwanda Kwala mkoani Pwani. Rai hiyo imetolewa na kaimu meneja mawasiliano kwa umma na habari…

Serikali kuchukua mashamba,viwanda visivyoendelezwa

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Korogwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Kilimo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufanya kazi ya kupitia mikataba ya mashamba yote ya mkonge ambayo hayaendelezwi ili yarudishwe…

Polisi waeleza kwa kina mwanafunzi aliyetekwa na kunyongwa, watekaji wataka mamilioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya SEPTEMBA 14, 2025 liliripotiwa tukio la kutekwa nyara kwa Shyrose Michael Mabula (21) aliyekuwa mwanachuo mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Mzumbe ndaki ya Mbeya Kitivo cha Sheria na watu wasiofahamika, ambapo Septemba 16,…