Category: MCHANGANYIKO
TCRA: Kinondoni, Sumbawanga na Kilombero zinaongoza kwa majaribio ya ulaghai
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetangaza kuwa wilaya za Sumbawanga Vijijini, Kilombero na Kinondoni zinaongoza kwa majaribio ya ulaghai kwa simu kupitia ujumbe mfupi (SMS) na sauti. Taarifa ya TCRA kuhusu sekta ya…
BAKWATA yawapiga ‘stop’ wanaharakati kutumia nyumba za ibada kupotosha waumini
Na Jumbe Ismailly, JamhuriMedia, Singida BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida limewaagiza masheikhe wa wilaya pamoja na maimamu wa misikiti wote Mkoani hapa kutoviruhusu vikundi vya Wahadhiri na Wanaharakati kutumia majengo ya ibada kupotosha waumini wao kwamba…
TMDA : Hakuna dawa ya kuongeza makalio
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA) imewataka wanawake kuwa makini na kutokubali kudanganywa kuwa kuna dawa ya kuongeza makalio au matiti, huo ni uongo na utapeli. Onyo hilo limetolewa juzi na Mkurugenzi Mkuu…
CRDB yazindua Msimu wa Nne wa Semina ya ‘Instaprenyua’ kwa wajasiriamali wa biashara mtandaoni
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imetangaza rasmi kuanza kwa msimu wa nne wa semina ya ‘Instaprenyua’ jukwaa maalum linalolenga kuwajengea uwezo wajasiriamali wanaoendesha biashara kupitia mitandao ya kijamii. Semina hiyo inatarajiwa kufanyika Jumamosi Julai 26,…
Zaidi ya Trillion 1.44 zawanufaisha wananchi Geita
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Geita umepokea kiasi cha Shilingi trilioni 1.44 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambazo zimetumika kwenye sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, kilimo, maji, nishati, utalii, uwezeshaji wananchi kiuchumi pamoja na miradi mikubwa…





