Category: MCHANGANYIKO
Mkakati wa matumizi nishati safi ya kupikia kuleta mabadiliko
Na Mwandishi Wetu IMEELEZWA kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umeendelea kuleta matokeo chanya katika maeneo ya masoko kwa wafanyabiashara wa soko la Samaki Feri kubadili mifumo yao ya kupikia kutoka kwenye kuni na mkaa…
Dk Mwigulu : Watendaji Serikali tekelezeni majukumu yenu ipasavyo
*Asema lengo ni kuhakikisha uchumi wa Taifa unaendelea kukua WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kujenga uchumi wa kati endapo baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo. Ameyasema hayo Novemba 21, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara…
ELAF yaonya kauli za udini, yasema zina athari kwa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imetoa onyo kwa jamii kuhusu kuongezeka kwa kauli za udini ambazo zimeanza kujitokeza mara baada ya Uchaguzi Mkuu, ikisema mwelekeo huo unaweza kuleta athari kubwa kwa…
Serikali kuboresha na kuongeza idadi ya vyuo vikuu na vya kati nchini
Na. Asia Singano, WF, Dar Es Salaam. Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Vyuo Vikuu na vya Kati na kuongeza idadi ya vyuo hivyo katika mikoa yote ili wananchi wapate fursa zaidi ya kujiendeleza kimasomo na kupata elimu ya juu. Akizungumza…
Watano wafariki baada ya basi kugongana na gari ndogo Arusha
Watu watano wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari mawili kugongana leo huko katika maeneo ya Mbuyuni, wilaya ya monduli Mkoani Arusha. Akitoa taarifa hiyo leo Novemba 23, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa…





