Category: MCHANGANYIKO
Serikali yapongeza hospitali ya Shifaa kwa kuzindua kitengo maalum kutibu kisukari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeipongeza hospitali ya Shifaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa kuzindua kitengo maalum kwaajili ya matibabu ya maradhi ya kisukari. Pongezi hizo zimetolewa leo na mratibu wa ushirikiano baina ya serikali…
Watahiniwa 595,816 kuanza mtihani wa kidato cha nne kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watahiniwa 595,816 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025 unaotarajiwa kuanza kesho Oktoba 17, 2025 ambapo kati yao 569,914 ni watahiniwa wa shule na 25,902 ni watahiniwa wa kujitegemea. Kati…
Mhandisi Seff aeleza jitihada za TARURA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema Serikali ya Tanzania imefanya jitihada kubwa ambayo imeweza kukamilisha miundombinu iliyoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo mengi. Mhandisi Seff ameeleza hayo wakati akiwasilisha mada…
Rais wa kupambana na rushwa Comoro awasili Tanzania kwa ziara
Rais wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa nchini Comoro (Chambre anti-corruption) Bi Fahamoue Youssouf akiambatana na maafisa wake amewasili Dar es salaam kwa ziara ya kikazi kwa mwaliko wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini…
DED Shemwelekwa : Awasihi wafanyabiashara Loliondo kuilinda amani ili kukuza biashara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MMKURUGENZI wa Manispaa ya Mji Kibaha, Mkoani Pwani Dkt. Rogers Shemwelekwa, amewasihi wafanyabiashara wa Soko la Mnarani Loliondo kuendeleza biashara zao kwa amani, utulivu na mshikamano, akisema ndio msingi wa mafanikio na maendeleo yao. Akizungumza…
Tanzania yasisitiza amani na usalama mkutano wa ICGLR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi…





