JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rose Migiro arithi mikoba ya Dk Nchimbi

Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa CCM akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ambaye amekuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM. Uteuzi huo umetangazwa leo tarehe 23 Agosti 2025.

Waziri Lukuvi atoa maagizo ya Rais Samia ajali ya mgodi Nyandolwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa viongozi wa Serikali waliopo maeneo ya ajali…