Category: MCHANGANYIKO
Kapinga atoa onyo kwa wanunuzi wanaochelewesha malipo ya kahawa Mbinga
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni…
Ndejembi ahimiza ushirikiano wa wakuu wa mikoa na wilaya katika utekelezaji miradi ya nishati
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 unaofanyika katika Ukumbi wa Mabeyo, jijini Dodoma. Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Waziri…
Mavunde kuwachukulia hatua maafisa madini wanaosababisha miogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa ambao ofisi zao zitabainika kuhusika au kusababisha migogoro katika shughuli za uchimbaji wa madini, akisisitiza ulazima wa kuzingatia kikamilifu…
Dk Mwigulu kuzindua meli ya MV. New Mwanza kesho
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV. New Mwanza iliyokuwa ikijengwa katika Bandari ya Mwanza Kusini. Hayo yamebainishwa Leo Alhamisi Januari 22, 2026 na Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame…





