Category: MCHANGANYIKO
Comoro yafurahishwa na upendo wa madaktari bingwa Watanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Kanali Azali Assoumani, ameongoza msafara wa viongozi waandamizi wa Serikali ya Comoro kutembelea Kambi Maalumu ya Matibabu ya Kibingwa inayoendelea katika Hospitali ya Hombo, kisiwani Anjouan….
Afungwa miaka 30 kwa kosa la kulawiti
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka 30, Boniface Matale (30), mkulima na mkazi wa Kata ya Mbagwa wilayani humo, baada ya kupatikana na Hatia ya kumlawiti kijana mwenye…
Wanufaika wa mitaji ya Cookfund wahimizwa kuwekeza katika mitungi midogo ya gesi
๐ Ni mitungi ya kilo tatu au chini ya kilo tatu ๐ Lengo ni kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kumudu gharama ๐ Wasisitizwa matumizi ya Mita janja (smart meters) ili kuwezesha wananchi kununua gesi kama LUKU. Wanufaika wa mitaji…
WorldVeg, AID-I watoa mafunzo kwa wakulima 62,000 nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga โ Kanda ya Mashariki na Kusini…
Macron ashinikizwa kujiuzulu kufuatia mgogoro wa kisiasa
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo kubwa, hata kutoka kwa washirika wake wa karibu, kutafuta suluhisho la haraka kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Katika hali ya kushangaza, รdouard Philippe, Waziri Mkuu wa kwanza wa Macron, amemtaka…
Mwanza wajipanga kumpokea mgombea urais wa CCM Dk Samia
Maelfu ya wananchi wa Mwanza wamempokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, na kumpa salamu zao ya kwamba wamejipanga vema na wapo tayari kumpokea Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป…





