JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Comoro yafurahishwa na upendo wa madaktari bingwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Kanali Azali Assoumani, ameongoza msafara wa viongozi waandamizi wa Serikali ya Comoro kutembelea Kambi Maalumu ya Matibabu ya Kibingwa inayoendelea katika Hospitali ya Hombo, kisiwani Anjouan….

Afungwa miaka 30 kwa kosa la kulawiti

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka 30, Boniface Matale (30), mkulima na mkazi wa Kata ya Mbagwa wilayani humo, baada ya kupatikana na Hatia ya kumlawiti kijana mwenye…

Wanufaika wa mitaji ya Cookfund wahimizwa kuwekeza katika mitungi midogo ya gesi

๐Ÿ“Œ Ni mitungi ya kilo tatu au chini ya kilo tatu ๐Ÿ“Œ Lengo ni kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kumudu gharama ๐Ÿ“Œ Wasisitizwa matumizi ya Mita janja (smart meters) ili kuwezesha wananchi kununua gesi kama LUKU. Wanufaika wa mitaji…

WorldVeg, AID-I watoa mafunzo kwa wakulima 62,000 nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga โ€“ Kanda ya Mashariki na Kusini…

Macron ashinikizwa kujiuzulu kufuatia mgogoro wa kisiasa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo kubwa, hata kutoka kwa washirika wake wa karibu, kutafuta suluhisho la haraka kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Katika hali ya kushangaza, ร‰douard Philippe, Waziri Mkuu wa kwanza wa Macron, amemtaka…

Mwanza wajipanga kumpokea mgombea urais wa CCM Dk Samia

Maelfu ya wananchi wa Mwanza wamempokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, na kumpa salamu zao ya kwamba wamejipanga vema na wapo tayari kumpokea Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป…