Category: MCHANGANYIKO
REA kusambaza mitungi ya gesi 19,530 mkoani Singida
๐Wananchi 3,255 kila wilaya ya mkoa huo kunufaika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA); kuanzia tarehe 20 Januari, 2025 itaanza kusambaza mitungi ya gesi ya kilo 6 mkoani Singida ili kusaidia Wananchi kutumia…
Dk Biteko: Kagera bado ina fursa ya kuongeza uzalishaji wa kahawa
๐Dkt. Samia aweka historia kupandisha bei kahawa kutoka 1200 hadi 6,000 kwa kilo ๐Dkt. Biteko ampongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kutatua changamoto za zao la kahawa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Hivi karibuni…
Dk Kazungu atembelea miradi ya umeme Dar es Salaam
๐ Ni ya Uzalishaji na Usafirishaji umeme ๐ Lengo ni kuhakikisha uwepo wa umeme wa uhakika Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ametembelea miradi mbalimbali ya uzalishaji na usafirishaji umeme inayoendelea kwa lengo la kufahamu utekelezaji…
Rais Mstaafu Dk Ali Mohamed Shein aweka jiwe la msingi jengo la Mahakama Mkoa wa Kaskazini Unguja
Rais Mstaafu wa Zanzibar awamu ya saba Dk Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mhandisi Mussa Hamad akitoa maelezo kuhusiana na Jengo katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Mahkama ya Mkoa wa Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka…
Bandari Tanga yaingiza mapato zaidi ya bilioni 100
Bandari ya Tanga imeandika historia mpya katika ukusanyaji mapato baada ya kukusanya kiasi cha zaidi ya sh. bilioni 100 ndani ya miezi mitano ikiwa ni matokeo ya uboreshaji wa miundombinu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais…
Polisi Dar yaimarisha ulinzi, yazuia fataki
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesambaza vikosi vya jeshi hilo mitaani kuhakikisha usalama wa raia hasa kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Sambamba na hilo, jeshi hilo limepiga marufuku watu wasiokuwa na vibali kupiga…