JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chalamila afurahishwa na Puma Energy kutoa mitungi 100 kwa baba na mama lishe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uamuzi wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania kutoa mitungi 1,000 ya gesi katika mkoa huo kwa ajili ya kuwapatia Mama Lishe na Baba…

RC Ruvuma awahimiza wananchi kujiandikisha Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahamed Abbas Ahamed amejiandikisha leo kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma jambo ambalo…

Tume yanadi maabara yake ya kisasa

• Wachimbaji wa madini wataka ifungwe na Kanda ya Ziwa • Waipa Tano utatuzi migogoro ya wachimbaji Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita MHANDISI Assa Mwakilembe kutoka Tume ya Madini Sehemu ya Maabara, amewahimiza wadau katika Sekta ya Madini kuhakikisha wanatumia…

Waziri Kombo ahitimisha ziara yake

📌 Afanikiwa kuishawishi Taasisi ya GTK kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Madini Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu nchini Finland Oktoba…

‘Miradi iliyobainika kuwa na dosari mbio za mwenge itakabidhiwa kwa Rais Samia’

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, amesema taarifa ya miradi iliyobainika kuwa na dosari katika mbio za Mwenge wa Uhuru 2024, itakabidhiwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa hatua zaidi. Pia…

Israel yagundua makombora 40 yaliyorushwa na Lebanon

Jeshi la Israel pia limesema kwamba limegundua makombora mapya 40 ambayo yalirushwa kutoka Lebanon. Jeshi la Israel limesema Alhamisi kuwa lilifanya mashambulizi ya anga ambayo yaliwaua makamanda wawili wa Hezbollah ambao walihusika katika mashambulizi ya makombora yaliyolenga eneo la kaskazini…